Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni moja ya misukule ya Mbowe mishahara yote inaishia kwenye Sacco'sNa huyu huyu ambae tunataka apumzike, sasa na nyie tena mnataka sijui kukamua nini. Maziwa yameisha jamani
Sasa braza sisi tu pesa ya kula chenga, hiyo ya kuchanga tunatoa wapi? Mlishe kwanza ng'ombe ndio umkamue maziwa, nyie mnataka kukamua maziwa bila hata ng'ombe kula majani. Mtakamua ma....viCatherine Ruge ameingia bungeni May 2017 hivyo hajafikisha muda wa miaka mitano bungeni hata hivyo jambo la kuchangia campaign ni kawaida tu sio geni
Kama kuna michango kapokea tayari hebu fanya namna irudi kwa masikini waliochangaHuyu Dada asijisumbue bure wala hashindi ubunge Jimbo la Serengeti na Kesho nasafiri toka Dodoma kuja kumdhibiti vilivyo!!!!
Kweli bro, huyu adhibitiwe.Huyu ni moja ya misukule ya Mbowe mishahara yote inaishia kwenye Sacco's
Hawajapewa,had I uchaguzi uisheSasa braza hapo kosa langu nini? Amepata kiinua mgongo zaidi ya mil 200 ila leo hii anatuchangisha sisi wengine hata laki hatujui tumeishika lini. Huu wizi haukubaliki
Hawajapewa,had I uchaguzi uishe
Ntakupa mm hela zote za KampeniMgombea ubunge mh.Catherine Ruge wewe umekuwa mbunge wa kipindi cha miaka mitano iliyopita, nilitegemea ungesave ili uje kufanya kampeni vizuri bila kupitisha bakuli.
Catherine umelipwa mshahara + posho kila mwezi zaidi ya mil 12 kwa kipindi cha miaka 5 jumlisha na pesa ya kiinua mgongo zaidi ya mil 200.
Sasa leo inakuwaje tena unaomba mchango wa kampeni yako?
Sisi pesa za kukupa wewe tunazitoa wapi?
Mtuonee huruma jameni, huwezi kukamua ng'ombe ambae hana maziwa.
View attachment 1552380
Pumbavu zako.
Hujalazimishwa kuchangia pumbavuuuHawa tukiwachekea tunaweza kukosa hata mia kwenye mpesa
Unaota ndoto za mchanaHuyu Dada asijisumbue bure wala hashindi ubunge Jimbo la Serengeti na Kesho nasafiri toka Dodoma kuja kumdhibiti vilivyo!!!!
Hujalazimishwa kuchangia pumbavuuu
Chadema mnajidhalilisha.