Uchaguzi 2020 Catherine Ruge: Kwa mateso haya niliyoyapata, siwezi kusaliti chama changu na Wananchi wangu wa Serengeti walioniamini

Plate number za gari karibia zinaingia namba "E"..

We kaa ukipiga porojo hapa wakati sasahivi wanaume wanapambana kuunganisha wilaya zote kwa barabara za lami.. Umeme kila kijiji na vitoa vya afya vya kutosha..
Hizo ni kodi za watanzania wote siyo pesa binafsi za ccm wala mwenyekiti wa ccm acheni kujipa ujiko kwa njia haramu za kishetani
 
Kama unakiri naunaamini kuwa Halima James Mdee The Iron Lady,Esther Matiko, Esther Amos Bulaya wamenunuliwa basi kubali kuwa hakuna mwana Chadema atakayeshindwa kufika bei kutoka ccm.
Hawa ni strong icon ya Chadema.
 
Leo ndiyo chadema inafariki na kuzikwa rasmi endapo itabainika kuwa mbowe kachukua bilion 3 kauza wabunge wa kike, watanzania wameumia kubambikiwa kesi kufungwa kupigwa risasi kwa sababu ya chadema leo hii mbowe anaendekeza njaa za ruzuku anachukua Rushwa kuuza chama
 

WanAmpigania Nani etiii. Kuwa mkweli Acha Hadithi za form one na form 2.
 
Watanzania wa Tanzania anawaongelea ambao hawakuipigia CCM kura lakini CCM ikatumia NECCCM Tumeccm wakurugenziccm na Polisiccm kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu, ngojera unazo wewe usiyejua kuwa watanzania wana Akili nyingi ndiyo maana sasa wamekataa upumbavu wa mbowe kwa 100%
 
Wamepigwa risasi kwa uzembe wao, polisi huwa inawaonya lakini wanakaidi, hapo mbowe anaingiaje
 
Wamepigwa risasi kwa uzembe wao, polisi huwa inawaonya lakini wanakaidi, hapo mbowe anaingiaje
Mbowe anaingia kama alivyoingia kuchukua pesa haramu kuuza wabunge wa kike kwa njia haramu za kishetani
 
Kamanda unaroho ngumu sijapata ona.
 
Hahahahahahahaha, kwakwakwakakwakwa! Nimekumbuka kicheko cha mahoka enzi zile. Wewe zidi tu kukaa uchi watu wacheke!

Stay tuned!
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Kwa Mateso na Maumivu haya niliyopitia Siwezi kusaliti chama Changu na Wananchi wa Serengeti walioniamini na Kunipa Heshima Kubwa Kama Msubhati wao.
Huyu jina lake inaonekana halikupelekwa viti maalum maana si kwa povu hili juu ya ugali wa wenzake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…