JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Kama huwezi kupigana na kupanda mpaka juu na kuibadili katiba basi tii katiba iliyopo.Huu ndio ushauri sahihi. Ni nadra sana waafrika kufanya mabadiliko yao ya mifumo ya kiutawala kwa amani bila machafuko kwanza. Mara zote machafuko ndio huleta kuheshimiana.