CCM imeruka maji ikakanyaga tope. Sophia na Shaka ni "light materials" majukwaani!

CCM imeruka maji ikakanyaga tope. Sophia na Shaka ni "light materials" majukwaani!

Na zile za mikopo zinajenga nini?
Na zile za kodi TRA zinafanya nini?

Hivi wewe kwa akili timamu unaweza kutoka ukatetea kitu ambacho huna uhakika nacho?
Kila kitu ni muhimu, kuna zinazomalizia miradi mikubwa ambayo iliachwa ikiwa chini ya 20%, kuna miradi ya madarasa, mabarabara, vyote hivi vinahitaji fedha nyingi kiasi vijisent vya tozo haviwezi kusukuma chochote.
#lichawa_likubwa.
 
Na kwa taarifa yako,hao wakulima unaowataja,hawanufaiki na chochote.
Sababu walanguzi huwa wameishanunua na kurundika kwenye Godowns zao.
Tena utakuta raia wa kigeni hususan wakenya!
Wanaingia deep countryside vijijini na kununulia mashambani kwa bei ya kutupa!

Ila sasa wewe mtanzania nenda hapo Kisii ukajaribu kufanya hivyo kama utaweza?

Halafu hamnazo na mazwazwa mnasema nchi imefunguka!

Ok! Kwa manufaa yapi positive [emoji92]
Mtuambie tuyaone na kuyafahamu!
Najuwa hujawahi kulima Wala kushika jembe zaidi ya kuandika ngonjera zako hapa,kwa Taarifa yako Ni kuwa Bei ya mazao ilikuwa nzuri Tangia wakati wa mavuno ambapo mkulima alipata nafasi ya kujiuzia mazao take sokoni kwa Bei nzuri iliyokuwa inapatikana, Na Sasa mkulima amelima Sana kwa msaada wa mh Rais baada ya kutoa mabillioni ya Ruzuku katika mbolea,Ndio sababu ya mh Rais kupenya na kuzitawala midomo na mioyo ya watanzania kwa jinsi anavyochapa kazi kwa kwenda mbele
 
CCM IPO mikononi na mioyoni mwa wanachama na ndio maana imekuwa ikipat ushindi wa kishindo tofauti na hivyo vyama SHIKIZI ambavyo vimekuwa katika mifuko ya masuruali ya viongozi wao,Ni chama kipi Cha upinzani ambacho siyo Cha kifamiloa na kitega uchumi Cha mtu binafsi? Embu niambie ni kipi hicho
Rubbish [emoji1005]
 
Na kwa taarifa yako,hao wakulima unaowataja,hawanufaiki na chochote.
Sababu walanguzi huwa wameishanunua na kurundika kwenye Godowns zao.
Tena utakuta raia wa kigeni hususan wakenya!
Wanaingia deep countryside vijijini na kununulia mashambani kwa bei ya kutupa!

Ila sasa wewe mtanzania nenda hapo Kisii ukajaribu kufanya hivyo kama utaweza?

Halafu hamnazo na mazwazwa mnasema nchi imefunguka!

Ok! Kwa manufaa yapi positive [emoji92]
Mtuambie tuyaone na kuyafahamu!
Tukiliongea hili tunaonekana wachochezi. Eti hata Waziri wa kilimo hajui kwamba wakulima waliuza mazao Yao Kwa walanguzi Mei-Juni 2022 na mpaka Sasa nao ni wanunuzi wa unga wa vibaba? Mkoani Iringa na Rukwa gunia la mahindi lililanguliwa Kwa 36k na Sasa linanadiwa Kwa 120K+. Ukiongea ukweli kama huu tunaokwenda vijijini tutakusapoti Tu bila kujali itikadi yako.
 
