Uchaguzi 2020 CCM Bukoba Mjini huyu Kamala Kalumuna mliyempitisha mnadhani sisi watu wa Bukoba hatujitambui! Subirini dawa...

Uchaguzi 2020 CCM Bukoba Mjini huyu Kamala Kalumuna mliyempitisha mnadhani sisi watu wa Bukoba hatujitambui! Subirini dawa...

Sawa lakini si mambo ya kuendekeza maana ni hatari.

Watu wetu ni wepesi sana ukiwasisimua tu wanalipuka kama moto wa petroli...hata Watusi na Wahutu ni lugha moja lakini waliposisimuliwa tuliuona mziki wake.
Ni kweli we are so primitive kiasi kwamba ni hiyo basi tu kuwa duniani. Lakini na USa ni hivyo na ubaguzi in the other form and style!
 
Mshikaji huyu hata simwelewi kabisa.
Hana ubavu wa kumshinda Chief Kalumuna.Baba yao alikuwa Diwani Kule Ijuganyondo,akaondoka akamwachia mtoto,mtoto amekaa katika udiwani almost miaka 5 sasa anautafuta ubunge.
Chiefu alikuwa meya wa manispaa ya Bukoba,angalau anajua anachokifanya kuliko huyu wa Ijuganyondo.
 
Katika majimbo yote hapa Tz kwa Bukoba mjini ccm mtachezea kichapo cha karne.


Hivi huyo diwani wa Ijuganyondo kamala anawezaje kumshinda Chief kalumuna kwenye ubunge hapo ccm jiandaeni kulia tena uzuri sisi Bukoba mjini tunajitambua.
Si usubiri sanduku la kura? mbona unatapatapa? umepanick!!!
 
Kila mtu anabidi agombee kwao ndo maana Makonda kachezea kichapo kikali.
uzuri Chadema mumeweka wachaga na wapare Dar es salaam kama wagombea kwa hiyo wajiandae kukiona au sio .Unawaambia akina Halima Mdee si ndiyo
 
uzuri Chadema mumeweka wachaga na wapare Dar es salaam kama wagombea kwa hiyo wajiandae kukiona au sio .Unawaambia akina Halima Mdee si ndiyo


Lazima wagombee kwao Juakali kapata kura 05 tu aaaahaa badala angegombea kwao Usukumani sasa anaishia kupata aibu , angalia Lijitu zima Mashinji linaambulia kura 02.
 
Chief kalumuna angombea chadema ndo meya mstaafu wa chadema ila Kamala Kalumuna ndo kapitishwa ccm sasa Mimi naona hapa chief kashashinda Asubui na Mapema kamala atachezea kichapo kikali.
Hiv huyo chief kafany
 
Chief kalumuna angombea chadema ndo meya mstaafu wa chadema ila Kamala Kalumuna ndo kapitishwa ccm sasa Mimi naona hapa chief kashashinda Asubui na Mapema kamala atachezea kichapo kikali.
Hiv huyo chief kafanya nini?

Mbona stendi bado ya matope?
 
Mhaya bhana roho mbaya,ndio maana mji wenu unafanana na halmashauri ya nzega.
Hata kama wangemuweka babako bado usingemkubali
Bukoba hii au nyingine?
Screenshot_20200721-185834.jpeg
 
Nina imani waliochukua fomu walikua wengi, asilimia kubwa ni wahaya.
Kama kamati kuu imeona Kalumuna ndie anafaa licha ya kutokua Mhaya sidhani kama kuna makosa.

Tatizo lenu msiokua na nafasi za kufanya maamuzi ndio mnaendeleza ukabila, kuna wahaya wangapi walipitishwa na hata kushinda nafasi mbalimbali nje ya Bukoba? Ama nyie ni halali kushinda mikoa ya wasukuma ama wagogo, lakini wasio wahaya hawaruhusiwi kuongoza kwenu hata kama wanavigezo?
Mbona huyo Kamala ni muhaya kabisa tena ni wa bukoba huko. Huko
 
Mshikaji huyu hata simwelewi kabisa.
Hana ubavu wa kumshinda Chief Kalumuna.Baba yao alikuwa Diwani Kule Ijuganyondo,akaondoka akamwachia mtoto,mtoto amekaa katika udiwani almost miaka 5 sasa anautafuta ubunge.
Chiefu alikuwa meya wa manispaa ya Bukoba,angalau anajua anachokifanya kuliko huyu wa Ijuganyondo.
Kule ijuganyondo kuna nini. Mbona balabala ya kuelekea kaizirege( kemebos) mbovu sana
 
Hawa jamaa WAZIBA ndio wanaoharibu "image" nzima ya wahaya hadi kuonekana wahaya ni watu wa hovyo! Waziba wabaguzi hadi ile sera ya apartheid nadhani Afrika Kusini walikopi kutoka Buyango....ila Mungu ni wa ajabu sana, pigo la UKIMWI liliwasambaratisha sana kiasi kwamba sasa hivi Buyango wamejaa Wasubi na Warundi!
Mnyauko pia imekomesha mbwembwe zao,, haka kajamii kaovyo sana
 
Nipo hapa napitia comments za wajomba zangu.mara ya mwisho kufika katoma ilikuwa 1994.
 
Back
Top Bottom