Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
- #61
Na hii michango ianze kukatwa kodi
Chadema wameshafanya watanzania wajinga siasa sasa hv ni kazi si jambo la kujitolea iweje watake tuwachangie ?ili jambo serikali inatakiwa wangalie michango yote lazima wawe na approval kwa mtu tunaemchangia kama kweli anatakiwa kuchangiwa isije kuwa wametugeuza fursa