Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM, akiwa mbunge alishiriki kwenye kutunga sheria inayowataka viongozi wazikwe Dodoma pindi wanapofariki, na ENEO limetengwa ... BAADAYE, BAADA YA YEYE KUWA RAIS, ALISEMA WAZI KUWA ALILIUNGA MKONO KWA VILE HAKUJUA KAMA SIKU MOJA ATAKUWA RAIS...
Hii ndio nini mkuu?JPM, akiwa mbunge alishiriki kwenye kutunga sheria inayowataka viongozi wake Dodoma... BAADAYE, BAADA YA YEYE KUWA RAIS, ALISEMA WAZI KUWA ALIIUNGA MKONO KWA VILE HAKUJUA KAMA SIKU MOJA ATAKUWA RAIS...
Ubinafsi huu..
Tunataka katiba ibadilishwe mama atawale milele au hadi achoke mwenyewe. Kama ilivyotaka kufanyika kwa jiwe
Kwamba wanayasema hayo ya katiba, kwa vile wao hayawagusi... Kama vile JPM ALIVYOFANYAHii ndio nini mkuu?
Kwa hiyo jiwe alikuwa anatest? Au ndiyo maana akakata moto?Hii nchi haitawaliwi kama mnavyotawaliwa na Mbowe.
Si kwa sababu inawabeba nyakati zote za uchaguzi! Tangu lini mtu akaukata mkono wake mwenyewe unao mlisha? Tunafahamu hiyo Katiba iliandaliwa na akina Msekwa mwska 1977 ili kuifanya ccm kutawala milele kama vikivyo vyama vingine vyw Kijwmaa duniani!
Umemsahau na Lowassa alipokuwa mgombea wa kupachikwa wa cdm.Membe pia aliona mapungufu ya katiba alipokuwa mgombea Urais nje ya CCM.
Hahaaaa mkuu huo ndiyo ukweli. Jamaa alitutest ikala kwakeUnawashwa?
Huu ndio ushauri sahihi. Ni nadra sana waafrika kufanya mabadiliko yao ya mifumo ya kiutawala kwa amani bila machafuko kwanza. Mara zote machafuko ndio huleta kuheshimiana.Wanaotaka katiba mpya waitafute kwa nguvu. Ccm haiwezi badili katiba ili wawasaidie upinzani kuingia madarakani au wawarahisishie kumtikisa raisi. Piganeni.
Mkuu mbona unapindisha mada? Mtu kuukata mkono unaomlisha ni tofauti na katiba inayofaaaSi kwa sababu inawabeba nyakati zote za uchaguzi! Tangu lini mtu akaukata mkono wake mwenyewe unao mlisha? Muda utafika tu wa kuukata huo mkono kwa nguvu! Mtake msitake.
Ni suala tu la muda.
Huu sio wakati wa kuhamasisha vita, kama Ccm haifai itaondolewa kwa kura na wananchi.Huu ndio ushauri sahihi. Ni nadra sana waafrika kufanya mabadiliko yao ya mifumo ya kiutawala kwa amani bila machafuko kwanza. Mara zote machafuko ndio huleta kuheshimiana.
Hawa bado , wanaendelea kumchukiza mungu chama Cha siasa tena pitia KWA kikundi tu hakiwezi kua sauti ya watz mil 50
Narudia tena, bila machafuko ni nadra mabadiliko kufanywa na waafrika. Njia ya kura inafahamika kuwa haiwezi kuwaondoa madarakani ving'ang'anizi wa madaraka. Chaguzi zote za kishenzi chini ya Magu zimethibitisha kuwa kura ni njia ya kupotezeana muda.Huu sio wakati wa kuhamasisha vita, kama Ccm haifai itaondolewa kwa kura na wananchi.
Correct 100%.Wanaodai katiba mpya wanatumiwa na mabeberu wakidhani kwamba watapata nafasi ya kupenyeza ujinga wao.Hongereni NEC,simameni imara kwa maslahi mapana ya nchi yetu.