Uchaguzi 2020 Catherine Ruge tumia pesa za kiinua mgongo kufanya kampeni

Uchaguzi 2020 Catherine Ruge tumia pesa za kiinua mgongo kufanya kampeni

Avha
Unaangalia suala hili Kwa hisia au kutokuwa na projections sahihi za takwimu.

Kila anayetaka kuwa huru kwenye uongozi wake hawezi kukaribisha kichangiwa na mafiaso bali wachangiaji wadodo wadogo kwa kuwa impact yao na ya michango Yao ni kubwa zaidi kuliko impact ya wachangia mafiaso.

Hebu angalia hesabu hii. Iwapo TAL atapata wachangiaji milioni 10, kila mmoja akamchangia tzs. elfu moja, ndani ya kipindi cha kampeini (miezi miwili) ataweza ku-raise na kutumia tzs bilioni 10, i.e. 10,000,000*1,000 = 10,000,000,000. Unadhani hiki ninkiasi kidogo? Kama atapata kiasi hicho, tayari atakuwa na akiba ya wapiga kura (voters benk) ya kiasi hicho. Unadhani akiba ya wapiga kura kiasi hicho siyo deciaive vote?

Hii ni sayansi ya siasa siyo hisia za mtu binafsi.

Hizi ni sawa na hesabu za wakulima wa watermelon wa Whatapp, wachangiaji 10m anawapatia wapi wakati kujaza tu uwanja wa Tabata huko anashindwa? Magu na ukuda wake wote saivi anapokea pesa za kina Rostam na wafanyabiashara biashara wengine ndio wafadhili wa kampeni zake.
Lissu kutokana na ratiba yake kuanzia next week anatakiwa kuanza kutumia helicopter, ataweza kwa hizi buku buku za watu 100, huyu jamaa hakujipanga kuja kugombea, hana mikakati zaidi ya kilio cha huruma.
 
Amekatwa pesa za kampeni kila mwezi na chadema kisha muda wa kampeni pesa hazijulikani zilipo sasa afanyeje, hapo anaficha aibu ya bosi wake
Hi ndo unafanya watu wauze majibu kisela ..kwa kusingizia form imwjazwa vibaya
 
Halafu wakishinda wanaisingizia serikali ahadi ambazo wamezitoa wao.
 
Avha


Hizi ni sawa na hesabu za wakulima wa watermelon wa Whatapp, wachangiaji 10m anawapatia wapi wakati kujaza tu uwanja wa Tabata huko anashindwa? Magu na ukuda wake wote saivi anapokea pesa za kina Rostam na wafanyabiashara biashara wengine ndio wafadhili wa kampeni zake.
Lissu kutokana na ratiba yake kuanzia next week anatakiwa kuanza kutumia helicopter, ataweza kwa hizi buku buku za watu 100, huyu jamaa hakujipanga kuja kugombea, hana mikakati zaidi ya kilio cha huruma.
Hoja zako ni Sawa Ila zinakosa ushahidi wa kitakwimu wala hazina mtiririko wa kimantiki.
Ni hisia zako binafsi zaidi kuliko ukweli wa kisayansi.
 
Hoja zako ni Sawa Ila zinakosa ushahidi wa kitakwimu wala hazina mtiririko wa kimantiki.
Ni hisia zako binafsi zaidi kuliko ukweli wa kisayansi.

Kiongozi, Tz ni gharama sababu zina rushwa, ubadhirifu na ufujaji mwingi, fikiria tu CCM kuwapandisha wasanii wote wale Dodoma amechoma kiasi gani na hii ni baada ya kupandisha wasanii 200 kwa Mkapa kama wiki 3 zilizopita.Fikiria tena kama hizo ni michango ya sijui 5m ya machinga au kuna matajiri nyuma huko wanaosimamia show nzima.


Lissu kama anategemea buku buku za walala hoi watz basi ameshindwa tayari, dalili zote zinaonyesha Lissu hajajiandaa na kushindwa kujiandaa ni tayari kushindwa pambano, wasiwasi wangu tu wasije wenzie wakamdhuru ili kutafuta kiki nyingine, Lissu is spent force hana jioya
 
Katika hizo namba ipi ndo yake ya mkononi? Huyu dada ni mzuri jamani acheni tumchangie tu hata akitaka achangiwe na pesa ya mavazi. Kiuhalisia huo mshahara wake hakupaswa kuutumia kabisa.... Tulipaswa wanaume tumwezeshe. Ni aibu huyu dada kuchangiwa ilipaswa apewe pesa...acheni tumpe sisi wenye nazo.
Huyu dada ni mzuri??wewe huna macho?View attachment 1584350
IMG_20200929_122215.jpg
 
Back
Top Bottom