- Thread starter
- #61
20 November 2024
Tunduma, Tanzania
CHADEMA YAZINDUA KAMPENI KWA KISHIDO ZA TAMISEMI 2024 TUNDUMA
View: https://m.youtube.com/watch?v=HmROGEzDpv0
CHADEMA wafanya mkutano mkubwa Tunduma mkoa wa Songwe, mkutano huo uliofungua kampeni katika mojawapo wa majimbo katika kanda ya CHADEMA Nyasa umehudhuriwa na umati mkubwa ....
Halmashauri ya Mji Tunduma upo umbali wa km 30 kutoka makao makuu ya Mkoa wa Songwe, Halmashauri inapakana na wilaya ya Ileje upande wa Mashariki, Jamhuri ya Zambia na wilaya ya Momba kwa upande wa magharibi pia wilaya ya Mbozi kwa upande wa Kaskazini.
Tunduma, Tanzania
CHADEMA YAZINDUA KAMPENI KWA KISHIDO ZA TAMISEMI 2024 TUNDUMA
View: https://m.youtube.com/watch?v=HmROGEzDpv0
CHADEMA wafanya mkutano mkubwa Tunduma mkoa wa Songwe, mkutano huo uliofungua kampeni katika mojawapo wa majimbo katika kanda ya CHADEMA Nyasa umehudhuriwa na umati mkubwa ....
Halmashauri ya Mji Tunduma upo umbali wa km 30 kutoka makao makuu ya Mkoa wa Songwe, Halmashauri inapakana na wilaya ya Ileje upande wa Mashariki, Jamhuri ya Zambia na wilaya ya Momba kwa upande wa magharibi pia wilaya ya Mbozi kwa upande wa Kaskazini.