Siasa za majukwaani zinaenda kuanza lakini haitarajiwi ziwe za kuvuka mstari mwekundu, na kuvunjiana heshima, adabu na yote ya aina hii, Dr. Samia is a very polite woman, endapo tutakuwa na hoja zenye staha zisizovuka mstari mwekundu, endapo zitavuka ndipo watamtambua kwa rangi zake!
Rangi zake ye kinyonga!? Ukinizingua nakuzingua iliishia wapi!? Toka hapa na taarabu zako "chawa wa mama" wewe.
 
Acha kujichanganya na kujidanganya mwenyewe,ach kuota ndoto ukiwa umekaa kwenye daladala.

Napenda kukuambia kuwa CCM bado Ni chama imara Sana,madhubuti,shupavu , chenye mvuto wa kipekee na chama kiongozi hapa nchini na mfano wa kuigwa Barani Afrika,CCM ndio chama pekee chenye Sera na ajenda za kugusa wananchi ,Ni chama chenye dira na muelekeo unaoeleweka,Ni chama chenye misingi imara, Ni chama chenye mizizi mpaka mashinani iliyo imara na imara,

Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM kisera ,kiajenda,kiitikadi na kihoja,CCM imesheni na kuwa na vitu vyote hivyo,uchapa kazi wa CCm na serikali Yake umeifanya CCM kukaa katika mioyo ya watanzania,kuungwa mkono na kutetewa na watanzania, CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo,Ndio chama kilicho na uchungu na maisha yao, ndio chama kinachojuwa Mahitaji ya watanzania,ndio chama kinachoongoza mapambano ya kumtetea mnyonge bila kuchoka,Ni sauti kwa wasio na sauti na nguvu kwa wasio na nguvu kwa wasio na nguvu, ni mdomo wa watanzania na ulimi wa wenye shida.

Mama Sophia Mjema Ni mama Wa shoka na imara,Ni shupavu na madhubuti,Ni Hodari na Jasiri Sana,Atawasha Moto majukwaani mpaka upinzani utakimbia kimvuli chake,Atayatetemesha majukwaa mpaka upinzani utakimbia kishindo chake,atateka anga la Siasa za Tanzania mpaka upinzani utapotelea gizani hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa upinzani wa nchi hii Ni wa usaka tonge na mkusanyiko wa watu wasio na muelekeo Wala dira inayoeleweka
Wewe nawe ndio mmoja wa wale wapumbavu wanaojiiita "chawa wa mama". Huu uharo ulitakiwa ukauharishie pale Lumumba na sio humu jukwaani.
 
Mchele unabei nzuri kweli jitahidi ndugu, hawa wapuuzi wanaita mfumuko wa bei, ni wakati sasa wakulima kuendesha VOGUE.
Atupe Connection tukalime sisi wa huku Kaskazini mvua za masika bado hadi mwezi wa tatu,
Halafu huyu jamaa ni ni makusudi anafanya yeye mwenyewe ni mtu wa kupiga mihayo tu,
Sasa hujui ni mihayo ya njaa/uchovu/ au usingizi.
 
Tukiliongea hili tunaonekana wachochezi. Eti hata Waziri wa kilimo hajui kwamba wakulima waliuza mazao Yao Kwa walanguzi Mei-Juni 2022 na mpaka Sasa nao ni wanunuzi wa unga wa vibaba? Mkoani Iringa na Rukwa gunia la mahindi lililanguliwa Kwa 36k na Sasa linanadiwa Kwa 120K+. Ukiongea ukweli kama huu tunaokwenda vijijini tutakusapoti Tu bila kujali itikadi yako.
Tatizo nchi hii siasa zimetutia upofu hadi kutuondolea Utambuzi wa mema na mabaya!

Mtu anakurupuka tu,anasema eti sasa ni kipindi cha mkulima kufaidi.
Bila kuujua uhalisia kwamba mhanga namba moja ndio huyo mkulima wa kijijini,anayeishi bila kipato na bila akiba ya chakula.
Baada ya kuwa walanguzi wamefanya vyao.
Kisha wanaweka stock na kyanza kucheza na bei.
 
