Pre GE2025 CCM ikiweka mgombea yoyote itashinda kiti cha Urais, uchaguzi kufanyika ni kuweka ushahidi wa zoezi kwani tume ya uchaguzi na katiba vinawabeba wao

Pre GE2025 CCM ikiweka mgombea yoyote itashinda kiti cha Urais, uchaguzi kufanyika ni kuweka ushahidi wa zoezi kwani tume ya uchaguzi na katiba vinawabeba wao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nimeona harakati za watu kujitangaza kwamba watagombea urais, nachoweza kuwaambia ni kwamba kwa tume hii ya uchaguzi na katiba hii iliyozeeka! CCM inahitaji tu mgombea wa aina yoyote kama ushahidi kwamba tulifanya kampeni!

Lakini ni kutupotezea tu rasilimali pesa kuingiza team kufanya kampeni kupambana na CCM ambayo, wakuu wa wilaya ni CCM, wakuu wa mikoa ni CCM, wakurugenzi wote ni CCM, makatibu tarafa sijui nani huko wote ni CCM!! Watangaza matokeo ni CCM, viongozi wa tume ni CCM! Nikupoteza pesa kupeleka wagombea kwa mfumo wa aina hii...

Yoyote yule atamshinda Tundu Lissu asubuhi mapema kwa tiketi ya CCM hata kama wapinzani wataungana maadamu mnaeshindana nae ni CCM! Kwa katiba hii wekeni nguvu zenu kwenye majimbo kwanza.

Pia soma:
 
Nimeona harakati za watu kujitangaza kwamba watagombea urais ,nachoweza kuwaambia ni kwamba kwa tume hii ya uchaguzi na katiba hii iliyozeeka ! Ccm inahitaji tu mgombea wa aina yoyote kama ushahidi kwamba tulifanya kampeni i wekeni nguvu zenu kwenye majimbo kwanza
Ndio uchawa wa kisasaaa ama.Hata chawa wabobezi naona wameacha staili yao ya kizamani ya kishamba.
 
Nimeona harakati za watu kujitangaza kwamba watagombea urais ,nachoweza kuwaambia ni kwamba kwa tume hii ya uchaguzi na katiba hii iliyozeeka ! Ccm inahitaji tu mgombea wa aina yoyote kama ushahidi kwamba tulifanya kampeni ! Lakini ni kutupotezea tu rasilimali pesa kuingiza team kufanya kampeni kupambana na ccm ambayo ,wakuu wa wilaya ni ccm,wakuu wa mikoa ni ccm,wakurugenzi wote ni ccm,makatibu tarafa sijui nani huko wote ni ccm !! Watangaza matokeo ni ccm ,viongozi wa tume ni ccm ! Nikupoteza pesa kupeleka wagombea kwa mfumo wa aina hii, ... Irene uwoya atamshinda Tundu lissu asubuhi mapema kwa tiketi ya ccm hata kama wapinzani wataungana maadamu mnaeshindana nae ni ccm ! Kwa katiba hii wekeni nguvu zenu kwenye majimbo kwanza

Kwamba hata leo tumeshindwa kuwa na katiba yenye kukubalika?

Kwa hakika tumezidiwa busara na wamasai laki 1 wa Ngorongoro kupata wanachotaka.

Kwamba tulipo, tuko tunakenua kuelekea kwenye uchaguzi kwenye uwanja ule Ule na waamuzi wale wale?

imhotep, ni jambo la kusikitisha sana.
 
Ndio uchawa wa kisasaaa ama.Hata chawa wabobezi naona wameacha staili yao ya kizamani ya kishamba.
Sio uchawa.....ameelezea umuhimu wa katiba mpya kwa ajili ya kujenga demokrasia iliyo Bora kwa maendeleo
 
Nimeona harakati za watu kujitangaza kwamba watagombea urais ,nachoweza kuwaambia ni kwamba kwa tume hii ya uchaguzi na katiba hii iliyozeeka ! Ccm inahitaji tu mgombea wa aina yoyote kama ushahidi kwamba tulifanya kampeni ! Lakini ni kutupotezea tu rasilimali pesa kuingiza team kufanya kampeni kupambana na ccm ambayo

..Ccm inasaidiwa na fedha, na vyombo vya dola.

..Mgombea wa upinzani [ Mbowe, Lissu, Zitto ] akiwa na fedha na rasilimali za kufanya kampeni sawa na Ccm uwezekano wa kushinda ni mkubwa.

..Siasa za Tanzania zimefika mahali ambapo wanasiasa wa upinzani wana hoja zenye ushawishi kuliko wenzao wa chama tawala.

..Zamani Mwenyekiti wa Ccm alionekana kuwa na akili na maarifa kuliko wenyeviti wa upinzani, sasa hivi mambo yamebadilika.
 
Nimeona harakati za watu kujitangaza kwamba watagombea urais ,nachoweza kuwaambia ni kwamba kwa tume hii ya uchaguzi na katiba hii iliyozeeka ! Ccm inahitaji tu mgombea wa aina yoyote kama ushahidi kwamba tulifanya kampeni ! Lakini ni kutupotezea tu rasilimali pesa kuingiza team kufanya kampeni kupambana na ccm ambayo ,wakuu wa wilaya
Kabisa !
 
GVmaFWbbgAAqkQ4.jpg
 
Back
Top Bottom