Mch.Ananja anasema hivi ukianza kuuliza maswali kanisani wewe sio muumini kama unataka maswali uende chuo kikuu, kwa kila kitu unatakiwa kusema Amen, umeelewa hujaelewa nenda utaelewa wiki ijayo.Nanyie mmefikia hapo?CCM gani hao unaokutana nao katika hiyo midandamo ?!!!
CCM tumpinge mwenyekiti wetu?!!!
Wanachama wa CCM tuna imani na mh.Rais SSH juu ya mabadiliko ya bandari zetu......
Nia yake ni njema kabisa....mifumo ya TEHAMA ni LAZIMA isomane kati ya TPA na TRA kupitia wawekezaji kwani walioko WAMESHINDWA.....
#SiempreSSH[emoji120]
CCM ingangari mkuu....[emoji120]Sema mmeshindwa.uwezo wenu wakufikiri na kutenda umeshakwisha.Ccm haina jipya itakaloliweza tena labda hili lakukabidhi wengine wawafanyie.
M23Chama cha mapinduzi kipo kimya kuanzia juu mpaka chini, means wao kwao fikra za Mwenyekiti zidumu.
Nasema hivyo kwa Sababu naamini wao wenyewe mkataba wameona mitandaoni na tumesoma nao shule na vyuo hivihivi, walichobaki nacho nikusengenya nakutukana viongozi wao kwenye vijiwe.
Mara viongozi siyo wazalendo, tumewapa watu wasio na sifa udreva. Bora sukuma gang n.k.
Kwanini msitoke adharani mpinge mawazo ya serikali?
Kwani kupengele kipi cha mkataba kinasema Bandari iuzwe? Tuanzie hapoChama cha mapinduzi kipo kimya kuanzia juu mpaka chini, means wao kwao fikra za Mwenyekiti zidumu.
Nasema hivyo kwa Sababu naamini wao wenyewe mkataba wameona mitandaoni na tumesoma nao shule na vyuo hivihivi, walichobaki nacho nikusengenya nakutukana viongozi wao kwenye vijiwe.
Mara viongozi siyo wazalendo, tumewapa watu wasio na sifa udreva. Bora sukuma gang n.k.
Kwanini msitoke adharani mpinge mawazo ya serikali?
CCM ni majangili tupuChama cha mapinduzi kipo kimya kuanzia juu mpaka chini, means wao kwao fikra za Mwenyekiti zidumu.
Nasema hivyo kwa Sababu naamini wao wenyewe mkataba wameona mitandaoni na tumesoma nao shule na vyuo hivihivi, walichobaki nacho nikusengenya nakutukana viongozi wao kwenye vijiwe.
Mara viongozi siyo wazalendo, tumewapa watu wasio na sifa udreva. Bora sukuma gang n.k.
Kwanini msitoke adharani mpinge mawazo ya serikali?