Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Hawa tukiwachekea tunaweza kukosa hata mia kwenye mpesaDuuuh kila sehemu michango tuu
Kuweni na huduma jamani mtaani mambo magumu.
Sawa nami namkubali sana ila pesa za kiinua mgongo kapeleka wapi?? Kwa nn asitumie hizo?muacheni jamani huyo dada ni mzuri
Wee mataga kwenda zako hukoHawa tukiwachekea tunaweza kukosa hata mia kwenye mpesa
Rubbish!Sawa nami namkubali sana ila pesa za kiinua mgongo kapeleka wapi?? Kwa nn asitumie hizo?
Sasa braza hapo kosa langu nini? Amepata kiinua mgongo zaidi ya mil 200 ila leo hii anatuchangisha sisi wengine hata laki hatujui tumeishika lini. Huu wizi haukubalikiWee mataga kwenda zako huko
Uzuri uhalisia wanauona, hadi sasa sijui kama kafukisha hata elfu hamsiniRubbish!
hivi mtu mwenye akili timamu unaweza kumuuliza mtu pesa kapeleka wapi kama vile zinakusu?Sawa nami namkubali sana ila pesa za kiinua mgongo kapeleka wapi?? Kwa nn asitumie hizo?
Mil 12 kila mwezi kwa miaka mitano, alafu kiinua mgongo zaidi ya mil 250, leo hii anakuja kutukamua wengine hata laki hatujui tumeshika lini mara ya mwishowalikua wanagonga faru john
Basi atumie za kiinua mgongoAmekatwa pesa za kampeni kila mwezi na chadema kisha muda wa kampeni pesa hazijulikani zilipo sasa afanyeje, hapo anaficha aibu ya bosi wake
Kama hazituhusu mbona anatuchangisha?? Angekaa kimya wala hakuna ambae angejali, shida ni hii kutuchangisha wakati wamechukua millioni za kutosha tuhivi mtu mwenye akili timamu unaweza kumuuliza mtu pesa kapeleka wapi kama vile zinakusu?
We Mzee hapa ndio umeongea nini Sasa!?Wee mataga kwenda zako huko
amekuchangisha kwa lazima?Kama hazituhusu mbona anatuchangisha?? Angekaa kimya wala hakuna ambae angejali, shida ni hii kutuchangisha wakati wamechukua millioni za kutosha tu
Dah mkuu karibu nikupite Aisee. Kwanini ulibadilisha avatar picha ya yule Nyani anatembea miondoko ya ajabuWe Mzee hapa ndio umeongea nini Sasa!?
Wewe utachangiwa lini?? Yaani unatoa maji kwenge pipa unapeleka baharini?? Wajinga hamtaishaAsante kwa taarifa,nilikuwa sijaiona hii!Nimeandika taarifa hizo pembeni ili kesho niweze kumchangia!