Acha kujichanganya na kujidanganya mwenyewe,ach kuota ndoto ukiwa umekaa kwenye daladala.
Napenda kukuambia kuwa CCM bado Ni chama imara Sana,madhubuti,shupavu , chenye mvuto wa kipekee na chama kiongozi hapa nchini na mfano wa kuigwa Barani Afrika,CCM ndio chama pekee chenye Sera na ajenda za kugusa wananchi ,Ni chama chenye dira na muelekeo unaoeleweka,Ni chama chenye misingi imara, Ni chama chenye mizizi mpaka mashinani iliyo imara na imara,
Hakuna chama chenye uwezo wa kuitikisa CCM kisera ,kiajenda,kiitikadi na kihoja,CCM imesheni na kuwa na vitu vyote hivyo,uchapa kazi wa CCm na serikali Yake umeifanya CCM kukaa katika mioyo ya watanzania,kuungwa mkono na kutetewa na watanzania, CCM ndio Tumaini la watanzania katika kuwaletea maendeleo,Ndio chama kilicho na uchungu na maisha yao, ndio chama kinachojuwa Mahitaji ya watanzania,ndio chama kinachoongoza mapambano ya kumtetea mnyonge bila kuchoka,Ni sauti kwa wasio na sauti na nguvu kwa wasio na nguvu kwa wasio na nguvu, ni mdomo wa watanzania na ulimi wa wenye shida.
Mama Sophia Mjema Ni mama Wa shoka na imara,Ni shupavu na madhubuti,Ni Hodari na Jasiri Sana,Atawasha Moto majukwaani mpaka upinzani utakimbia kimvuli chake,Atayatetemesha majukwaa mpaka upinzani utakimbia kishindo chake,atateka anga la Siasa za Tanzania mpaka upinzani utapotelea gizani hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa upinzani wa nchi hii Ni wa usaka tonge na mkusanyiko wa watu wasio na muelekeo Wala dira inayoeleweka