Wana
Ndio maana jpm awamu iliyopita aliamua kuteua vijana wa bavicha akawapa shavu akayaacha mandunguyeye ya uvccm.
Wazee (76%) wana uwezekano mkubwa wa kusema wapo karibu na CCM kuliko vijana (49%); wanawake (63%) wapo karibu zaidi na CCM kuliko wanaume (53%); na wasio na elimu (66%) wapo karibu zaida na chama tawala kuliko wenye elimu ya juu (46%).
Wanawake 63% na wanaume 53% nchi ina watu asililimia ngapi kwa pamoja?? Uvccm hizo hela mnazokula zitendeeni haki japo kidogo.Tunachoangalia ni uwezo wa mtu sio jinsia ya mtu,
Ebu acheni propaganda za kibeberu za usawa wa kijinsia
Ndio maana jpm awamu iliyopita aliamua kuteua vijana wa bavicha akawapa shavu akayaacha mandunguyeye ya uvccm.