SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,789
- 3,413
Kwanini mkamtoa jela juzi haraka haraka kwa amri ya DPP? kumbe mlikuwa na mpango nae.
Sasa hata kma kanunuliwa utanunuliwa bila kutaka [emoji3][emoji28][emoji23]...!? Wewe bwana akili yako fupi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkamtoa jela juzi haraka haraka kwa amri ya DPP? kumbe mlikuwa na mpango nae.
CCM na Mh. Mungu ndio wanajua!wakiendelea na ubunge watakuwa wa chama gani
Halima kaingia kwa kofia ya uenyekiti bavicha. Ana nafasi yake that's y.Kwani kina halima hawakua wagombea wa majimbo?!
Mnajichosha bure na ujinga wenu....hasira zenu ziwanyime watu chakula? Maisha mafupi haya na kila mtu ana ya kwake tusipangiane. Mnaohangaika wengi ni wale washabiki maandazi msioijua CHADEMA ila mihemko tu inawatesa. Hata wakifukuzwa hao wataendelea na ubunge trust me
🤣🤣Wewe ndio umenimaliza kabisa na kauli yako, conclusion yako ndio inayonifanya nijue kuwa Tanzania na watanzania hatutobadilika. Kunyimwa watu chakula? Yaani hivyo watanzania tunavyouona ubunge, kupata kuvimbisha tumbo lako, sio kufanya kazi kwa manufaa ya wanaokuchagua?
Kwani muda wa uenyekiti wa bavicha si umekwisha baada ya bunge la awamu iliyopita kuvunjwa rasmi? Si bunge hili jipya linatakiwa kuchaguwa mwenyekiti wao mpya wa bavicha au uenyekiti wa bavicha ni wa kudumu? Mimi nilidhani ameingia bungeni kwa tiketi ya viti maalum vya chadema! Naomba clarification tafadhali.Halima kaingia kwa kofia ya uenyekiti bavicha. Ana nafasi yake that's y.
🤣🤣Tulikupenda CDMView attachment 1634389
Siasa za Chadema ngumu sana kuzielewa lkn nimesoma humu humu kua mwenyekiti wa bavicha ana nafasi yake automatically. Kuhusu kuisha kwa uenyekiti wake bavicha hili sijajua kwa kweli. Sema tu kwa kua hawajafanya uchaguzi baasi ni halali yake.Kwani muda wa uenyekiti wa bavicha si umekwisha baada ya bunge la awamu iliyopita kuvunjwa rasmi? Si bunge hili jipya linatakiwa kuchaguwa mwenyekiti wao mpya wa bavicha au uenyekiti wa bavicha ni wa kudumu? Mimi nilidhani ameingia bungeni kwa tiketi ya viti maalum vya chadema! Naomba clarification tafadhali.
Jina lake limo katika ile orodha ya wale 19?Ameandika hivi kupitia twitter:
Kwa Mateso na Maumivu haya niliyopitia Siwezi kusaliti chama Changu na Wananchi wa Serengeti walioniamini na Kunipa Heshima Kubwa Kama Msubhati wao.
Huo ujinga wa CHADEMA peleka hukohuko CCM ina watu wanaojitambua sana tofauti na hao wachaggaTumevuka vikwazo vingi na hiki tutavuka tu.
Wasaliti wa jana wakifukuzwa, CHADEMA itapata heshima na CCM iliyosema wapinzani wanachelewesha maendeleo sio tu haitaeleweka, bali itadharaulika na kupuuzwa na wananchi kwa kuwapokea Bungeni kinyemela hao mamluki/wasaliti waliofukuzwa.
Ninahakika pia hatua ya jana itafanya Wahisani waone kuna upuuzi unaendelea na hivyo msitarajie watatoa fedha zao hata zile kamati za Bunge za fedha zitaongozwa na hawa wapinzani uchwara.
Hatua ya jana ya wabunge feki wa upinzani kuaapa na kuingia Bungeni imezidi kuiweka nchi yetu katika wakati mgumu zaidi mbele ya wahisani wanaoamini katika demokrasia ya vyama vingi.
Kila mwenye akili anajua huu ni mchezo machafu na matokeo yake Bunge na CCM vitazidi kupuuzwa na hasa iwapo viongozi wa CHADEMA watajitokeza hadharani kufafanua kilichotokea na zaidi kamati kuu ya CHADEMA ikiwafukza.
CCM imeshindwa ku-deliver na wanaona wamebakiwa na option moja tu ya kuvuruga na kuharibu upinzani ili waendelee kubaki madarakani jambo ambalo kamwe halitawasaidia
Upinzani ni matokeo ya CCM kushindwa ku-deliver na kwakuwa kila siku ni afadhali ya jana, CCM itaendelea tu kukataliwa na wananchi na wananchi wataendelea na kiua ya kutaka mabadiloko.Watafanikiwa CCM katika hizi hujuma zao ni sana sana kuchelewesha mabadiliko na kamwe si vinginevyo.
Pia,kuna uwezekano mkubwa wa wananchi kupuuza siasa na wanasiasa wa nchi hii bila kujali vyama wanavyotoka ila wakawa na imani na wanasiasa wachache sana wa upinzani wataosimama imara.
Wananchi watasahau na kupoona majeraha ya hizi siasa chafu, ila kamwe hawawezi pona majera na machungu yatokanayo na CCM kushindwa ku-deliver.
Mwisho, jambo hili limemuongezea Kigogo wafuasi na credit na sasa ana fursa nzuri zaidi kui-attack CCM na Magu mitandaoni na watu wengi zaidi wakamuamini.
Mgema akisifiwa tembo hulitia maji. CCM kwa sasa imechokwa. Pakiwa na uchaguzi huru na wa haki, chama chote chote hata kama ni cha mazezeta, kitashinda.Tumevuka vikwazo vingi na hiki tutavuka tu.
