CCM imeruka maji ikakanyaga tope. Sophia na Shaka ni "light materials" majukwaani!

CCM imeruka maji ikakanyaga tope. Sophia na Shaka ni "light materials" majukwaani!

Hawezi tambua kwa sababu tamaa imemtia upofu.kwake CCM ni kama Duka!

Hayupo kwa maslahi mapana ya chama na Taifa.
Bali yeye Lucas mwashambwa Yuko pale,kama Special Project Envoy!

Haelewi misingi iliyopelekea kuzaliwa kwa CCM.

Wala hana historia ya CCM, bali ameikuta ikiwa tayari imetekwa na wanajeshi.

Kapteni Mkuchika!
Kapteni Kikwete!
Kapteni Lowassa!
Luteni Makamba!
Kanali Kinana!

.....nimewataja kwa uchache hao ambao bado wako hai kwa sasa!
CCM IPO mikononi na mioyoni mwa wanachama na ndio maana imekuwa ikipat ushindi wa kishindo tofauti na hivyo vyama SHIKIZI ambavyo vimekuwa katika mifuko ya masuruali ya viongozi wao,Ni chama kipi Cha upinzani ambacho siyo Cha kifamiloa na kitega uchumi Cha mtu binafsi? Embu niambie ni kipi hicho
 
Huna hata aibu unaposena tozo,kwa hiyo unataka huduma bure bila kuchangia, unafikiri nchi zilizoendelea kiuchumi zilifika hapo kwa kushushiwa maendeleo kutoka angani,unafikiri wananchi wake walibweteka Kama unavyotaka wewe? Watanzania wanamuunga mkono Rais wetu Ndio maana wanataka kuijenga nchi yetu kwa mikono yetu wenyewe kwa kuchangia kulingana na vipato vyao
Kwani wananchi hawalipi kodi?
Wananchi hawakatwi PAYEE?
Wananchi wanaweka prsa benki,lakini serikali bado inazifuata huko huko!

Halafu kuja kwenye huduma za jamii mnakuwa 0-

Hela zoote mnafisadi na kuwaachia wananchi mzigo wa mademi?

Uone aibu kwa mfano tukio la mkuu wa mkoa kuja hadharani Mwanza na kuuweka uozo wa halmashauri ya jiji.

Na hilo ni tone tu!

Huko Tabora mnawahudumia wananchi kwa vifaa tiba vilivyokw8sha Expire!

Shame...on all of you out there!
Kweli chawa ni kiumbe mbaya kuwahi kuumbwa hapa Duniani,maana hana huruma na kiumbe anayemnyonya!
FB_IMG_1673119654191.jpg
 
Acha ujinga.Mmetulimbikizia matozo ili mnunue ma VVVXXX, huku wananchi tunataabika na maisha,.Maharage, mchele, unga, dagaa vyote havishikiki mmebaki kusema Vita ya Ukraine.Mungu azidi kuwatia upofu mkubali Katiba mpya, muone wananchi tutakavyo wanyoosha, Kenge nyie
Kilimo Ni biashara kwa hiyo hakuna anayetaka kufanya biashara kichaa,Nenda na wewe shambani ukalimee ili ujuwe ugumu wa kilimo na jembe ndio ije hapa kuandika hayo unachoandika hapa, acha wakulima wafaidike na jasho lao
 
Vyama vilivyopoteza muelekeo Ni vile vya upinzani ambavyo hata mbadala wa Mwenyekiti tu havina,miaka na miaka nonmwenyekiti yule yule utafikiri nati za reli ,na ole wako ujifanye unachukua fomu utasema vizuri Kama wewe ni sehemu ya chama hicho ambacho Ni Cha ukwe na wakwe
Sawa

Hivi Mbowe kama mbowe akisimamishwa pale tukaambiwa tumtafute mtu kama mbowe ndani ya chama kwa Sasa tutamsimamisha Nani!?

