Mhaya bhana roho mbaya,ndio maana mji wenu unafanana na halmashauri ya nzega.
Hata kama wangemuweka babako bado usingemkubali
Aliye wahi kuwa diwani bukoba bila kuwa mhaya ni yule Amani ambaye ni mnyarwanda
Wamewaletea mushuti
Mpwa wa Jiwe. Kijana tena Kinda la kuku hajulikani kabisa kabisa. Tafuta clip uone alivyo na maconf! Hakujinadi, anajua atapita tu. Atapigwa chini mpaka afembona Mhaya wa Chato kashinda pale Kawe Dsm na atabwagwa na Halima mdee
waachie waliompitisha kazi kwao ni kumtetea hata kwa goli la mkono apite
Amani naye aliunga Juhudi za Jpm ila amechezea kichapo kikali, yaani nivichekezo.
Wakabwa mnaukabila sana.Ccm wametuletea msukuma eti atuwakilishe yaani vichekesho hivi tutampatia kichapo cha karne😀😀😀😀
Mmakonde na Mmawia siyo sawa! Mziba ndio original, tena wa Kanyigo. Msinipige mawe, naaema nilichoambiwaUbaguzi ni asili, wanachotafuta ni kianzio tu wahalalishe mambo yao.
Hata Mwalimu enzi zake alikuta mzozo huko kundi moja likilalamika kwa nini wameletewa Mgombea "Mziba" (kama nimepatia hilo jina)....ili hali wote ni Wahaya.
Kwa kawe huyo jamaa atapigwa vibaya sana, hata kama watafanya figisu ila wajiandae sanaMpwa was Jiwe. Kijana tens Kinda LA kuku hajulikani kabisa kabisa. Tafuta clip uone alivyo na maconf! Hakujinadi, anajua atapitab tu. Atapigwa chini mpaka afe
Wakabwa mnaukabila sana.
Kwa hiyo nyie mabhojo hamtutaki Wasukuma? 😈Ccm wametuletea msukuma eti atuwakilishe yaani vichekesho hivi tutampatia kichapo cha karne😀😀😀😀
Muulize huyo mtoa mada atakufafanulia.Hivi bukoba kuna kabila linaitwa WAKABWA?
No ni wakiziba hawa ndio wanaukabila sio wakabwa.Hivi bukoba kuna kabila linaitwa WAKABWA?
Mjanja huyo!Aaaa kapima upepo kaona asichome hela yake bure.
Ya kuchakachua?Subirini matokeo acheni porojo
Wakabwa mnaukabila sana.
Kwa hiyo huyo chief awe anapata uongozi wa kuchaguliwa bila kushindanishwa, kwani huo u chief haumtoshi, mwambie aache tamaaaYaani ccm sijui wajumbe wamefanya vichekesho kiukweli yaani wanaleta bwana kamala kupambana na chief aaaah hivi nivichekesho.
Kwa hiyo huyo chief awe anapata uongozi wa kuchaguliwa bila kushindanishwa, kwani huo u chief haumtoshi, mwambie aache tamaaa
Nani kwao Kahama?? JinaMsukuma kwao ni kahama.