CCM hawakurupuki kwenye mambo yao na mtu akizingua anafinywa ndani huwezi kuta wanaparuana nje. Hapa ndio CHADEMA mnafeli

CCM hawakurupuki kwenye mambo yao na mtu akizingua anafinywa ndani huwezi kuta wanaparuana nje. Hapa ndio CHADEMA mnafeli

Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Ni kwasababu wana dola.
Mamlaka na nguvu za dola vinatumika kutatua migogoro ya chama. Ni kawaida kugawanya jimbo mara 2, kumaliza mivutano ya vigogo, kuteua mtu kshika wadhifa flani akitokea sehemu flan kwenye kwenye mivutano.
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Ccm unaiona ina nguvu hivyo maana imejificha kwenye dola. Subiri ccm iwe nje ya madaraka ndio ujue ubora wake.
Mkuu ukweli ni very subjective Topic..

Kwenye siasa hakuna mkweli wala ukweli, kuna muda na wakati....

Usimwamini mwanasiasa hata siku moja.. angalia trend...

Hoja za Rushwa TL anaziibua kipindi anahitaji kugombea Chairmanships ya CDM.

For the solid 20 years TL hakuwahi kuona Rushwa CDM, imeanza leo?

Pesa za Sabodo zilikuwa ni za bure?
Hoja zako ziko kiushabiki wa kisiasa, yaani una upofu wa itikadi. Unataka kuonyesha ukweli ni tatizo badala ya jamii yenye tatizo la kukubali ukweli. Hiyo ccm unayoona ina ubora huo, ukweli haina ubora wowote zaidi ya kujificha kwenye kichaka cha dola. Inshort ww ni muumini wa siasa za kihuni na nidhamu za hofu.
 
Tena akiwa Makamu Mwenyekiti sio mburula tu wa mitaani.Yupo kwenye kamati kuu ya Chadema kutokea 2009.
Ni miaka 15.Sasa hivi ni opportunist anayejua anachokifanya.Hizo tuhuma za rushwa aliambiwa na viongozi wenzake apeleke kwenye vikao vya Chama.Hajafanya hivyo bali ni mpiga kelele tu kwenye vyombo vya habari.Na kwa sababu hakuna waandishi wa habari makini hakuna anayemuuliza maswali kuhusu tuhuma zake.Amekuwa kama Musiba.
Upeleke tuhuma za rushwa kwenye vikao vya wanaoogelea kwenye hiyo rushwa?
 
Mkuu heshima kwako,

unadhani Marehem Sabodo alikuwa anaendesha agenda gani kufund CDM na CCM at the same time?

Hizo fedha zilikuwa zimetoka kwenye mapato gani yaliyolipiwa kodi?

Nani anajua?

Tunatengeneza watakatifu kwenye siasa only for dissapointment in the near future...
Kama pesa za Sabodo zilikuwa chafu sio kosa la cdm, bali ni la taasisi za kimamlaka.
 
Kwani hao CHADEMA ni mawe hawawezi kujiongeza na kujifunza? Hata ukiweka dola pembeni, CCM wanajua jinsi ya kupangilia their 'shit'
Thubutu, waweke nje ya dola hao ccm ndio utajua ni kwa kiwango gani ni kundi la washenzi, usiwape sifa wasiyokuwa nayo. Chama cha watu wenye nidhamu ya woga na unafiki wanatoa wapi sifa hiyo?
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Mkuu mambo na taratibu zinazofanyika ndani ya chama tawala sio mtaala wa kufuatwa na vyama vya upinzani.

Mbele ya sheria vyote ni vyama vya siasa.
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
CCM DAIMA
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Dogo unatetea na kuisifia organized crime wanayoitumia ccm kumaliza nchi kweli?

Kwa vile wanalishana Yamini na kudhibitiana kulinda ufisadi
Wewe ndo unawasifia

Nchi imejaa wajinga wengi
 
Wakuu nawasilimia kwa jina la kivumbi cha Lissu :BearLaugh:

Hii ndio sehemu CCM inawapiga gap sana CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.

CCM hawakurupuki kwenye moves zao, kuanzia juu mpaka kwa mjinga wa mwisho. Yaani wanahakikisha kila mtu kaelewa script yake, iwe ni mambo kishetani au mazuri wanahakikisha mambo yanakuwa executed flawlessly.

Ikitokea kuna mjinga kaenda nje ya script fasta anashughulikiwa kuhakikisha anarudi ndani ya mstari na ikishindikana kabisa analiwa kichwa na kupumzishwa kwa muda au inakuwa ntolee, yaani wanampoteza kabisa kisiasa (au kwa namna ile).

Nadra sana kuona CCM wanarushiana vijembe hovyo hovyo halafu ikawa out of hand.

