Kwasababu hiyo hela itakayolipwa kutokana na adhabu walopewa wahusika ni ya serikaki hivo kunauwezakano hiyo hela kwaajili ya kumlipia Mashinji haijalipwa na hizo karatasi za kutuonesha kuwa wamelipia inawezakuwa wame zi counterfeit ili iinekane nao wamelipa wakati yawezekana hakuna hata sent ilokuwa deposited to account.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna ubaya gani kufanya hivyo??? Ninaamini Chadema nao watawalipia faini watu wao.Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia hatua hiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole, amesema kiasi hicho cha fedha kimechangwa na wanachama wa chama hicho ili kumtoa kada huyo aliyelala gereza la Segerea baada ya zoezi la kulipa adhabu hiyo jana kushindikana kwasababu ya muda.
View attachment 1384052
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akionesha risiti ya malipo leo Jumatano Machi 11, 2020 alipofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kulipa faini ya milioni 30 ya mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji.
UPDATE: Dkt. Mashinji atoka gerezani baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 30
View attachment 1384213
Dkt. Mashinji akiwa ndani ya gari baada ya kutoka gerezani
Akizungumza baada ya kutoka jela, Dk Mashinji amesema, “ sikutegemea wana CCM watanilipia faini, sikutegemea wangelifanya jambo hili kwa uzito kama huu maana hadi jana familia yangu ilikuwa inaendelea kutafuta fedha ili kunitoa.”
“Ila leo wana CCM Mkoa wa Dar es Salaam wamejiunga kwa pamoja na kunilipia faini, nashukuru nipo chama dume kwa ajili ya kutoa mchango wangu kwa Taifa.”
HAKUNA UBAYA KAMANDA WA KUNDI LA WAASI GREEN GUARDSasa kwani kuna ubaya gani. Jamaa si katoka, au?
Wana nchi wenyewe wamehitaji akaunti,together as one!!Hivi kweli chadema haina pesa mpaka watu wachangishwe? Hii ni dhurma nyingine wanachama na wapenzi wa chadema wanafanyiwa na watu wenye unafuu wa maisha.
Tukishahamia wote ndipo utakapoona joto ya jiwe!Ndio maana watu wanahamia ccm si kwakujaliwa huko [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sisi tuliosoma BAM tumeelewa.Hiyo inakuwa worked out as:
X - 30M = cash in Dr's hand
Where:
X = The price tag
M = Millions
KWAHIYO MASHINJI KASHAKUWA JIKE SASA HIVI ANAPANDWA NA CHAMA DUMEChama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia hatua hiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole, amesema kiasi hicho cha fedha kimechangwa na wanachama wa chama hicho ili kumtoa kada huyo aliyelala gereza la Segerea baada ya zoezi la kulipa adhabu hiyo jana kushindikana kwasababu ya muda.
View attachment 1384052
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akionesha risiti ya malipo leo Jumatano Machi 11, 2020 alipofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kulipa faini ya milioni 30 ya mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji.
UPDATE: Dkt. Mashinji atoka gerezani baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 30
View attachment 1384213
Dkt. Mashinji akiwa ndani ya gari baada ya kutoka gerezani
Akizungumza baada ya kutoka jela, Dk Mashinji amesema, “ sikutegemea wana CCM watanilipia faini, sikutegemea wangelifanya jambo hili kwa uzito kama huu maana hadi jana familia yangu ilikuwa inaendelea kutafuta fedha ili kunitoa.”
“Ila leo wana CCM Mkoa wa Dar es Salaam wamejiunga kwa pamoja na kunilipia faini, nashukuru nipo chama dume kwa ajili ya kutoa mchango wangu kwa Taifa.”
Yeah! Ni Watz kupitia kapu la hazina kuu ya sirikali.Hata hao waliomchangia Mashinji ni Watz, au hujui?
Endelea kujidanganya. Mimi sio nyumbu, unaelewa?
Endelea kuwa mvumilivu tuwachomoe kwanza Makamanda wote.Alizungumza nini huyo huko segerea mkuu hebu tufahamishe wengine tupo maporini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mwanaccm aliechanga,kwa walivyochoka kimaisha wanaccm wakudavadua,kawe alumin,laki si pesa,etwege,motochini,kidawa,hawana tofauti na yule dada aliekua anapigwa pipe na mudyChama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es salaam kimemlipia faini ya Shilingi Milioni 30 mwanachama mpya wa chama hicho Vincent Mashinji aliyekutwa na hatia kwenye makosa kadhaa kwenye Hukumu iliyotolewa jana ya kesi iliyokuwa ikimkabili pamoja na viongozi wa Chadema akiwemo Freeman Mbowe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia hatua hiyo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa Humphrey Polepole, amesema kiasi hicho cha fedha kimechangwa na wanachama wa chama hicho ili kumtoa kada huyo aliyelala gereza la Segerea baada ya zoezi la kulipa adhabu hiyo jana kushindikana kwasababu ya muda.
View attachment 1384052
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akionesha risiti ya malipo leo Jumatano Machi 11, 2020 alipofika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kulipa faini ya milioni 30 ya mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji.
UPDATE: Dkt. Mashinji atoka gerezani baada ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 30
View attachment 1384213
Dkt. Mashinji akiwa ndani ya gari baada ya kutoka gerezani
Akizungumza baada ya kutoka jela, Dk Mashinji amesema, “ sikutegemea wana CCM watanilipia faini, sikutegemea wangelifanya jambo hili kwa uzito kama huu maana hadi jana familia yangu ilikuwa inaendelea kutafuta fedha ili kunitoa.”
“Ila leo wana CCM Mkoa wa Dar es Salaam wamejiunga kwa pamoja na kunilipia faini, nashukuru nipo chama dume kwa ajili ya kutoa mchango wangu kwa Taifa.”
Mtu mpumbavu akiongoza nchi lazima wafuasi wake wawe wapumbavu wenzake,ccm imejifia policeccm ndio wanaiweka madarakaniSiasa za Tanzania zimekuwa za kipumbavu kabisa
CCM OYEE
CCM JUU JUU ZAIDI
TUMETOKA KUMLIPIA DK.MASHINJI
NA SASA TUNAFATA UTARATIBU WAKUMTOA PALE SEGERREA
CCView attachment 1384113M OYEE