Uchaguzi 2020 Catherine Ruge: Kwa mateso haya niliyoyapata, siwezi kusaliti chama changu na Wananchi wangu wa Serengeti walioniamini

Daa ! Mkuu pole ! Sipati picha unavyo bubujikwa na machozi ukiandika 😭 ! Da ! Hiyo ndio siasa, jipe tu moyo mkuu !
 
Naombeni kuuliza. Huyu Catherine si aligombea kawaida ubunge? Sasa angeingiaje viti maalum! Maana kwani list ya viti Maalum si ilitengenezwa hata kabla ya uchaguzi?

Kama hayo maswali ni yes, huyo Catherine hataki kusaliti nini kwani jina lilikuwepo?
Mdee, Bulaya, Matiko, Makamba ect wao mbona huwaulizii wakati waligombea ubunge kawaida
 
Tunataka kusikia msimamo wa chama,mbowe na mnyika waseme kilichopo la sivyo huu utakuwa mwisho wa cdm kama wanadhani ni utani wapeleke hao wabunge bungeni na Mbowe sio mtu wa kuaminika hapa.
Ikitokea hao watu wamenunuliwa ni kufukuzwa uanachama na waendelee na utaratibu wao na inakoelekea ni kuwa kama CUF
 
wakiendelea na ubunge watakuwa wa chama gani
Katibu mkuu wa CDM akitangaza hadharani kuwa hajapeleka hayo maji na NEC, na Mwenyekiti Mbowe akawakana pia, maana yake ubunge wao ni batili . ccm wanalifahamu hilo ndiyo maana wameweka wazi kuwa vyovyote iwavyo wataendelea kuwa wabunge , na hii ni njia moja ya kuja kulazimisha mahakama iwape ushindi pindi ikiwa hivo. All in all,wamevunja kanuni za chama na hivo CDM wana kila haki ya kuwafutilia mbali hawa wanawake wahuni na wachumia tumbo. Ccm iwapokee na kuwapa wanayotaka kuwapa, kamwe CDM msikubali ccm iingie mpk chumbani kwenu. Fukuzeni mamluki yote, ibaki pure Chadema. Impurities zote fagieni maana kuwalea ndiyo matokeo yake haya. Mngemsikiliza Kigogo alivyowaambia fukuzeni Bulaya wala huu upuuzi usingekuwepo.
 

Ila we jamaa sio tu huna akili. Ila mjinga na usiyetakia mema watz kwa ajili ya kujiridhisha hoja zako Mfu mtandaoni. Wewe Ni watu wasio na furaha kabisa maishani mwao. Ni watu ambao hawana furaha na maisha yao na watu wanaowazunguka. Unawaza ujinga kila siku na Bahati mbaya huna Subira. It’s pity kwamba hujamtafuta mganga wa akili akusaidie.
 
Kuwaza tumbo muda wote hudumaza uwezo wa kufikiri, badilika.

Kiongozi wa kweli hatakiwi kuongozwa na tumbo, anatakiwa kutumia ubongo.

So wewe kwa akili yako hao wakina mbowe na Lissu Nia yao Ni wewe mjinga mjinga wa mitandaoni. Are you serious.
 
Kwa bandiko lako hilo Mkuu [Salary Slip] sasa naamini bila mashaka CCM siyo chama imara Tanzania bali pia niTaasisi kubwa. Kila linalotendeka katika nyanja za siasa, lawama ni CCM. Baadhi ya lawama ni kama vile;
√ Uchaguzi Mkuu, 2015 CHADEMA ikamkumbatia mwanaCCM na kumsimamisha kama mgombea wao wa Urais;
√ Madiwani na Wabunge waliohamia CCM walidaiwa kununuliwa;
√ Sasa wabunge wa viti maalumu CHADEMA wanaitwa wasaliti ati wamerubuniwa na CCM!!

Ina maana CHADEMA ni chama chenye viongozi wasio na msimamo? Naomba jibu Salary Slip ili lawama zako ziwe na mashiko. Ama ndio kutapatapa kwako kifikra?
 
Jina lake halipo kwny orodha wenzie wamemruka ndo anajifanya eti hawezi kusaliti
 
Kwanini mkamtoa jela juzi haraka haraka kwa amri ya DPP? kumbe mlikuwa na mpango nae.
Kuna na Yule WA Shinyanga alietuhumiwa kutaka kuchoma nyumba ya Katambi, nae katolewa kazadiwa. Mbowe Akina 'Delila' wamekuweza pamoja na nguvu zote ulizonazo CDM itakufa kifo kama cha Samsoni.
 
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28]
 
Mbona unaumia sn. Cathy ndiyo mwanasiasa making kama kakataa kurubuniwa na kina bulaya. Inaonyesha wanawake wengi wamekataa usaliti huo ndiyo maana majina hayajafikia 19. Ingekuwa wana baraka za chama idadi yao ingetimia na kungekuwa na mchanganyiko wa waliogombea na ambao hawakugombea. Nimeyachukia haya mianamke hadi basi. Wewe mbona ni mfia chama wa kijani? Hakika njia ile iendayo mbinguni ni nyembamba.
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Kwa Mateso na Maumivu haya niliyopitia Siwezi kusaliti chama Changu na Wananchi wa Serengeti walioniamini na Kunipa Heshima Kubwa Kama Msubhati wao.
Haya maneno siyaamini tena, heri wale wanaokaa kimya
 
If that's easy jaribuni kwa Mbowe au Lissu.
Kuna mtu mmoja mahususi ambaye hao wabunge wamemshukuru, kama unajua, unajua!
Huyo kanunuliwa kitambo sana, ungekuwa na akili ungejiuliza kwa nini alikuwa na tiketi ya go and return!
Labda ameendelea zaidi, kwa kuweza kununuliwa na wazungu...
 
Unaongelea watanzania wapi ndugu?
Watanzania ndiyo walipiga kura, na CCM ikashinda kwa kishindo, alafu wewe unaleta ngonjera?
Zile ni nafasi za wanawake, na walioapishwa ni wanawake, na wamezipata kwa mujibu wa sheria!

Wewe bado una akili ya kuwaendekeza wahisani!
Akina Mdee ni wabunge halali, na wamwshiriki kukijenga chama.
Kama chadema mnaona kilichofanywa na Hawa wabunge ni haramu, basi na ruzuku ikataeni!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…