Sasa kwa wenzangu na mimi CHADEMA na vyama vingine vya upinzani, wakigombana kila kitu kiko wazi hadi adui anapata pa kuwachapia, mkifanyiwa fitna badala ya kudeal nayo mnaparuana wenyewe kwa wenyewe adui anapata point.

Hapo mlipo mpo wachache, bado manendeleza ujinga! Mtapotea kama walivyopotezwa wenzenu, na hata hawahangaiki sana, wanatumia mbinu zile zile sababu wanajua hamuwezi kuchomoka. Badala ya kuwa kitu kimoja mnaonana threats.

CCM wana ujinga mwingi ila kwenye kupanga mipango yao na kuhakikisha inafanikiwa kwa umoja wapo vizuri. Chukueni somo humo wananchi tupate upinzani wa kweli wenye faida. Shughulikieni hivyo virusi na mjifunze kwa wenzenu.

Mmeangusha sana watanzania waliokuwa na matumaini angalau CHADEMA ina ka nuru ka kuitetemesha CCM, mmekuwa wapumbavu ambao hamna maana, bogus kabisa. Vijana CHADEMA ndio upuuzi kabisa, badala ya matusi wekezeni kwenye kuimarisha vijana wenye akili, wanaowakabili wapinzani wao kwa hoja.

Embu jiokoteni na kuleta upinzani wenye tija, mnatuchosha na mambo kipuuzi.
Usicho kijua kwa kushindwa kufanya Tafakari kwa ni kwamba ,Kinacho leta ukimya wa wana ccm ndani ya CCM ni hofu ya kupotezwa kwakuwa CCM imejiunganisha na serikali, hivyo watu wana madukuduku yao mengi sana mioyoni lakini wanaogopa kulipuka kwa sababu moja tu kuu, mwenyekiti wa chama ndiye Rais na amiri jeshi mkuu , hivyo kuna visa vingine vya kichama vinashughulikiwa kiserikali, wengi wamepotezwa na kutulizwa kimya kimya kiserikali wakati ni maswala ya chama.
 
Kwani hao CHADEMA ni mawe hawawezi kujiongeza na kujifunza? Hata ukiweka dola pembeni, CCM wanajua jinsi ya kupangilia their 'shit'
Tuchukulie mfano ccm ikaondoka madarakani na upinzani ndio ukashika Dola unadhani icho unachokiongea kitaendelea kuwepo ndani ya ccm licha ya ukongwe wake? Tunajua watu wanajiegesha ccm ili kulinda maslai yao kwakuwa ndio chama kilichoshika Dola kwa sasa ivyo ata upinzani ukiingia madarakani watu wale wale wataanza kuhamia kwenye chama kilichopo madarakani kwakuwa wanajua ccm aitokuwa na meno Tena ya kuwakandamiza kwa namna yoyote Ile,,siku zote wanasiasa uwa wanacheza na upepo unakoelekea ili kulinda maslai yao na unaweza kushangaa ccm ikapotea kabisa kwenye siasa za ushindani maana mifano ipo mingi ya hivi vyama vikongwe vilivyotawala nchi kwa mda mrefu pindi vinapoondolewa madarakani!
 
Haya mambo unaon ni saw , mar zote wajiman Uhuru
 
Usicho kijua kwa kushindwa kufanya Tafakari kwa ni kwamba ,Kinacho leta ukimya wa wana ccm ndani ya CCM ni hofu ya kupotezwa kwakuwa CCM imejiunganisha na serikali, hivyo watu wana madukuduku yao mengi sana mioyoni lakini wanaogopa kulipuka kwa sababu moja tu kuu, mwenyekiti wa chama ndiye Rais na amiri jeshi mkuu , hivyo kuna visa vingine vya kichama vinashughulikiwa kiserikali, wengi wamepotezwa na kutulizwa kimya kimya kiserikali wakati ni maswala ya chama.
Inawezekana ikawa ndio m binu yao kubwa inayowasaidia au lah (nimesema yote hayo kwenye uzi kama umepitia vizuri), na hapo ndio CHADEMA inabidi ipate njia/mfumo wao utakaowasaidia wao kuhakikisha wanajipanga lakini pia wanasolve mambo yao in a civilized way, sio kama wamekatwa vichwa
 
Walichokosea wanachama wa chadema nikuleta mambo yao kwenye mitandao na vyombo vya habari.Matokeo yake wakajikuta wanaropoka ujinga unaowavuruga wao wenyewe.Walishindwa kujua sio kila kitu nichakuweka mitandaoni bila kuchuja.Na wengine sifa za mitandaoni zinawadanganya wanajiona ni wakubwaa au wamuhimu bila kujua watanzania ni watu wa matukio na wao siasa niushabiki kama wa simba na yanga hawajali hoja wala mantiki..ukikosa platfom yakusemea mambo yako baada ya miezi 3 umeshasahaulika.Kwahiyo wajifunze kukomaa kifikra.
 
Back
Top Bottom