Acha kujichanganya na kujidanganya mwenyewe,ach kuota ndoto ukiwa umekaa kwenye daladala.

Napenda kukuambia kuwa CCM bado Ni chama imara Sana,madhubuti,shupavu , chenye mvuto wa kipekee na chama kiongozi hapa nchini na mfano wa kuigwa Barani Afrika,CCM ndio chama pekee chenye Sera na ajenda za kugusa wananchi ,Ni chama chenye dira na muelekeo unaoeleweka,Ni chama chenye misingi imara, Ni chama chenye mizizi mpaka mashinani iliyo imara na imara,

Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM kisera ,kiajenda,kiitikadi na kihoja,CCM imesheni na kuwa na vitu vyote hivyo,uchapa kazi wa CCm na serikali Yake umeifanya CCM kukaa katika mioyo ya watanzania,kuungwa mkono na kutetewa na watanzania, CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo,Ndio chama kilicho na uchungu na maisha yao, ndio chama kinachojuwa Mahitaji ya watanzania,ndio chama kinachoongoza mapambano ya kumtetea mnyonge bila kuchoka,Ni sauti kwa wasio na sauti na nguvu kwa wasio na nguvu kwa wasio na nguvu, ni mdomo wa watanzania na ulimi wa wenye shida.

Mama Sophia Mjema Ni mama Wa shoka na imara,Ni shupavu na madhubuti,Ni Hodari na Jasiri Sana,Atawasha Moto majukwaani mpaka upinzani utakimbia kimvuli chake,Atayatetemesha majukwaa mpaka upinzani utakimbia kishindo chake,atateka anga la Siasa za Tanzania mpaka upinzani utapotelea gizani hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa upinzani wa nchi hii Ni wa usaka tonge na mkusanyiko wa watu wasio na muelekeo Wala dira inayoeleweka
Chama ambacho kinafanya tuwe maskini
Ajenda zote wanazo ahidi wanashindwa kuzitekeleza na Kuna muda wanazikataa wao wenyewe.
CCM ni chama mufilisi hakifai hata kupewa nyumba kumi kuongoza maana matatizo ya kutatua kwa kutumia raslimali zinazotuzunguka bado wanakopakopa
Hatuwezi kuwa na chama ambacho sifa kuu ya mwanachama awe mnafiki na awe na vinasaba vya uchawa
 
Duuh leo saa mbovu imeyapatia majira hahaha
 
Chama ambacho kinafanya tuwe maskini
Ajenda zote wanazo ahidi wanashindwa kuzitekeleza na Kuna muda wanazikataa wao wenyewe.
CCM ni chama mufilisi hakifai hata kupewa nyumba kumi kuongoza maana matatizo ya kutatua kwa kutumia raslimali zinazotuzunguka bado wanakopakopa
Hatuwezi kuwa na chama ambacho sifa kuu ya mwanachama awe mnafiki na awe na vinasaba vya uchawa
Nchi gani isiyokopa, kukopa siyo dhambi Wala jinai,kinachoangaliwa Ni unakopa kwa ajili ya nini, aina ya mkopo,masharti ya mkopo,muda wa kurejesha mkopo,riba ya mkopo. Tanzania chini ya serikali ya Rais Samia imekuwa ikichukua mikopo ya masharti nafuu na imekuwa ikiwekeza katika miradi ya kimkakati yenyee tija kwa Taifa letu
 
Acha kujichanganya na kujidanganya mwenyewe,ach kuota ndoto ukiwa umekaa kwenye daladala.

