Uchaguzi 2020 CCM bado imekumbatia mfumo dume? Kati ya majimbo 200+ ni wanawake 14 tu ndo wamepenya kugombea Ubunge

Uchaguzi 2020 CCM bado imekumbatia mfumo dume? Kati ya majimbo 200+ ni wanawake 14 tu ndo wamepenya kugombea Ubunge

Magu sijui kalikoroga wapi hadi wanawake wanampiga chini.
Naam, kinaMama sasa wanajibainisha na chama kinachojali mahitaji ya mtanzania na kinamama hawa wa Mtama wanasema sasa basi ! CHADEMA ndiyo mtetezi wa familia zao.
 
Magu sijui kalikoroga wapi hadi wanawake wanampiga chini.

Hii ya kusomesha Watanzania namba kumeiathiri sana familia na kiongozi wa kaya ktk kupika, kupeleka watoto hospitali n.k kunamgusa sana mama au tuseme wanawake wote.

Sisi wanaume tunashinda nje ya nyumba na kujikongoja majumbani giza likiwa limeingia na shida zote, mlo mmoja kwa siku n.k atakuwa ameibeba mwanamke.

Kina mama wanaguswa sana na maonevu wanayoyaona watetezi wao wanapitia ndani ya Bunge na nje ya bunge na wanawafahamu hao wanaosababisha yote.

Mifano ni mingi hakuna mama au mwanamke au mke atakayefurahia unyonge wa mtoto wake, mumewe kiuchumi na wanafahamu ni kina nani wanaowasomesha namba.
 
Mbeya,Tanzania

WANAWAKE CHADEMA WAMLILIA SUGU

Hisia za wanawake kanda ya CHADEMA Nyasa kitendo cha Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu kufungwa jela, mbunge Upendo Peneza azungumzia kilio cha mwanamke kuitaka serikali iache kutengeneza mazingira ya fujo, wanawake wanataka uhakika wataamka salama kwenda ktk shughuli zao wao na familia zao, anamalizia rai yake Upendo Peneza.

 
Ungekuja na takwimu ya idadi ya wanawake waliojitokeza kutia nia kwenye majimbo yao ili tuchakate.

Maana huwezi mlazimisha mtu kuwa mwanasiasa.
Mkuu samahani nadhani chama ndo kinatakiwa kitengeneze mazingira safi kwa ajili ya akina mama kuingia kwenye mchakato kama ilivyo kwa CDM.

Kumbuka hata teuzi za Meko 80% ni Me tu. Ndo maana nadhani kuna haja ya CCM kuamini akina na kuwapatia nafasi kwa kutumia approaches za GAD WAD NA WID.
 
Hoja hii imekuwa ngumu sana kutetewa na wana Buku7 wa mtaa wa Lumumba wakati inagusa 50% ya waTanzania.

Sijui kwanini CCM Mpya wamejificha hawaji kutufahamisha uzuri wa mfumo huu waliouchagua na sababu zake.
 
Tunachoangalia ni uwezo wa mtu sio jinsia ya mtu,
Ebu acheni propaganda za kibeberu za usawa wa kijinsia
Mzee Propoganda gani mzee...Nyerere alikuwa na akina bibi binti Kikwete wabunge walikiwa 33 LEO mzee wa chattle 11 half alivyofunga bunge alisema akina mama wapewe nafas mbona kauli hiyo haijatendeka ktk chama chake.
 
Hoja hii imekuwa ngumu sana kutetewa na wana Buku7 wa mtaa wa Lumumba wakati inagusa 50% ya waTanzania.

Sijui kwanini CCM Mpya wamejificha hawaji kutufahamisha uzuri wa mfumo huu waliouchagua na sababu zake.
Kipindi cha JK walifika 33 kwa mdhalilishaji ni 13 tu, hata wakuu wa wilaya na mkoa ni wachache sana.
 
Hali Halisi ya mgombea akiomba kura


CCM ni zaidi unavyoifahamu mjumbe wa baraza kuu la CCM Taifa afunguka :

Agosti 2020
Mahojiano baadaye baada ya mkwamo
DADA ALIYESHINDWA KUOMBA KURA CCM ATAJA SABABU /UCHAWI WACHANGIA

 
Mfumo dume kivipi?

Uwiano kati ya wanawake na wanaume walioomba ukoje? Je wanawake walioomba walioomba wakakosa wanakidhi vigezo au wapewe tuu kwa sababu ni wanawake?
 
Kwani Bonna Kamoli ni wa jimbo gani? Au huna taarifa kwamba alibadilisha kutoka Bonna Kaluwa kuwa Bonna Kamoli? Mimi naona kamsahau Hawa Ghasia na wengine wa kutoka Zanzibar
Mbona Segerea hujamuweka?
 
Back
Top Bottom