CCM bado awajatoa msimamo wao kwenye huu mkataba, maana yake wanasema Bandari ziuzwe

CCM bado awajatoa msimamo wao kwenye huu mkataba, maana yake wanasema Bandari ziuzwe

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Chama cha mapinduzi kipo kimya kuanzia juu mpaka chini, means wao kwao fikra za Mwenyekiti zidumu.

Nasema hivyo kwa Sababu naamini wao wenyewe mkataba wameona mitandaoni na tumesoma nao shule na vyuo hivihivi, walichobaki nacho nikusengenya nakutukana viongozi wao kwenye vijiwe.

Mara viongozi siyo wazalendo, tumewapa watu wasio na sifa udreva. Bora sukuma gang n.k.

Kwanini msitoke adharani mpinge mawazo ya serikali?
 
Huku teuzi wakiendelea kuziskia kwenye vyombo vya habar
FB_IMG_1686206790040.jpg
 
CCM katika Ilani ya 2020, hakuna Mahali popote tulimtuma Magu au Sa100 kuuza bandari zote za bara.

KAZI hiyo amejituma mwenyewe.

Sa100 must go!!!
 
Kwani nyie chadema mmetoa msimamo? Au mmetoa kauli za kiubaguzi? Nimewapuuza Sana nyie makamanda uchwala
 
Wewe msimamo wako umeutolea wapi? Kwani bila chadema kutoa msimamo so nyie Sukuma gang mtakuwa mnafanya mambo ya hovyo tu?
Hahaaaa chadema wamejikita kwenye ubaguzi tu hamna kitu pale...mbowe must Go!
 
Chama cha mapinduzi kipo kimya kuanzia juu mpaka chini, means wao kwao fikra za Mwenyekiti zidumu.

Nasema hivyo kwa Sababu naamini wao wenyewe mkataba wameona mitandaoni na tumesoma nao shule na vyuo hivihivi, walichobaki nacho nikusengenya nakutukana viongozi wao kwenye vijiwe.

Mara viongozi siyo wazalendo, tumewapa watu wasio na sifa udreva. Bora sukuma gang n.k.

Kwanini msitoke adharani mpinge mawazo ya serikali?
CCM gani hao unaokutana nao katika hiyo midandamo ?!!!

CCM tumpinge mwenyekiti wetu?!!!

Wanachama wa CCM tuna imani na mh.Rais SSH juu ya mabadiliko ya bandari zetu......

Nia yake ni njema kabisa....mifumo ya TEHAMA ni LAZIMA isomane kati ya TPA na TRA kupitia wawekezaji kwani walioko WAMESHINDWA.....

#SiempreSSH[emoji120]
 
Hawa kila kitu kwao ni ndiooooooooooooooooooooooooo
tuachane nao hawanaga msaada maadm wamefanya wao wenyewe
 
Samia saini haraka mkataba wa DP wanaccm hatuna jau na wewe hizo kelele ni za majizi yaliyodumaza hiyo bandari sasa yanaenda kukosa ulaji na kupata aibu
Hayo yakubinafsisha vitega uchumi muhimu vya nchi ni matokeo ya ccm kushindwa kuongoza nchi.sasa wewe ulivyo juha unasherehekea badala usikitike.Kwa miaka 60 ata bandari inawashinda.Alafu wewe ng'eee ng'eeee
 
Chama cha mapinduzi kipo kimya kuanzia juu mpaka chini, means wao kwao fikra za Mwenyekiti zidumu.

Nasema hivyo kwa Sababu naamini wao wenyewe mkataba wameona mitandaoni na tumesoma nao shule na vyuo hivihivi, walichobaki nacho nikusengenya nakutukana viongozi wao kwenye vijiwe.

Mara viongozi siyo wazalendo, tumewapa watu wasio na sifa udreva. Bora sukuma gang n.k.

Kwanini msitoke adharani mpinge mawazo ya serikali?
Hapo juu ya CCM yupo nani!!??
si yupo Mwenyekiti wa ccm
 
CCM gani hao unaokutana nao katika hiyo midandamo ?!!!

CCM tumpinge mwenyekiti wetu?!!!

Wanachama wa CCM tuna imani na mh.Rais SSH juu ya mabadiliko ya bandari zetu......

Nia yake ni njema kabisa....mifumo ya TEHAMA ni LAZIMA isomane kati ya TPA na TRA kupitia wawekezaji kwani walioko WAMESHINDWA.....

#SiempreSSH[emoji120]
Sema mmeshindwa.uwezo wenu wakufikiri na kutenda umeshakwisha.Ccm haina jipya itakaloliweza tena labda hili lakukabidhi wengine wawafanyie.
 
Hayo yakubinafsisha vitega uchumi muhimu vya nchi ni matokeo ya ccm kushindwa kuongoza nchi.sasa wewe ulivyo juha unasherehekea badala usikitike.Kwa miaka 60 ata bandari inawashinda.Alafu wewe ng'eee ng'eeee
Ndo ishaisha hiyoo DP world hoyeeeee!
 
Back
Top Bottom