CCM imeruka maji ikakanyaga tope. Sophia na Shaka ni "light materials" majukwaani!

CCM imeruka maji ikakanyaga tope. Sophia na Shaka ni "light materials" majukwaani!

Siasa za majukwaani zinaenda kuanza lakini haitarajiwi ziwe za kuvuka mstari mwekundu, na kuvunjiana heshima, adabu na yote ya aina hii, Dr. Samia is a very polite woman, endapo tutakuwa na hoja zenye staha zisizovuka mstari mwekundu, endapo zitavuka ndipo watamtambua kwa rangi zake!
Hakuna Siasa zisizo na punchlines, hakutakuwa na mashambulizi yanayohusu mwili wa mtu, ila yanayohusu serikali yatakuwepo
 
Nani akupe uteuzi mtu Kama wewe ambae kila Siku huoni juhudi kubwa zinazofanywa na serikali hii,upate uteuzi ili ukabomoe miradi? Ili ukaharibu huduma? Ili ukatukane wananchi? Ili ukavunje mipango mizuri ya serikali yetu? Huna sofa za kuwa katika serikali yetu Hii tunayoiamini na inayoaminika na watanzania na kuungwa mkono
Na nimekuambia live,mimi huwa sitafuti uteuzi,ila wewe nadhani unawasikia watu humu 24×7 wakikuambia live!

Maana ya wewe kuweka namba ya simu,ni kutafuta uteuzi.
Kwamba wateuxi wakutafute baada ya kuona ukiwapambania bila aibu,tena kwa kujitoa akili na kujifanya hamnazo usiyeona madhila wanayopitia watanzania ....
kwa kiwango vhako cha uelewa!

Mimi siwezi weka namba yangu kamwe,maana itatumika kunimaliza.

Narudia,usiiendekeze sana njaa!
Njaa huwa inaponza akili,na njaa husababisha mtu kuchukua maamuzi yasiyokuwa sahihi.

Lucas mwashambwa
Je!
Umeishajisajili kwenye a-chawa wa taifa au bado
FB_IMG_1673119654191.jpg
 
Acha kujichanganya na kujidanganya mwenyewe,ach kuota ndoto ukiwa umekaa kwenye daladala.

Napenda kukuambia kuwa CCM bado Ni chama imara Sana,madhubuti,shupavu , chenye mvuto wa kipekee na chama kiongozi hapa nchini na mfano wa kuogwa Barani Afrika,CCM ndio chama pekee chenye Sera na ajenda za kugusa wananchi ,Ni chama chenye dira na muelekeo unaoeleweka,Ni chama chenye misingi imara, Ni chama chenye mizizi mpaka mashinani iliyo imara na imara,

Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM kisera ,kiajenda,kiitikadi na kihoja,CCM imesheni na kuwa na vitu vyote hivyo,uchapa kazi wa CCm na serikali Yake umeifanya CCM kukaa katika mioyo ya watanzania,kuungwa mkono na kutetewa na watanzania, CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo,Ndio chama kilicho na uchungu na maisha yao, ndio chama kinachokuwa Mahitaji ya watanzania,ndio chama kinachoongozwa mapambano ya kumtetea mnyonge bila kuchoka,Ni sauti kwa wasio na sauti na nguvu kwa walio na nguvu kwa wasio na nguvu, ni mdomo wa watanzania na ulima wa wenye shida.

Mama Sophia Mjema Ni mama Wa shoka na imara,Ni shupavu na madhubuti,Ni Hodari na Jasiri Sana,Atawasha Moto majukwaani mpaka upinzani utakimbia kimvuli chake,Atayatetemesha majukwaa mpaka upinzani utakimbia kishindo chake,atateka anga la Siasa za Tanzania mpaka upinzani utapotelea gizani hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa upinzani wa nchi hii Ni wa usaka tonge na mkusanyiko wa watu wasio na muelekeo Wala dira inayoeleweka
Bado huja kata tamaa tu we dada?
 
Lucas kama lucas mwashambwa!

