DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Tulia uwe sanitized kijana
Hiv kipindi hiki kagasheki akutangaza nia?
Mbona magufuli alikuwa mbunge biharamulo au huko sio kwa wahaya?Msukuma kwao ni kahama.
Mbona magufuli alikuwa mbunge biharamulo au huko sio kwa wahaya?
Kwahiyo kungekua na wahaya asingepata ubunge kwasababu ni msukuma?Huko kuna warundi tu hakuna Wahaya ndo maana alipata ubunge.
Jamaa ana akili Sana, maagizo kutoka juu yange mharibia.Aaaa kapima upepo kaona asichome hela yake bure.
Katika majimbo yote hapa Tz kwa Bukoba mjini ccm mtachezea kichapo cha karne.
Hivi huyo diwani wa Ijuganyondo kamala anawezaje kumshinda Chief kalumuna kwenye ubunge hapo ccm jiandaeni kulia tena uzuri sisi Bukoba mjini tunajitambua.
Kwahiyo kungekua na wahaya asingepata ubunge kwasababu ni msukuma?
Tulia uwe sanitized kijana
Kasiinge waiitu, pigeni chini huyo mwana lumumba na mchagueni huyo mwana CDM ili akawawakilishe vyema bungeni.