sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Mch.Ananja anasema hivi ukianza kuuliza maswali kanisani wewe sio muumini kama unataka maswali uende chuo kikuu, kwa kila kitu unatakiwa kusema Amen, umeelewa hujaelewa nenda utaelewa wiki ijayo.Nanyie mmefikia hapo?CCM gani hao unaokutana nao katika hiyo midandamo ?!!!
CCM tumpinge mwenyekiti wetu?!!!
Wanachama wa CCM tuna imani na mh.Rais SSH juu ya mabadiliko ya bandari zetu......
Nia yake ni njema kabisa....mifumo ya TEHAMA ni LAZIMA isomane kati ya TPA na TRA kupitia wawekezaji kwani walioko WAMESHINDWA.....
#SiempreSSH[emoji120]