Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
- #21
Ukiweka tangazo in public tegema kupata majibu in publicamekuchangisha kwa lazima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiweka tangazo in public tegema kupata majibu in publicamekuchangisha kwa lazima?
Daa kuna jamaa alinitukana humu nakaona isiwe kesi nibadilishe😎😎😎😎Dah mkuu karibu nikupite Aisee. Kwanini ulibadilisha avatar picha ya yule Nyani anatembea miondoko ya ajabu
Irudishe Aisee mnavyobadilishabadilisha avatar picha zenu mnatuchanganya aiseeDaa kuna jamaa alinitukana humu nakaona isiwe kesi nibadilishe😎😎😎😎
Ni kweli,kama nilivyochangia tetemeko kagera,kama nilivyochangia luck vicent ajali,kama nilivyochangia ujenzi wa madarasa eneo ninalotoka ndivyo hivyo hivyo naendelea kunyoosha mkono wangu penye kheri!Usinipangie matumizi ya jasho langu!Kama hujaguswa kaa kando!Wewe utachangiwa lini?? Yaani unatoa maji kwenge pipa unapeleka baharini?? Wajinga hamtaisha
Teh teh teh tehIrudishe Aisee mnavyobadilishabadilisha avatar picha zenu mnatuchanganya aisee
Hawa ng'ombe maziwa yamemalizwa na nini ?Mgombea ubunge mh.Catherine Ruge wewe umekuwa mbunge wa kipindi cha miaka mitano iliyopita, nilitegemea ungesave ili uje kufanya kampeni vizuri bila kupitisha bakuli.
Catherine umelipwa mshahara + posho kila mwezi zaidi ya mil 12 kwa kipindi cha miaka 5 jumlisha na pesa ya kiinua mgongo zaidi ya mil 200.
Sasa leo inakuwaje tena unaomba mchango wa kampeni yako?
Sisi pesa za kukupa wewe tunazitoa wapi?
Mtuonee huruma jameni, huwezi kukamua ng'ombe ambae hana maziwa.
View attachment 1552380
muacheni jamani huyo dada ni mzuri
Sasa na wewe si umchangie na hivyo vijihela vyako vya sosiali?
Wewe ndio catherine? Sikuelewielewi, hebu tueleze mil 200 umepeleka wapi?Ni kweli,kama nilivyochangia tetemeko kagera,kama nilivyochangia luck vicent ajali,kama nilivyochangia ujenzi wa madarasa eneo ninalotoka ndivyo hivyo hivyo naendelea kunyoosha mkono wangu penye kheri!Usinipangie matumizi ya jasho langu!Kama hujaguswa kaa kando!
Miezi mitatu tu nyuma katoka kuchukua kiinua mgongo cha zaidi ya mil 200Tuweke itikadi kando, hivi kwa mapato hayo for 5yrs kuna rationale gani kuomba michango? Hawa watu wanazingua sasa! Wanatuonaje akili zetu? Yani kabisa nachukua visenti vya mboga vya wanangu namtumia???[emoji853][emoji853][emoji853]
Sijui Tr 1.5 zilienda wapi ila nilipoombwa mchango wa tetemeko kagera na serikali nilichanga!So kama unateseka basi sema na wewe nikuchangie vocha!Wewe ndio catherine? Sikuelewielewi, hebu tueleze mil 200 umepeleka wapi?
Catherine Ruge ameingia bungeni May 2017 hivyo hajafikisha muda wa miaka mitano bungeni hata hivyo jambo la kuchangia campaign ni kawaida tu sio geniMgombea ubunge mh.Catherine Ruge wewe umekuwa mbunge wa kipindi cha miaka mitano iliyopita, nilitegemea ungesave ili uje kufanya kampeni vizuri bila kupitisha bakuli.
Catherine umelipwa mshahara + posho kila mwezi zaidi ya mil 12 kwa kipindi cha miaka 5 jumlisha na pesa ya kiinua mgongo zaidi ya mil 200.
Sasa leo inakuwaje tena unaomba mchango wa kampeni yako?
Sisi pesa za kukupa wewe tunazitoa wapi?
Mtuonee huruma jameni, huwezi kukamua ng'ombe ambae hana maziwa.
View attachment 1552380
Na huyu huyu ambae tunataka apumzike, sasa na nyie tena mnataka sijui kukamua nini. Maziwa yameisha jamaniHawa ng'ombe maziwa yamemalizwa na nini ?
Ninacho ninatoa wapi? Sisi tunataka wao watuwezeshe sisi ula tuwe nacho, sasa hii ya kutukamua wakati hata majani hatujala HAPANAHaujalazimishwa mkuu kama unacho wewe changia.
Huyu huyu nani ?Na huyu huyu ambae tunataka apumzike, sasa na nyie tena mnataka sijui kukamua nini. Maziwa yameisha jamani
Chadema ni chama cha matapeli, wapiga pesa tu.Mgombea ubunge mh.Catherine Ruge wewe umekuwa mbunge wa kipindi cha miaka mitano iliyopita, nilitegemea ungesave ili uje kufanya kampeni vizuri bila kupitisha bakuli.
Catherine umelipwa mshahara + posho kila mwezi zaidi ya mil 12 kwa kipindi cha miaka 5 jumlisha na pesa ya kiinua mgongo zaidi ya mil 200.
Sasa leo inakuwaje tena unaomba mchango wa kampeni yako?
Sisi pesa za kukupa wewe tunazitoa wapi?
Mtuonee huruma jameni, huwezi kukamua ng'ombe ambae hana maziwa.
View attachment 1552380