Yaani tufanye kama tuna Balance equation nani atasimama mwenye haiba kama yake ya kisiasa!

Mtu anaeweza kusimamia anachokiamini hata kugharimu uhuru wa maisha yake ni Nani NDANI ya CHAMA!?

Hadi serikali ikashindwa na msimamo wake ikarudi mezani kwa majadiliano!!?

Ni rahisi kwa mwanaccm MAKINI kufanya KAZI na mbowe KULIKO na wateule viongozi waliopo ndani ya CCM Sasa hivi!!

Use your Brain Lucas!

Angalau waza Mambo KWA msawazo!
 
CCM IPO mikononi na mioyoni mwa wanachama na ndio maana imekuwa ikipat ushindi wa kishindo tofauti na hivyo vyama SHIKIZI ambavyo vimekuwa katika mifuko ya masuruali ya viongozi wao,Ni chama kipi Cha upinzani ambacho siyo Cha kifamiloa na kitega uchumi Cha mtu binafsi? Embu niambie ni kipi hicho
Ushindi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama vya CCM.Mungu wape upofu watupe Katiba mpya, hawa machawa warudi jalalani
 
Kwani wananchi hawalipi kodi?
Wananchi hawakatwi PAYEE?
Wananchi wanaweka prsa benki,lakini serikali bado inazifuata huko huko!

Halafu kuja kwenye huduma za jamii mnakuwa 0-

Hela zoote mnafisadi na kuwaachia wananchi mzigo wa mademi?

Uone aibu kwa mfano tukio la mkuu wa mkoa kuja hadharani Mwanza na kuuweka uozo wa halmashauri ya jiji.

Na hilo ni tone tu!

Huko Tabora mnawahudumia wananchi kwa vifaa tiba vilivyokw8sha Expire!

Shame...on all of you out there!
Kweli chawa ni kiumbe mbaya kuwahi kuumbwa hapa Duniani,maana hana huruma na kiumbe anayemnyonya!View attachment 2481569
Ni kwa Kodi na Tozo na kwa usimamizi madhubuti wa serikali shupavu ya CCM chini ya mama yetu mpendwa mama Samia watanzania wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,,mikopo ya Elimu ya juu inatolewa kwa wanafunzi wote wenye sifa, vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vimejengwa nchini na kupelekea wanafunzi wote kuanza masomo yao kwa wakati bila kuwabughudhi wazazi kwa michango,vituo vya Afya vimejengwa kila mahali, serikali imetoa mabillioni ya Ruzuku katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni,.

Hii ndio sababu y aserikali hii Kuendelea kuungwa mkono na mamillion ya watanzania
 
Ila Mkuu maudhui ya Sophia kuwa light umeruka hujamwelezea ulight wake hasa ukimhusisha control variable yako especially the heavy ones, how Sophia is light? and how light is light? What represents light as opposed to heavy.

Rarua rarua mwamba, wajiandae kupoteana au ndio Ile hali mtake mistake, mtupe kura au mtunyime CCM itashinda tu.
Sophia amewaji kuhudumu kwa kipindi kifupi katika siasa za CCM!
Na baadae akatenguliwa!

Sioni ni wapi amekwenda kuongeza naarifa na akarudi akiwa potential!

Siasa za majukwaani kwa sasa,sio sehemu ya kwenda kufanya mipasho!

Inataka mtu anayeielewa nchi hii na wanasiasa wake.
Huyu anazo sera au mpangilio wa kuweza kubishana na kina Zitto, Heche,Mnyika,Mdee,Lissu,Mbowe,Mbatia,Komu,Lipunba at large?
 
Ushindi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama vya CCM.Mungu wape upofu watupe Katiba mpya, hawa machawa warudi jalalani
Hata one tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itashinda kwa kishindo tu Kutokana na Sera na ajenda zake zenye kugusa maisha ya watanzania
 
Ccm haitegemei mfumo wa wazi kufanya mambo yake.Wao wana taratibu na kanuni zao za ndani kabisa zinazowasaidia kushinda chaguzi na kufanikisha deal zao mbalimbali.
 
