Uchaguzi 2020 CCM Bukoba Mjini huyu Kamala Kalumuna mliyempitisha mnadhani sisi watu wa Bukoba hatujitambui! Subirini dawa...

Uchaguzi 2020 CCM Bukoba Mjini huyu Kamala Kalumuna mliyempitisha mnadhani sisi watu wa Bukoba hatujitambui! Subirini dawa...

mbona Mhaya wa Chato kashinda pale Kawe Dsm na atabwagwa na Halima mdee
waachie waliompitisha kazi kwao ni kumtetea hata kwa goli la mkono apite
Mpwa wa Jiwe. Kijana tena Kinda la kuku hajulikani kabisa kabisa. Tafuta clip uone alivyo na maconf! Hakujinadi, anajua atapita tu. Atapigwa chini mpaka afe
 
Tulikuja hapo kikazi kutembelea shule za hapo bukoba, tukaenda kwenye shule yake ya Peace.

Aisee imechoka sana kuanzia mazingira mpaka miundo mbinu
Amani naye aliunga Juhudi za Jpm ila amechezea kichapo kikali, yaani nivichekezo.
 
Ubaguzi ni asili, wanachotafuta ni kianzio tu wahalalishe mambo yao.

Hata Mwalimu enzi zake alikuta mzozo huko kundi moja likilalamika kwa nini wameletewa Mgombea "Mziba" (kama nimepatia hilo jina)....ili hali wote ni Wahaya.
Mmakonde na Mmawia siyo sawa! Mziba ndio original, tena wa Kanyigo. Msinipige mawe, naaema nilichoambiwa
 
Mpwa was Jiwe. Kijana tens Kinda LA kuku hajulikani kabisa kabisa. Tafuta clip uone alivyo na maconf! Hakujinadi, anajua atapitab tu. Atapigwa chini mpaka afe
Kwa kawe huyo jamaa atapigwa vibaya sana, hata kama watafanya figisu ila wajiandae sana
 
Nina imani waliochukua fomu walikua wengi, asilimia kubwa ni wahaya.
Kama kamati kuu imeona Kalumuna ndie anafaa licha ya kutokua Mhaya sidhani kama kuna makosa.

Tatizo lenu msiokua na nafasi za kufanya maamuzi ndio mnaendeleza ukabila, kuna wahaya wangapi walipitishwa na hata kushinda nafasi mbalimbali nje ya Bukoba? Ama nyie ni halali kushinda mikoa ya wasukuma ama wagogo, lakini wasio wahaya hawaruhusiwi kuongoza kwenu hata kama wanavigezo?
 
Yaani ccm sijui wajumbe wamefanya vichekesho kiukweli yaani wanaleta bwana kamala kupambana na chief aaaah hivi nivichekesho.
Kwa hiyo huyo chief awe anapata uongozi wa kuchaguliwa bila kushindanishwa, kwani huo u chief haumtoshi, mwambie aache tamaaa
 
Back
Top Bottom