Yaani ccm sijui wajumbe wamefanya vichekesho kiukweli yaani wanaleta bwana kamala kupambana na chief aaaah hivi nivichekesho.
huko kwenu kwenye kampeni huwa wanapiga magoti au pushapu? mi niwashauri akija kuomba kura mwambieni apige pushapu hamsini, akiinuka mpeni kura!
Hiv kipindi hiki kagasheki akutangaza nia?
So ulisema chief anagombea CDM? Leo imekuwaje tenaYaani ccm sijui wajumbe wamefanya vichekesho kiukweli yaani wanaleta bwana kamala kupambana na chief aaaah hivi nivichekesho.
Kwani huyo mgombea siyo muhaya?
Pigeni chini kabisaMsukuma kwao ni kahama.
Kwani Maguduli ni mhaya?Mbona magufuli alikuwa mbunge biharamulo au huko sio kwa wahaya?
Mbona magufuli alikuwa mbunge biharamulo au huko sio kwa wahaya?
Mhaya bhana roho mbaya,ndio maana mji wenu unafanana na halmashauri ya nzega.Katika majimbo yote hapa Tz kwa Bukoba mjini ccm mtachezea kichapo cha karne.
Hivi huyo diwani wa Ijuganyondo kamala anawezaje kumshinda Chief kalumuna kwenye ubunge hapo ccm jiandaeni kulia tena uzuri sisi Bukoba mjini tunajitambua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko kuna warundi tu hakuna Wahaya ndo maana alipata ubunge.
So ulisema chief anagombea CDM? Leo imekuwaje tena
Na Lema ni Mbunge hapa Arusha na Wamasai tupo....huyo jamaa ni mbaguzi tu hana lolote...ni Kaburu...na Kaburu ni Kaburu tu.Mbona magufuli alikuwa mbunge biharamulo au huko sio kwa wahaya?
Kila mtu anabidi agombee kwao ndo maana Makonda kachezea kichapo kikali.
Ccm wametuletea msukuma eti atuwakilishe yaani vichekesho hivi tutampatia kichapo cha karne[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu owomkyalo kwani sio haohao wanaCCM wa bukoba mjini ndio wamehusika kumpigia kura na kampa ushindi au kuna udanganyifu umepita hapo?Katika majimbo yote hapa Tz kwa Bukoba mjini ccm mtachezea kichapo cha karne.
Hivi huyo diwani wa Ijuganyondo kamala anawezaje kumshinda Chief kalumuna kwenye ubunge hapo ccm jiandaeni kulia tena uzuri sisi Bukoba mjini tunajitambua.
mbona Mhaya wa Chato kashinda pale Kawe Dsm na atabwagwa na Halima mdeeMsukuma kwao ni kahama.
Chief bado yupo cdm na ndiye mgombea wa cdm.So ulisema chief anagombea CDM? Leo imekuwaje tena
Wamewaletea mushutiChief kalumuna angombea chadema ndo meya mstaafu wa chadema ila Kamala Kalumuna ndo kapitishwa ccm sasa Mimi naona hapa chief kashashinda Asubui na Mapema kamala atachezea kichapo kikali.