Uchaguzi 2020 Catherine Ruge tumia pesa za kiinua mgongo kufanya kampeni

Uchaguzi 2020 Catherine Ruge tumia pesa za kiinua mgongo kufanya kampeni

Wewe utachangiwa lini?? Yaani unatoa maji kwenge pipa unapeleka baharini?? Wajinga hamtaisha
Ni kweli,kama nilivyochangia tetemeko kagera,kama nilivyochangia luck vicent ajali,kama nilivyochangia ujenzi wa madarasa eneo ninalotoka ndivyo hivyo hivyo naendelea kunyoosha mkono wangu penye kheri!Usinipangie matumizi ya jasho langu!Kama hujaguswa kaa kando!
 
Mgombea ubunge mh.Catherine Ruge wewe umekuwa mbunge wa kipindi cha miaka mitano iliyopita, nilitegemea ungesave ili uje kufanya kampeni vizuri bila kupitisha bakuli.

Catherine umelipwa mshahara + posho kila mwezi zaidi ya mil 12 kwa kipindi cha miaka 5 jumlisha na pesa ya kiinua mgongo zaidi ya mil 200.

Sasa leo inakuwaje tena unaomba mchango wa kampeni yako?

Sisi pesa za kukupa wewe tunazitoa wapi?

Mtuonee huruma jameni, huwezi kukamua ng'ombe ambae hana maziwa.

View attachment 1552380
Hawa ng'ombe maziwa yamemalizwa na nini ?
 
MATAGA hivi kweli mnaakili?
Nyie wagombea wenu tena walikuwa mawaziri wamepitishwa bila kupingwa. Inamaana hawana kampeni licha ya kuwa na hela nyingi. Mbona hamuwasemi?
Kabudi makamba at el hamuoni aibu?
 
Ni kweli,kama nilivyochangia tetemeko kagera,kama nilivyochangia luck vicent ajali,kama nilivyochangia ujenzi wa madarasa eneo ninalotoka ndivyo hivyo hivyo naendelea kunyoosha mkono wangu penye kheri!Usinipangie matumizi ya jasho langu!Kama hujaguswa kaa kando!
Wewe ndio catherine? Sikuelewielewi, hebu tueleze mil 200 umepeleka wapi?
 
Tuweke itikadi kando, hivi kwa mapato hayo for 5yrs kuna rationale gani kuomba michango? Hawa watu wanazingua sasa! Wanatuonaje akili zetu? Yani kabisa nachukua visenti vya mboga vya wanangu namtumia???[emoji853][emoji853][emoji853]
Miezi mitatu tu nyuma katoka kuchukua kiinua mgongo cha zaidi ya mil 200
 
Wewe ndio catherine? Sikuelewielewi, hebu tueleze mil 200 umepeleka wapi?
Sijui Tr 1.5 zilienda wapi ila nilipoombwa mchango wa tetemeko kagera na serikali nilichanga!So kama unateseka basi sema na wewe nikuchangie vocha!
 
Mgombea ubunge mh.Catherine Ruge wewe umekuwa mbunge wa kipindi cha miaka mitano iliyopita, nilitegemea ungesave ili uje kufanya kampeni vizuri bila kupitisha bakuli.

Catherine umelipwa mshahara + posho kila mwezi zaidi ya mil 12 kwa kipindi cha miaka 5 jumlisha na pesa ya kiinua mgongo zaidi ya mil 200.

Sasa leo inakuwaje tena unaomba mchango wa kampeni yako?

Sisi pesa za kukupa wewe tunazitoa wapi?

Mtuonee huruma jameni, huwezi kukamua ng'ombe ambae hana maziwa.

View attachment 1552380
Catherine Ruge ameingia bungeni May 2017 hivyo hajafikisha muda wa miaka mitano bungeni hata hivyo jambo la kuchangia campaign ni kawaida tu sio geni
 
Mgombea ubunge mh.Catherine Ruge wewe umekuwa mbunge wa kipindi cha miaka mitano iliyopita, nilitegemea ungesave ili uje kufanya kampeni vizuri bila kupitisha bakuli.

Catherine umelipwa mshahara + posho kila mwezi zaidi ya mil 12 kwa kipindi cha miaka 5 jumlisha na pesa ya kiinua mgongo zaidi ya mil 200.

Sasa leo inakuwaje tena unaomba mchango wa kampeni yako?

Sisi pesa za kukupa wewe tunazitoa wapi?

Mtuonee huruma jameni, huwezi kukamua ng'ombe ambae hana maziwa.

View attachment 1552380
Chadema ni chama cha matapeli, wapiga pesa tu.
 
Back
Top Bottom