Chama cha wanyonge na wavuja jasho
Kaenda Ikulu mara tatu kisa mke wake apate ubunge,Mbowe huwa simwelewi kabisa
Huna hadhi hata ya kuwa housegirl wa mbowe wewe endelea kulima viazi hapo kijijini kwenuMbowe yuko choka mbaya ndio maana analilia ubunge wa wanawake
Ndio maana anang'Ania ubunge wa watoto wa Kike,Huna hadhi hata ya kuwa housegirl wa mbowe wewe endelea kulima viazi hapo kijijini kwenu
pia ni chama cha malofaChama cha wanyonge na wavuja jasho
uliongea nae etieeNdio maana anang'Ania ubunge wa watoto wa Kike,
View attachment 2368086
Kwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na watanzania wote kuhusu kufanyika kwa vikao vya kawaida vya uongozi ngazi ya Taifa Jijini Dodoma kuanzia tarehe 26 Septemba, 2022 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (CC) na tarehe 27 na 28 Septemba, 2022 Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa (NEC).
#CCMImara
#KaziIendeleeHA
Sahihi kabisa.CCM haiwezi kujadili ujinga Ule wa CC ya CHADEMA, hao COVID 19 ni mpaka 2025
Pale mwanaume anapong'ang'ania kuvaa gauni, Sio kawaidaSahihi kabisa.
HAPANA,Wanaweka mikakati ya kutafuta maeneo mengine ya tozo, baada ya kuona hizo tozo za Mwigulu, wananchi tumezipigia kelele Sana, hadi Serikali 🌌ikasalimu amri na kuzipunguza,🥺
Huyo ana pesa kuliko wewe na ukoo wako wote.Akina Halima ni mpaka 2025 ndio maana wanapewa kamati za kusimamia,Mbowe yuko hoi kiuchumi
Sasa anang'ang'ania ubunge wa wanawake wa nini?Huyo ana pesa kuliko wewe na ukoo wako wote.
NCCR ilishakufa kitambo SanaAZIMIO la kuifuta NCCR
😁😁😁Pale mwanaume anapong'ang'ania kuvaa gauni, Sio kawaida