Wakati Mwingine tumia akili mkuu!!

Sasa mjema ana mzidi Nape au pole pole kwa ushawishi!?

Nina nadharia Mbili;-

1.Mama anataka kuiua ccm kwa kuipunguzia umaarufu Baada ya kuona hana nafasi ya kugombea urais 2025!!!hivyo UPINZANI wachukue kijiti!!


2.Mama ameamua kuwakomesha wapinzanit ndani ya chama kwa kukataa pendekezo lao Ili amuweke incompetent asimfunike JUKWAANI kisiasa!!



3.Amechoka sasa amebutua kopp la kombolela mwenye kupata apate mwenye kukosoa akose!

4.kaamua kumlinda shaka Ili upepo wa mikutano ya hadhara usi m expose kijana wake kateua wa Bara Ili tuaibike kisiasa NDANI ya CHAMA!!!

"Mawazo huru haya toka KWA mlipa kodi makini na mwanaccm mwenye itikadi za nyerere,Butiku,kawawa,Warioba na vijana wa TANU!
Kwa Sera na ajenda zipi walizonazo upinzani za kuweza kuitikisa CCM? Upinzani hauna Sera Wala ajenda zaidi ya ushabiki wa viongozi wao,upinzani viongozi wao ndio Sera zao na ajenda zao,hakuna itikadi Wala misingi inayosimamiwa ndani ya upinzani,Ndio maana vimekuwa vyama vya kudandia na kurukia matukio ,ndio maana vimekosa nuungwaji mkono kutoka kwa watanzania,

Hakuna mwenye uwezo wa kusimama na mama Samia Jukwaani Wala katika sanduku la kura maana alishaiteka mioyo ya watanzania kwa utendaji na uchapa kazi wake uliotukuka,Ndio maana watanzania hawaoni sababu ya kufanyika uchaguzi wa Urais uchaguzi ujao,

Kwa Sasa CCM ndio chama kinachotumainiwa na kutegemewa na watanzania kuwasemea na kuwatetea katika kila changamoto wapitiayo,ndio chama kilichoonyesha kuwa na uchungu na maisha yao
 
Na nimekuambia live,mimi huwa sitafuti uteuzi,ila wewe nadhani unawasikia watu humu 24×7 wakikuambia live!

Maana ya wewe kuweka namba ya simu,ni kutafuta uteuzi.
Kwamba wateuxi wakutafute baada ya kuona ukiwapambania bila aibu,tena kwa kujitoa akili na kujifanya hamnazo usiyeona madhila wanayopitia watanzania ....
kwa kiwango vhako cha uelewa!

Mimi siwezi weka namba yangu kamwe,maana itatumika kunimaliza.

Narudia,usiiendekeze sana njaa!
Njaa huwa inaponza akili,na njaa husababisha mtu kuchukua maamuzi yasiyokuwa sahihi.

Lucas mwashambwa
Je!
Umeishajisajili kwenye a-chawa wa taifa au badoView attachment 2481561
Sina njaa na ndio maana siandikinkinjaa njaa Kama wewe unayeandika kwa kutanguliza chuki binafsi na hasira
 
Lucas kama lucas mwashambwa!

Wakati Mwingine tumia akili mkuu!!

Sasa mjema ana mzidi Nape au pole pole kwa ushawishi!?

Nina nadharia Mbili;-

1.Mama anataka kuiua ccm kwa kuipunguzia umaarufu Baada ya kuona hana nafasi ya kugombea urais 2025!!!hivyo UPINZANI wachukue kijiti!!


2.Mama ameamua kuwakomesha wapinzanit ndani ya chama kwa kukataa pendekezo lao Ili amuweke incompetent asimfunike JUKWAANI kisiasa!!



3.Amechoka sasa amebutua kopp la kombolela mwenye kupata apate mwenye kukosoa akose!

4.kaamua kumlinda shaka Ili upepo wa mikutano ya hadhara usi m expose kijana wake kateua wa Bara Ili tuaibike kisiasa NDANI ya CHAMA!!!

