Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Wewe msimamo wako umeutolea wapi? Kwani bila chadema kutoa msimamo so nyie Sukuma gang mtakuwa mnafanya mambo ya hovyo tu?Kwani nyie chadema mmetoa msimamo? Au mmetoa kauli za kiubaguzi? Nimewapuuza Sana nyie makamanda uchwala
Hahaaaa chadema wamejikita kwenye ubaguzi tu hamna kitu pale...mbowe must Go!Wewe msimamo wako umeutolea wapi? Kwani bila chadema kutoa msimamo so nyie Sukuma gang mtakuwa mnafanya mambo ya hovyo tu?
Hivi benard membe Hana watoto au awamu Kwa awamuHuku teuzi wakiendelea kuziskia kwenye vyombo vya habarView attachment 2650472
CCM gani hao unaokutana nao katika hiyo midandamo ?!!!Chama cha mapinduzi kipo kimya kuanzia juu mpaka chini, means wao kwao fikra za Mwenyekiti zidumu.
Nasema hivyo kwa Sababu naamini wao wenyewe mkataba wameona mitandaoni na tumesoma nao shule na vyuo hivihivi, walichobaki nacho nikusengenya nakutukana viongozi wao kwenye vijiwe.
Mara viongozi siyo wazalendo, tumewapa watu wasio na sifa udreva. Bora sukuma gang n.k.
Kwanini msitoke adharani mpinge mawazo ya serikali?
Una maana bila Mbowe nyie hamuwezi fanya kitu cha maana?Hahaaaa chadema wamejikita kwenye ubaguzi tu hamna kitu pale...mbowe must Go!
Kwani anakipi Cha maanaUna maana bila Mbowe nyie hamuwezi fanya kitu cha maana?
Kweli CCM ina wenyewe haki ya nani🤣🤣🤣!!! Majina yote ya watoto wa wakubwaHuku teuzi wakiendelea kuziskia kwenye vyombo vya habarView attachment 2650472
Sasa mnamlilia awasaidie nini kama hana cha maana?Kwani anakipi Cha maana
Sasa mbona kila kitu mnataka Mbowe ndiye awasemee?Kwani anakipi Cha maana
Hayo yakubinafsisha vitega uchumi muhimu vya nchi ni matokeo ya ccm kushindwa kuongoza nchi.sasa wewe ulivyo juha unasherehekea badala usikitike.Kwa miaka 60 ata bandari inawashinda.Alafu wewe ng'eee ng'eeeeSamia saini haraka mkataba wa DP wanaccm hatuna jau na wewe hizo kelele ni za majizi yaliyodumaza hiyo bandari sasa yanaenda kukosa ulaji na kupata aibu
Hapo juu ya CCM yupo nani!!??Chama cha mapinduzi kipo kimya kuanzia juu mpaka chini, means wao kwao fikra za Mwenyekiti zidumu.
Nasema hivyo kwa Sababu naamini wao wenyewe mkataba wameona mitandaoni na tumesoma nao shule na vyuo hivihivi, walichobaki nacho nikusengenya nakutukana viongozi wao kwenye vijiwe.
Mara viongozi siyo wazalendo, tumewapa watu wasio na sifa udreva. Bora sukuma gang n.k.
Kwanini msitoke adharani mpinge mawazo ya serikali?
Sema mmeshindwa.uwezo wenu wakufikiri na kutenda umeshakwisha.Ccm haina jipya itakaloliweza tena labda hili lakukabidhi wengine wawafanyie.CCM gani hao unaokutana nao katika hiyo midandamo ?!!!
CCM tumpinge mwenyekiti wetu?!!!
Wanachama wa CCM tuna imani na mh.Rais SSH juu ya mabadiliko ya bandari zetu......
Nia yake ni njema kabisa....mifumo ya TEHAMA ni LAZIMA isomane kati ya TPA na TRA kupitia wawekezaji kwani walioko WAMESHINDWA.....
#SiempreSSH[emoji120]
Ndo ishaisha hiyoo DP world hoyeeeee!Hayo yakubinafsisha vitega uchumi muhimu vya nchi ni matokeo ya ccm kushindwa kuongoza nchi.sasa wewe ulivyo juha unasherehekea badala usikitike.Kwa miaka 60 ata bandari inawashinda.Alafu wewe ng'eee ng'eeee