Napenda kukuambia kuwa CCM bado Ni chama imara Sana,madhubuti,shupavu , chenye mvuto wa kipekee na chama kiongozi hapa nchini na mfano wa kuigwa Barani Afrika,CCM ndio chama pekee chenye Sera na ajenda za kugusa wananchi ,Ni chama chenye dira na muelekeo unaoeleweka,Ni chama chenye misingi imara, Ni chama chenye mizizi mpaka mashinani iliyo imara na imara,

Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM kisera ,kiajenda,kiitikadi na kihoja,CCM imesheni na kuwa na vitu vyote hivyo,uchapa kazi wa CCm na serikali Yake umeifanya CCM kukaa katika mioyo ya watanzania,kuungwa mkono na kutetewa na watanzania, CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo,Ndio chama kilicho na uchungu na maisha yao, ndio chama kinachojuwa Mahitaji ya watanzania,ndio chama kinachoongoza mapambano ya kumtetea mnyonge bila kuchoka,Ni sauti kwa wasio na sauti na nguvu kwa wasio na nguvu kwa wasio na nguvu, ni mdomo wa watanzania na ulimi wa wenye shida.

Mama Sophia Mjema Ni mama Wa shoka na imara,Ni shupavu na madhubuti,Ni Hodari na Jasiri Sana,Atawasha Moto majukwaani mpaka upinzani utakimbia kimvuli chake,Atayatetemesha majukwaa mpaka upinzani utakimbia kishindo chake,atateka anga la Siasa za Tanzania mpaka upinzani utapotelea gizani hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa upinzani wa nchi hii Ni wa usaka tonge na mkusanyiko wa watu wasio na muelekeo Wala dira inayoeleweka
Bila polisi na TISS hakuna ccm imara wee mnyiha ...ccm iliondoka kwenye vichwa vya wa Tanzania toka 2010 ...iliyopo bila vyombo vya dola ni sawa pamba tu ...
 
Bila polisi na TISS hakuna ccm imara wee mnyiha ...ccm iliondoka kwenye vichwa vya wa Tanzania toka 2010 ...iliyopo bila vyombo vya dola ni sawa pamba tu ...
Hata ije tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itashinda kwa kishindo kutokana na ubora wa Sera na ajenda zake zinazomgusa mtanzania
 
Kwani wewe huna mzazi wa kike nyumbani kwenu? Hujawahi kukaa kumsikiliza? Hajawahi kukulea? Kukuzaa? Kukukuza? Kukuelekeza? Kukufundisha? Kwani jukwaani watu wanasikiliza hoja au wanaangalia jinsia? Watu wanasikiliza Sera na ajenda au wanaangalia sura? Watu Wana fuata na kusikiliza ajenda zinazowagusa au wanaangalia jinsia? Ndio maana upinzani mnadharaulika na kupuuzwa Sana na watanzania,ndio maana hamna ushawishi wowote ule kwa watanzania
Kwahiyo kwenu harungu kuambiwa ukweli ni tusi ?? Ukiambiwa punguza kwenda Igamba bila mpangilio ni tusi ?? Ukimwambia dada Yako awe makini anasonga ugali maana kila siku anasonga mbichi ni tusi ?? Kama Tunduma mchele ni bei rahisi kuliko kamsamba ukiulizwa kulikoni ni tusi ??? . .. hv weee Tumghoje au tumleshele ukoje lkn ???
 
Hapo sasa,inafikia mahali unashindwa kuelewa akili ya mwenyekiti inashauriwa na akili ya nani mwingine?
Ni hivi: CCM hata siku moja haizingatii sifa kwenye kuteua. Ingekuwa inazingatia sifa, huyo Shaka asingekuwa hata mwenyekiti wa kijiji. Hii ni kwa sababu wanajua dola ni yao. Wanajua machinery ya kuandaa, kusimamia na kutoa matokeo ya uchaguzi ni wao wanai-control.
 
Hakunaga siasa za staha wewe , mnajidanganya tuuu , kutukanwa kupo tuu ... Huyo katibu mwenezi wa kike sjui ataongea nn wanaume waache kazi wamsikilize
Madudu yake aliyofanya Lushoto akiwa DC ndiyo wakati wa kuyamwaga ole wake ajichanganye
 
Back
Top Bottom