"Mawazo huru haya toka KWA mlipa kodi makini na mwanaccm mwenye itikadi za nyerere,Butiku,kawawa,Warioba na vijana wa TANU!
Mkuu
Mwl Athumani Ramadhani ...

Ahsante kwa kupasua mbarika!

Kuna watu kama huyo Mwashambwa,nadhani pia ni Mshamba ndani ya chama,baye ndio kwanza ameingia....na yeye kichomuingiza ni kusaka tonge!

Na ameona pa kuanzia ni kwenye uchawa,ili apate short Cut ya kazi.

Umeongea jambo ambalo,tutakuja kulishuhudia huko mbeleni,na tutaikumbuka sana hii topic yako.

Ubarikiwe sana!
 
Viongozi wa CCM Ni imara na majabali ndio sababu ya uwepo wake madarakani mpaka leo hii wakati wale wa vyama vya upinzani waliokosa dira na muelekeo ,maono na ajenda walishapoteza dira na wengine kuukimbia upinzani dhaifu kuja kujiunga kwenye Jeshi la kizalendo na wazalendo lenye kushinda kila vita
Mkuu

Tushukuru tu DOLA ilikula kiapo cha kuilinda CCM hadi wakati mwafaka ukifika wa kuiacha ijipambanie!!

Ccm kama Chama hakina tatizo bali wanachama wamekichafua sana KWA kuendekeza ujinga wa umwinyi wizi na UBADHIRIFU!

Leo gharama za kumlea mteule wa Rais ni kubwa kuliko mradi wa maendeleo wa kata FULANI nchini!

Huo ni UJINGA wa WAZI!

UNAFIKIRI mwanaccm MAKINI alielelewa na falsafa za nyerere atakubaliana na ujinga Huo!?


Tumepoteza mwelekeo !

Tambua Hilo Lucas!
 
Inawezekana laana za "wabaya"sasa zimeanza kufanya kazi yake ndani ya CCM hii.kama mmefikia kujiita Chawa wa Taifa!

Halafu mnaamini Kwamba Sophia atakuwa bora majukwaani,katika kipindi ambacho Siasa za majukwaani zinaenda kuanza rasmi.

Na kwamba atamzidi Shaka aliyekuwepo? Ambaye hata yeye alikuwa ni mwepesi kama cream ya uso! Muda utaongea soon!

Tatizo ni kwamba CCM mnaishi kwa kukariri! Juzi sio jana, na jana sio leo. Na pia leo haitakuwa hivi mpaka 2025 au 2030!

Watu sasa hawaangalii majina ya wanasiasa. Bali watu wanamsikiliza mtoa hoja na sera makini, na inayogusa kile wanachokiishi huku site!

Maana tumejua rasmi kwamba,wengi wa wanasiasa ndani ya CCM. Mpo hapo kwa maslahi yenu na makundi yenu ya kimfumo.

Msidhani ni wakati ule wananchi walipokuwa wakishabikia vyama kama timu za mpira!

Kwamba yeyote atakayewekwa,ilimradi amesajiliwa na timu,basi atashangiliwa pia na wananchi, La hasha!

Mambo yamebadilika sana,tumejifunza mengi sana! Mnapobadilishana vyeo kama magari, mnapobadilishana bila kutafakari ni nani anaweza nini?

Na anaweza kwa kiasi gani kulisimamia jukwaa na kuongea na wananchi kwa kujua nini hasa wanakihitaji!

Mnapobadili viongozi, kwa kuangalia wanaowafaa nyinyi, kwa maslahi yenu.
Badala ya kuchagua kwa kuangalia wanaowafaa wananchi, kwa maslahi yao na maendeleo ya taifa letu!

Inaweza kuwa ndio anguko lenu linaanza kujitokeza.

Sio kwa hali hii,ambapo tunaona ufisadi ukirudi na kuitafuna CCM, kama ilivyokuwa kabla ya 2015.

