CC& NEC ya CCM kujichimbia kwa siku tatu Dodoma. Tutarajie nini kutoka maazimio ya CC ya CHADEMA hasa kuhusu wabunge 19

Chama cha wanyonge na wavuja jasho

Chama cha vyombo vya dola. Nenda ukaone hayo mavx/r ya umma hapo nje ndio utajua unyonge wao. Wanyonge wa hicho chama kazi yao ni kusimamishwa kwenye jua kusubiri kuwashangilia wala cake ya taifa.
 
 
Wanaweka mikakati ya kutafuta maeneo mengine ya tozo, baada ya kuona hizo tozo za Mwigulu, wananchi tumezipigia kelele Sana, hadi Serikali 🌌ikasalimu amri na kuzipunguza,🥺
HAPANA,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…