Tozo ndizo zinajenga madarasa huyaoni?
Hapo mtaani kwako hakuna barabara inayofanyiwa matengenezo?
Na zile za mikopo zinajenga nini?
Na zile za kodi TRA zinafanya nini?

Hivi wewe kwa akili timamu unaweza kutoka ukatetea kitu ambacho huna uhakika nacho?
 
Sasa hivi Mbeya/Songwe ni msimu wa mvua kwa ujumla,
huu muda unaoupoteza mitandaoni na ukakosa kili unachokitarajia rafiki huku unaacha mashamba yakiwa mapori utakuja kujuta.
Mchele unabei nzuri kweli jitahidi ndugu, hawa wapuuzi wanaita mfumuko wa bei, ni wakati sasa wakulima kuendesha VOGUE.
 
Sawa

Hivi Mbowe kama mbowe akisimamishwa pale tukaambiwa tumtafute mtu kama mbowe ndani ya chama kwa Sasa tutamsimamisha Nani!?

Yaani tufanye kama tuna Balance equation nani atasimama mwenye haiba kama yake ya kisiasa!

Mtu anaeweza kusimamia anachokiamini hata kugharimu uhuru wa maisha yake ni Nani NDANI ya CHAMA!?

Hadi serikali ikashindwa na msimamo wake ikarudi mezani kwa majadiliano!!?

Ni rahisi kwa mwanaccm MAKINI kufanya KAZI na mbowe KULIKO na wateule viongozi waliopo ndani ya CCM Sasa hivi!!

Use your Brain Lucas!

Angalau waza Mambo KWA msawazo!
Chadema ina kina Mbowe 700 na wanaomzidi akili zaidi ya 2000. Kumbe Mbowe ameendelea kuwakosesha usingizi, mbona huyo ni cha mtoto, Subirini tuwashe gari ndiyo mtaelewa kwamba mlishaoza siku nyingi. Ahsante Mama Samia kwa kutusafishia njia.
 
Sophia amewaji kuhudumu kwa kipindi kifupi katika siasa za CCM!
Na baadae akatenguliwa!

Sioni ni wapi amekwenda kuongeza naarifa na akarudi akiwa potential!

Siasa za majukwaani kwa sasa,sio sehemu ya kwenda kufanya mipasho!

Inataka mtu anayeielewa nchi hii na wanasiasa wake.
Huyu anazo sera au mpangilio wa kuweza kubishana na kina Zitto, Heche,Mnyika,Mdee,Lissu,Mbowe,Mbatia,Komu,Lipunba at large?
Mkuu ipo haja kwa manufaa ya jina lake kulipa uhusika inabidi ueleze kwa kina kiuweledi, CV yake hasa ya yeye kutoweza, na pengine angefaa na nani na mwenye sifa zipi ambazo yeye Sophia hana. Mfano kashfa zake, etc, kumbuka kuna CHAWA watakuwepo kujibu mapigo huku waandishi wa habari wakiandika habari Kwa maelekezo na miongozo furahishi kwa chama.
 
Mchele unabei nzuri kweli jitahidi ndugu, hawa wapuuzi wanaita mfumuko wa bei, ni wakati sasa wakulima kuendesha VOGUE.
Na kwa taarifa yako,hao wakulima unaowataja,hawanufaiki na chochote.
Sababu walanguzi huwa wameishanunua na kurundika kwenye Godowns zao.
Tena utakuta raia wa kigeni hususan wakenya!
Wanaingia deep countryside vijijini na kununulia mashambani kwa bei ya kutupa!

Ila sasa wewe mtanzania nenda hapo Kisii ukajaribu kufanya hivyo kama utaweza?

Halafu hamnazo na mazwazwa mnasema nchi imefunguka!

Ok! Kwa manufaa yapi positive [emoji92]
Mtuambie tuyaone na kuyafahamu!
 