Kama hamuamini,tumieni mfano wa kilichotokea juzi huko Mwanza,kati ya Mkurugenzi wa jiji, na kamati ya ulinzi na usalama mkoa.

Tangu siasa za 2015 huko upinzani na pia CCM,hadi 2020! Na kuja mpaka tulipo sasa!

Wananchi wamejifunza mengi sana kutoka matendo ya nyinyi viongozi wa kisiasa nchi hii.

Wameujua ukweli na uhalisia wenu kimatendo na nafsi zenu!

Tumewajua wauaji, tumewajua wezi,tumewajua wanasiasa CCM wanafiki na pia tumewajua wanasiasa wazuri,ambao wanabaniwa na vyama vyao.

Kwa sababu ya ukweli na uzalendo wao.

Kwa hiyo msitarajie wananchi kukurupukia mikutano,ambayo itakosa sera madhubuti ili kugusa utatuzi wa kero zao za kimaisha ya kila siku.

"Wananchi wanalia na mfumuko wa bei,pamoja na Tozo lukuki zinazowafilisi kila uchao huko mitaani."

"Wananchi wanalia na huduma mbovu za kijamii, kuanzia hospitalini mpaka Polisi na ofisi zote nyeti za Umma"

Wakati nyinyi mnagawiana magari ya kifahari ya milioni 500 kwa milioni 600. maofisini,mikoani hadi wilayani.

Wananchi nao wanataabika kuanzia mikoani hadi vijijini. Kwa mfumuko wa bei,ambao hauhusiani hata na vita ya Ukraine na Russia.

Nyama ya Ng'ombe ni mfano tosha wa hilo.

Tunawasubiri majukwaani na tutawapimia huko. Na pia majibu mtayapata huko huko.

Ilimradi msikae kwa kutegemea maguvu ya Dola mlioishikilia kwa sasa!
Kuweni fair na muache wananchi wawe huru kuamua mbichi na mbivu.
Jumapili njema!

Alamsikhi.
10101.
View attachment 2481544
Acha wapambane na huo Utopolo wao
 
Mkuu
Mwl Athumani Ramadhani ...

Ahsante kwa kupasua mbarika!

Kuna watu kama huyo Mwashambwa,nadhani pia ni Mshamba ndani ya chama,baye ndio kwanza ameingia....na yeye kichomuingiza ni kusaka tonge!

Na ameona pa kuanzia ni kwenye uchawa,ili apate short Cut ya kazi.

Umeongea jambo ambalo,tutakuja kulishuhudia huko mbeleni,na tutaikumbuka sana hii topic yako.

Ubarikiwe sana!
Nipo ccm miaka na miaka na nitaendelea kwa mwanaccm katika uhai wangu wote ,maana ndio chama chenye Dira na muelekeo unaoeleweka,tofauti na mavyama ya upinzani ambayo Ni mavyama ya mifukoni mwa watu na miradi binafsi ya watu na familia zao, Ni Saccos za watu au vikoba,ndio maana mambo take huwa hayaeleweki, upinzani Ni vyama vya utafunaji na uswagaji wa kila Senti inayoingiwa chamani na kufanya utapeli tapeli tu
 
Kazi inaendelea dhidi ya nyie mliopoteza dira na muelekeo wa kisiasa,lazima mchapwe kwa hoja mpaka akili zenu ziwakae sawa
CCM hii hii inatoa wapi hoja pengine ufisadi na mitozo ndio hoja zenu majukwaani miaka 7 mnafanya siasa peke yenu mbona hamkufanya tupoteane akili kisoda
 
Kakufa Kakufa tu. Kwa yy hana lana za wengine uko kuzimu
 
Mkuu

Tushukuru tu DOLA ilikula kiapo cha kuilinda CCM hadi wakati mwafaka ukifika wa kuiacha ijipambanie!!

Ccm kama Chama hakina tatizo bali wanachama wamekichafua sana KWA kuendekeza ujinga wa umwinyi wizi na UBADHIRIFU!

Leo gharama za kumlea mteule wa Rais ni kubwa kuliko mradi wa maendeleo wa kata FULANI nchini!

