CCM Dodoma: Hakuna haja ya Katiba Mpya Tanzania kwa sasa, Katiba ya Mwaka 1977 bado inafaa

CCM Dodoma: Hakuna haja ya Katiba Mpya Tanzania kwa sasa, Katiba ya Mwaka 1977 bado inafaa

Katiba mfu katiba iliyokufa kuitumia kuongoza kizazi cha sasa ni utopolo
 
Katiba mfu katiba iliyokufa kuitumia kuongoza kizazi cha sasa ni utopolo
Ni maoni yao Kama Wana CCM.
Japo hawana hatimiliki ya katiba.

Siku wananchi wakiamua kuidai hakuna wa kuzuia.
Katu usitegemee ccm yeyeto akupe katiba mpya mapema saa Mbili asubui ccm wanalala
 
images (13).jpeg
ubovu wa katiba umechangia kutuletea watu kama hawa kuwa watoa maamuzi hata kwenye mambo nyeti ya watanzania!
 
Change before the time changes you, hatuwezi kuishi kwenye msimu wa kiangazi pekee tunahitaji msimu mpya kama nchi.
 
Nahisi Mimi sitokuja kuipenda.
Hujapata madaraka.

Hata Museven kwenye kitabu chake cha "Sowing the musterseed ) alichokiandika kabla hajashika madaraka, anasema, anashangaa kwanini mtawala anakaa madarakani muda mrefu.
 
Thubutu, ccm uwezo huo hawana bali rais dhalimu ndio alijaribu hilo kwa muda mfupi. Kwa sasa dhalimu hayupo, na ccm sio imara hivyo. Toa mwaka tu utapata mrejesho.
Ccm ni system, sio chama cha siasa tu. Kuwatoa labda hao system wahamie chadema watawale kwa mtindo nje ya jina ccm, au kizazi cha sytem yote kife au kutokee vita.
 
Yatosha kwa ccm kubaki kutawala milele peke yao bila ya hata ridhaa za wananchi walio wengi.
Lakini KwaTanzania yenye Vyama Vingi ,katiba hii haifai hata kwa bahati mbaya.
Katiba hii hairuhusu Tume Huru na kwa hiyo si rafiki wa Demokrasia
Katiba hii hairuhusu Matokeoya uchaguzi Kuhojiwa mahakamani na kwa hiyo si Rafiki kwa demokrasia.
Katiba hii inawalinda Viongozi wa juu kwa makosa na jinai zao wanazolifanyia taifa,na kwa maana hiyo si rafiki wa demokrasia.
Mamlaka makubwa aliyopewa Raisi yanaweza kumgeuza akawa Jiwe na kuwasulubu raia na wapinzania wake bila yahata kuhojiwa au kuweza kuchukuliwa hatua za kisheria.
NK
 
Katiba mfu katiba iliyokufa kuitumia kuongoza kizazi cha sasa ni utopolo
Ni maoni yao Kama Wana CCM.
Japo hawana hatimiliki ya katiba.

Siku wananchi wakiamua kuidai hakuna wa kuzuia.
Katu usitegemee ccm yeyeto akupe katiba mpya mapema saa Mbili asubui ccm wanalala
 
Katiba mfu katiba iliyokufa kuitumia kuongoza kizazi cha sasa ni utopolo
Ni maoni yao Kama Wana CCM.
Japo hawana hatimiliki ya katiba.

Siku wananchi wakiamua kuidai hakuna wa kuzuia.
Katu usitegemee ccm yeyeto akupe katiba mpya mapema saa Mbili asubui ccm wanalala.
 
Ccm ni system, sio chama cha siasa tu. Kuwatoa labda hao system wahamie chadema watawale kwa mtindo nje ya jina ccm, au kizazi cha sytem yote kife au kutokee vita.

Hamna cha system boss, hilo neno system hutumika kulinda kundi la walaji wa wakati huo. Nasema hivi, machafuko pekee ndio njia ya kutoa kundi la walaji linalojiita system. Hiyo ccm kama chama kinatumika tu kuhalalisha kundi la walaji.
 
Kwa sababu mko madarakani!
Huku ndiko kufikiri ambako waTanzania wote wangefikiri hivi, tungekua mbali. CCM na baadhi ya watu ambao kufikiri kwao kunaishia mwisho wa pua, hawaoni madhara ya kuendelea na katiba iliyopo. Walioko madarakani hii katiba inawalinda waendelee kuwepo. Hawa wengine ni ushabiki unaotokana na uwezo mdogo wa kuelewa mambo.
 
Back
Top Bottom