Hata one tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itashinda kwa kishindo tu Kutokana na Sera na ajenda zake zenye kugusa maisha ya watanzania
We jamaa ni bonge la mshamba,. Tembea mijini na vijijini usikie kilio cha Mamantilie na Machinga wanavyomponda mwanamke mwenzao.Wewe unaandika kama li Msukule lilopotea miaka sita iliyopita, limefufuka halijui chochote kinachoendelea Tanzania.Machawa kama nyie kuna muda inabidi tuwashukuru kwa kumpotosha Mama kwa kumleta mwanamke mwenzie kuisemea CCM,. Kwa Taarifa yako Watanzania tushapoteza imani na uongozi wa wanawake, Mama kawaharibia wenzie wote. Labda wewe Msukule usiyejua kinachoendelea Tanzania.
 
Na kwa taarifa yako,hao wakulima unaowataja,hawanufaiki na chochote.
Sababu walanguzi huwa wameishanunua na kurundika kwenye Godowns zao.
Tena utakuta raia wa kigeni hususan wakenya!
Wanaingia deep countryside vijijini na kununulia mashambani kwa bei ya kutupa!

Ila sasa wewe mtanzania nenda hapo Kisii ukajaribu kufanya hivyo kama utaweza?

Halafu hamnazo na mazwazwa mnasema nchi imefunguka!

Ok! Kwa manufaa yapi positive [emoji92]
Mtuambie tuyaone na kuyafahamu!
Kwa hili kuna governor inahitajika kuwekwa, wakenya na KCB yao ipo kimkakati. Wao kwa wao riba ni kiduchu sana.
 
We jamaa ni bonge la mshamba,. Tembea mijini na vijijini usikie kilio cha Mamantilie na Machinga wanavyomponda mwanamke mwenzao.Wewe unaandika kama li Msukule lilopotea miaka sita iliyopita, limefufuka halijui chochote kinachoendelea Tanzania.Machawa kama nyie kuna muda inabidi tuwashukuru kwa kumpotosha Mama kwa kumleta mwanamke mwenzie kuisemea CCM,. Kwa Taarifa yako Watanzania tushapoteza imani na uongozi wa wanawake, Mama kawaharibia wenzie wote. Labda wewe Msukule usiyejua kinachoendelea Tanzania.
Ukweli Live kabisaa!
Ila sababu huyo....
Lucas mwashambwa ....ni chawa msakatonge!

Hawezi kutuelewa tunachokimaanisha hapa!
 
We jamaa ni bonge la mshamba,. Tembea mijini na vijijini usikie kilio cha Mamantilie na Machinga wanavyomponda mwanamke mwenzao.Wewe unaandika kama li Msukule lilopotea miaka sita iliyopita, limefufuka halijui chochote kinachoendelea Tanzania.Machawa kama nyie kuna muda inabidi tuwashukuru kwa kumpotosha Mama kwa kumleta mwanamke mwenzie kuisemea CCM,. Kwa Taarifa yako Watanzania tushapoteza imani na uongozi wa wanawake, Mama kawaharibia wenzie wote. Labda wewe Msukule usiyejua kinachoendelea Tanzania.
Acha mawazo ya kijima wewe,huna hata aibu eti tumepoteza matumaini,labda kwenye familia yako ,wanavijiji wa wapi hao wasio muunga mkononmh Rais? Watashindwaje kumuunga mkono wakati wanaona juhudi za mh Rais katika kuwainua kiuchumi hasa baada ya kuwapa mbolea za Ruzuku ambazo zimewanufaisha Sana katika msimu huu wa kilimo? Watashindwaje kumuunga mkononmh Rais wakati wanaona watoto wao wakisoma bure pasipo kuchangishwa michango? Watashindwaje kumuunga mkono mh Rais wakati wanapata huduma za maji Safi na salama na mwanga wa umeme bila shida yoyote?
 
Back
Top Bottom