Wasaliti wa jana wakifukuzwa, CHADEMA itapata heshima na CCM iliyosema wapinzani wanachelewesha maendeleo sio tu haitaeleweka, bali itadharaulika na kupuuzwa na wananchi kwa kuwapokea Bungeni kinyemela hao mamluki/wasaliti waliofukuzwa.
Ninahakika pia hatua ya jana itafanya Wahisani waone kuna upuuzi unaendelea na hivyo msitarajie watatoa fedha zao hata zile kamati za Bunge za fedha zitaongozwa na hawa wapinzani uchwara.
Hatua ya jana ya wabunge feki wa upinzani kuaapa na kuingia Bungeni imezidi kuiweka nchi yetu katika wakati mgumu zaidi mbele ya wahisani wanaoamini katika demokrasia ya vyama vingi.
Kila mwenye akili anajua huu ni mchezo machafu na matokeo yake Bunge na CCM vitazidi kupuuzwa na hasa iwapo viongozi wa CHADEMA watajitokeza hadharani kufafanua kilichotokea na zaidi kamati kuu ya CHADEMA ikiwafukza.
CCM imeshindwa ku-deliver na wanaona wamebakiwa na option moja tu ya kuvuruga na kuharibu upinzani ili waendelee kubaki madarakani jambo ambalo kamwe halitawasaidia
Upinzani ni matokeo ya CCM kushindwa ku-deliver na kwakuwa kila siku ni afadhali ya jana, CCM itaendelea tu kukataliwa na wananchi na wananchi wataendelea na kiua ya kutaka mabadiloko.Watafanikiwa CCM katika hizi hujuma zao ni sana sana kuchelewesha mabadiliko na kamwe si vinginevyo.
Pia,kuna uwezekano mkubwa wa wananchi kupuuza siasa na wanasiasa wa nchi hii bila kujali vyama wanavyotoka ila wakawa na imani na wanasiasa wachache sana wa upinzani wataosimama imara.
Wananchi watasahau na kupoona majeraha ya hizi siasa chafu, ila kamwe hawawezi pona majera na machungu yatokanayo na CCM kushindwa ku-deliver.
Mwisho, jambo hili limemuongezea Kigogo wafuasi na credit na sasa ana fursa nzuri zaidi kui-attack CCM na Magu mitandaoni na watu wengi zaidi wakamuamini.
Na jamii imlinde Catherine. Kukataa kwake ni ushindi kwa Wana mageuzi wote duniani, lakini walio shindwa kumshawishi wanaweza kumdhuru.Naamini hii issue imesukumwa na kina Mdee, Bulaya na Matiko, kama palikuwa na resistance yoyote ndani ya vikao vya chama hao watatu ndio walikuwa vinara wa kutaka waende bungeni.
Tatizo linalokuja hapa kwanini kuwe na kauli za kuchanganya, huku Mdee aseme bungeni anamshukuru Mbowe kuwaruhusu waende, na upande mwingine Mnyika aseme hawajapeleka majina?
Jibu la hayo maswali nalipata pale naposkia hao kina Bulaya, Mdee, na wenzao wamepewa ulinzi na TISS, na zaidi wanafikiriwa wapewe nafasi nyingine serikalini kama uwaziri au unaibu.
Hili linathibitisha bila shaka kwamba wamenunuliwa na CCM, kama ilivyokuwa kwa Dr. Slaa, wale wanawake narudia kusema tena ni WASALITI.
Zaidi, ndio maana yule Nusrat Hanje ametolewa jela Singida juzi kwa amri ya DPP, halafu akapandishwa gari awawahi wasaliti wenzake Dodoma wakaapishwe.
Naamini next move ya Chadema kama chama kwenye hii issue ndio itaamua huu mchezo, mpira kwasasa umerudishwa upande wao, kazi kwao.
Anyway, kama ni ya kweli hiyo tweet, hongera kwa Catherine kwa kukataa kwake kuwa sehemu ya hiyo laana waliyojitafutia hao wenzake.
Wakitimuliwa chadema watahamia nccr na ubunge wao hautakoma. Kama ni kubadilisha sheria itabadilishwa. Hata katiba inaweza kubadilishwa kuruhusu uhuru huu. Akina Mdee na wenzake wana haki na uhuru wa kuchukua ubunge wao. Lissu na Chadema hawana legitimacy ya kuwapokonya uhuru huo!Wakitimuliwa hao watu CHADEMA itaktwa chama imara sana
Ni wakati wananchi wa tanganyika waelewe kuwa hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote. Hata kama huendi vitani, watie moyo waliopo vitani, sio unawaacha unaenda kula bata unategemea wafie huko kwa ajili yako. Wananchi mjifunze. Chama hakiwapiganii msipojipigania wenyeweMna lichama la hovyo sana! Viongozi wenu wote wananunulika...
una kaswende ya mdomo sio siriWakitimuliwa chadema watahamia nccr na ubunge wao hautakoma. Kama ni kubadilisha sheria itabadilishwa. Hata katiba inaweza kubadilishwa kuruhusu uhuru huu. Akina Mdee na wenzake wana haki na uhuru wa kuchukua ubunge wao
. Lissu na Chadema hawana legitimacy ya kuwapokonya uhuru huo!
Na hivi punde Maalim Seif naye atachukua u makamu wa pili wa rais wa Zanzibar. Zitto hana legitimacy ya kumzuia Maalim Seif kuwa makamu wa rais.
Nchi ilishapiganiwa kumtoa mkoloni, saivi tunapambana Amsterdam pamoja na mkewe!hii nchi si ya kupiganiwa na chama fulani, bali watu wote