Catherine Ruge: Kakoko alinitishia kuniua baada ya kuibua madudu mengi TPA

Kupoteza Uspika tu tayari anaumwa?🤣🤣
 
Yaani kutoka Ikulu kukutana na Mheshimiwa mpaka kurudi Apollo.... Hii inafikirisha.
 
Kama kwenye foma spika anatibiwa chini ya "Ulinzi Mkali".... maisha kama gwaride, nyuma geuka moja, wa kwanza amekuwa wa mwisho... mkaa ule ule ulikuwa unachomea nyama choma, leo unakuchoma mwenyewe.
 
Ndugai atakuwa pressure ilimpanda baada ya kulazimishwa kujiuzulu, na huo ulinzi wanaompa huko India serikali wanaogopa asije kutoa siri ya waliomuandikia barua ya kujiuzulu.
mwache avune alichopanda
 
Mbona unazungumzia Ndugai kama sub stori wakati inaonekana ni habari iliyokamilika?

Nini kinaendelea kwa Ndugai?
Ndugai anaumwa kalazwa Appolo anasumbuliwa na maradhi lukuki ikiwemo alipandikizwa Figo na wanadai ana yale mambo ya Gridi ya taifa sasa unajua grid ya taifa ina tabia ya kupunguza akili akaropoka.
 
Ndugai atakuwa pressure ilimpanda baada ya kulazimishwa kujiuzulu, na huo ulinzi wanaompa huko India serikali wanaogopa asije kutoa siri ya waliomuandikia barua ya kujiuzulu.
Mkuu kisukari na hasira ni sumu, ukimkwaza mwenye sukari ni nusu kifo kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…