Catherine Ruge: Kakoko alinitishia kuniua baada ya kuibua madudu mengi TPA

Ndugai atakuwa pressure ilimpanda baada ya kulazimishwa kujiuzulu, na huo ulinzi wanaompa huko India serikali wanaogopa asije kutoa siri ya waliomuandikia barua ya kujiuzulu.
Ndugai alimkana JPM. Akaamua kuanzisha Bandari yao ile. Na yeye akaishia kukanwa mbele ya kadamnasi. Mambo ta Tit for Tat. Apambane na hali yake
 
Sasa aweke huo ushahidi sio unafiki
 
Ndugai atakuwa pressure ilimpanda baada ya kulazimishwa kujiuzulu, na huo ulinzi wanaompa huko India serikali wanaogopa asije kutoa siri ya waliomuandikia barua ya kujiuzulu.
Hivi kumbe hakuandika mwenyewe hiyo barua?
 
Nchi zetu ni bora tu zingeendelea kuwa chini ya wakoloni japo nao wangelikuwa na matatizo yao.
Omujubi, mtu anaweza kusoma hii comment yako kwa haraka asikuelewe lakini ninahisi tungekuwa tumeendelea zaidi. Kuna viongozi wanaihujumu hii nchi utafikiri wao siyo watanzania, kwamba kuna nchi nyingine wanapeleka wanavovipora TZ. Hata aliyeazimwa koti hawezi kulitumia vibaya namna tunavyoona. Haiingii akilini, najiuliza inakuwa je kila mahali ni madudu?
 
Mbona unazungumzia Ndugai kama sub stori wakati inaonekana ni habari iliyokamilika?

Nini kinaendelea kwa Ndugai?
 
Nchi zetu ni bora tu zingeendelea kuwa chini ya wakoloni japo nao wangelikuwa na matatizo yao.
Jisemee mwenyewe, ukitaka utumwa ni wewe tu nenda Ulaya au Uarabuni ukatumikishwe kama mtumwa.
Hela nzuri tu.
 
Kakoko kaiba sana.

Nenda Kigoma kuna taarifa zake.
No kwa taarifa yako kakoko ni hakuwa kiongozi mzuri alikuwa mnoko mnoko kiasi kwamba wafanyakazi wake wa chini wakamzidi mbinu. Kulikuwa na vinara wa wizi hapo TPA ambao ndiyo walimchafulia na kibaya kulikuwa na michepuko ya wakubwa akawa anaogopa kuigusa (rejea Majaliwa).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…