Huo ni UJINGA wa WAZI!

UNAFIKIRI mwanaccm MAKINI alielelewa na falsafa za nyerere atakubaliana na ujinga Huo!?


Tumepoteza mwelekeo !

Tambua Hilo Lucas!
Vyama vilivyopoteza muelekeo Ni vile vya upinzani ambavyo hata mbadala wa Mwenyekiti tu havina,miaka na miaka nonmwenyekiti yule yule utafikiri nati za reli ,na ole wako ujifanye unachukua fomu utasema vizuri Kama wewe ni sehemu ya chama hicho ambacho Ni Cha ukwe na wakwe
 
CCM hii hii inatoa wapi hoja pengine ufisadi na mitozo ndio hoja zenu majukwaani miaka 7 mnafanya siasa peke yenu mbona hamkufanya tupoteane akili kisoda
Huna hata aibu unaposena tozo,kwa hiyo unataka huduma bure bila kuchangia, unafikiri nchi zilizoendelea kiuchumi zilifika hapo kwa kushushiwa maendeleo kutoka angani,unafikiri wananchi wake walibweteka Kama unavyotaka wewe? Watanzania wanamuunga mkono Rais wetu Ndio maana wanataka kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe kwa kuchangia kulingana na vipato vyao
 
Inawezekana laana za "wabaya"sasa zimeanza kufanya kazi yake ndani ya CCM hii.kama mmefikia kujiita Chawa wa Taifa!

Halafu mnaamini Kwamba Sophia atakuwa bora majukwaani,katika kipindi ambacho Siasa za majukwaani zinaenda kuanza rasmi.

Na kwamba atamzidi Shaka aliyekuwepo? Ambaye hata yeye alikuwa ni mwepesi kama cream ya uso! Muda utaongea soon!

Tatizo ni kwamba CCM mnaishi kwa kukariri! Juzi sio jana, na jana sio leo. Na pia leo haitakuwa hivi mpaka 2025 au 2030!

Watu sasa hawaangalii majina ya wanasiasa. Bali watu wanamsikiliza mtoa hoja na sera makini, na inayogusa kile wanachokiishi huku site!

Maana tumejua rasmi kwamba,wengi wa wanasiasa ndani ya CCM. Mpo hapo kwa maslahi yenu na makundi yenu ya kimfumo.

Msidhani ni wakati ule wananchi walipokuwa wakishabikia vyama kama timu za mpira!

Kwamba yeyote atakayewekwa,ilimradi amesajiliwa na timu,basi atashangiliwa pia na wananchi, La hasha!

Mambo yamebadilika sana,tumejifunza mengi sana! Mnapobadilishana vyeo kama magari, mnapobadilishana bila kutafakari ni nani anaweza nini?

Na anaweza kwa kiasi gani kulisimamia jukwaa na kuongea na wananchi kwa kujua nini hasa wanakihitaji!

Mnapobadili viongozi, kwa kuangalia wanaowafaa nyinyi, kwa maslahi yenu.
Badala ya kuchagua kwa kuangalia wanaowafaa wananchi, kwa maslahi yao na maendeleo ya taifa letu!

Inaweza kuwa ndio anguko lenu linaanza kujitokeza.

Sio kwa hali hii,ambapo tunaona ufisadi ukirudi na kuitafuna CCM, kama ilivyokuwa kabla ya 2015.

Kama hamuamini,tumieni mfano wa kilichotokea juzi huko Mwanza,kati ya Mkurugenzi wa jiji, na kamati ya ulinzi na usalama mkoa.

Tangu siasa za 2015 huko upinzani na pia CCM,hadi 2020! Na kuja mpaka tulipo sasa!

Wananchi wamejifunza mengi sana kutoka matendo ya nyinyi viongozi wa kisiasa nchi hii.

Wameujua ukweli na uhalisia wenu kimatendo na nafsi zenu!

