CCM bado awajatoa msimamo wao kwenye huu mkataba, maana yake wanasema Bandari ziuzwe

Mch.Ananja anasema hivi ukianza kuuliza maswali kanisani wewe sio muumini kama unataka maswali uende chuo kikuu, kwa kila kitu unatakiwa kusema Amen, umeelewa hujaelewa nenda utaelewa wiki ijayo.Nanyie mmefikia hapo?
 
M23
 
Kwani kupengele kipi cha mkataba kinasema Bandari iuzwe? Tuanzie hapo
 
Naona Bashe nae baada ya kupigwa Biti kuuza mazao nje.
Your browser is not able to display this video.
 
CCM ni majangili tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…