Tumewajua wauaji, tumewajua wezi,tumewajua wanasiasa CCM wanafiki na pia tumewajua wanasiasa wazuri,ambao wanabaniwa na vyama vyao.

Kwa sababu ya ukweli na uzalendo wao.

Kwa hiyo msitarajie wananchi kukurupukia mikutano,ambayo itakosa sera madhubuti ili kugusa utatuzi wa kero zao za kimaisha ya kila siku.

"Wananchi wanalia na mfumuko wa bei,pamoja na Tozo lukuki zinazowafilisi kila uchao huko mitaani."

"Wananchi wanalia na huduma mbovu za kijamii, kuanzia hospitalini mpaka Polisi na ofisi zote nyeti za Umma"

Wakati nyinyi mnagawiana magari ya kifahari ya milioni 500 kwa milioni 600. maofisini,mikoani hadi wilayani.

Wananchi nao wanataabika kuanzia mikoani hadi vijijini. Kwa mfumuko wa bei,ambao hauhusiani hata na vita ya Ukraine na Russia.

Nyama ya Ng'ombe ni mfano tosha wa hilo.

Tunawasubiri majukwaani na tutawapimia huko. Na pia majibu mtayapata huko huko.

Ilimradi msikae kwa kutegemea maguvu ya Dola mlioishikilia kwa sasa!
Kuweni fair na muache wananchi wawe huru kuamua mbichi na mbivu.
Jumapili njema!

Alamsikhi.
10101.
View attachment 2481544
Ila Mkuu maudhui ya Sophia kuwa light umeruka hujamwelezea ulight wake hasa ukimhusisha control variable yako especially the heavy ones, how Sophia is light? and how light is light? What represents light as opposed to heavy.

Rarua rarua mwamba, wajiandae kupoteana au ndio Ile hali mtake mistake, mtupe kura au mtunyime CCM itashinda tu.
 
Mkuu

Tushukuru tu DOLA ilikula kiapo cha kuilinda CCM hadi wakati mwafaka ukifika wa kuiacha ijipambanie!!

Ccm kama Chama hakina tatizo bali wanachama wamekichafua sana KWA kuendekeza ujinga wa umwinyi wizi na UBADHIRIFU!

Leo gharama za kumlea mteule wa Rais ni kubwa kuliko mradi wa maendeleo wa kata FULANI nchini!

Huo ni UJINGA wa WAZI!

UNAFIKIRI mwanaccm MAKINI alielelewa na falsafa za nyerere atakubaliana na ujinga Huo!?


Tumepoteza mwelekeo !

Tambua Hilo Lucas!
Hawezi tambua kwa sababu tamaa imemtia upofu.kwake CCM ni kama Duka!

Hayupo kwa maslahi mapana ya chama na Taifa.
Bali yeye Lucas mwashambwa Yuko pale,kama Special Project Envoy!

Haelewi misingi iliyopelekea kuzaliwa kwa CCM.

Wala hana historia ya CCM, bali ameikuta ikiwa tayari imetekwa na wanajeshi.

Kapteni Mkuchika!
Kapteni Kikwete!
Kapteni Lowassa!
Luteni Makamba!
Kanali Kinana!

.....nimewataja kwa uchache hao ambao bado wako hai kwa sasa!
 
Huna hata aibu unaposena tozo,kwa hiyo unataka huduma bure bila kuchangia, unafikiri nchi zilizoendelea kiuchumi zilifika hapo kwa kushushiwa maendeleo kutoka angani,unafikiri wananchi wake walibweteka Kama unavyotaka wewe? Watanzania wanamuunga mkono Rais wetu Ndio maana wanataka kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe kwa kuchangia kulingana na vipato vyao
Acha ujinga.Mmetulimbikizia matozo ili mnunue ma VVVXXX, huku wananchi tunataabika na maisha,.Maharage, mchele, unga, dagaa vyote havishikiki mmebaki kusema Vita ya Ukraine.Mungu azidi kuwatia upofu mkubali Katiba mpya, muone wananchi tutakavyo wanyoosha, Kenge nyie
 
Back
Top Bottom