Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
Wenye akili Timamu na wanaojitambuaNani anafuatilia yale magazeti yako unayoandika utopolo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye akili Timamu na wanaojitambuaNani anafuatilia yale magazeti yako unayoandika utopolo?
Kama hujakidhi vigezo ni lazma uenguliwe tu.WALIANZA KWA KUENGULIWA KIHUNI NA MCHEZO UKAMALIZIKA KWA KUIBA KURA.
Unakumbuka ni wajibu kuchagua.Mimi sitokuja kupiga kura mpaka tupate chama cha upinzani chenye nia ya dhati ya kuwapambania watanzania.
Sio awa wa sasa hoja zao ni kuzusha taarifa mjini tweeter.
Wasome ule upuuzi wa kujipendekeza unaopost hapa? Zaidi ya 90% wanaochangia post zako wanakulejeli kutokana na heading ya post yako, na hakuna anayesoma upuuzi unaoweka ndani.Wenye akili Timamu na wanaojitambua
Elimu ya Kijinga kawape Wajinga WenzioMimi nakupeni taarifa na Elimu.
Ninyi wapinzani msipobadilika mtaendelea kukataliwa na watanzania siku zoteElimu ya Kijinga kawape Wajinga Wenzio
Ndugu zangu Watanzania,
CCM imeendelea kuonyesha Umwamba wake katika siasa za Nchi hii na Bara zima la Afrika.imeendelea kuonyesha namna inavyokubalika ,kupendwa ,kuungwa mkono na namna ilivyo na ushawishi mkubwa hapa Nchini.
Lucas Hebel Mwashambwa, Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
NI KWELI MWAMBA ENGUA WOOOTE NA WANAOBAKI UWA. POTELEA MBALIKama hujakidhi vigezo ni lazma uenguliwe tu.
Usifikirie wote ni wajinga kama wewe. Hapo siyo nyumbani kwako kwa kuwawekea watu masharti.peleka huo ujinga kwa watoto wako.Kuingia kwenye mjadala na huyo jamaa ni kupoteza muda, nashauri muwe mnazisusia threads zake,koz anaongea nonsense kila mara!
Tunza maneno yako?Hakuna chama kitakuja kuwa na uwezo wala nguvu ya kuitikisa CCM madarakani au katika sanduku la kura.CCM huwa na utaratibu wa kujisahihisha.
Kuwa na raia kama wewe ni hasara kubwa sana. Taifa linajengwa kwa haki hata maandiko matakatifu yanasema hivyo. Unapoona watu wananung'unika kudhulumiwa haki zao kama si kweli basi anayelalamikiwa anapaswa kutoka hadharani na kukanusha kwa ushahidi. Tume ya uchaguzi inaendeshwa na mwenyekiti wa ccm kwa kupitia jina la rais. Waziri anayehusika na uchaguzi huo ni mwana ccm. Wakurugenzi wa wilaya na halmashauri ni ccm bila kuwasahau polisi ambao nao wamepewa jina la policcm sababu ya kuonekana kushirikiana na ccm kuwahujumu CDM. Katika mazingira kama hayo hata ccm ikishinda inaepukaje lawama? Kwanini ccm haitaki tume huru inayoshirikisha vyama vya upinzani na isiyoratibiwa na ofisi ya rais kama kweli chama hicho kinakubalika? Hujui madhara ya kupora haki za watu ni kuhatarisha vurugu ya kitaifa? Au bado mnaendelea kudhani wananchi ni wapumbavu kama mlivyo ninyi machawa wenye njaa mnaojiona mnaifahamu ccm kuliko akina jaji Warioba na mzee Kikwete?Wananchi hawana habari na CHADEMA maana wanajua ni wababaishaji sana.
Huwezi kuitenganisha CCM na uhai wa Taifa hili.Tunza maneno yako?
Mbona unaonyeshwa nchi nzima. Ni wizi kila mahali.Hakuna wizi
Kazi ya tume ya uchaguzi ni kutangaza matokeo ambayo yanatokana na kura za wananchi. CCM imekuwa ikipigiwa kura nyingi za ndio na wananchi kwa sababu ya sera na ajenda zake zinazogusa maisha ya watu.sasa vyama kama CHADEMA vimekaa kibabaishaji tu ambapo havina uwezo wa kuandaa hata ilani tu ya uchaguzi zaidi ya mihemuko tu wawapo majukwaani. Kwa hiyo ni lazima ifahamike kuwa CCM itaendelea kuongoza Taifa hili na kusalia madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letuKuwa na raia kama wewe ni hasara kubwa sana. Taifa linajengwa kwa haki hata maandiko matakatifu yanasema hivyo. Unapoona watu wananung'unika kudhulumiwa haki zao kama si kweli basi anayelalamikiwa anapaswa kutoka hadharani na kukanusha kwa ushahidi. Tume ya uchaguzi inaendeshwa na mwenyekiti wa ccm kwa kupitia jina la rais. Waziri anayehusika na uchaguzi huo ni mwana ccm. Wakurugenzi wa wilaya na halmashauri ni ccm bila kuwasahau polisi ambao nao wamepewa jina la policcm sababu ya kuonekana kushirikiana na ccm kuwahujumu CDM. Katika mazingira kama hayo hata ccm ikishinda inaepukaje lawama? Kwanini ccm haitaki tume huru inayoshirikisha vyama vya upinzani na isiyoratibiwa na ofisi ya rais kama kweli chama hicho kinakubalika? Hujui madhara ya kupora haki za watu ni kuhatarisha vurugu ya kitaifa? Au bado mnaendelea kudhani wananchi ni wapumbavu kama mlivyo ninyi machawa wenye njaa mnaojiona mnaifahamu ccm kuliko akina jaji Warioba na mzee Kikwete?
Kama kweli ccm ni chama ambacho kinakubalika kwanini hakitaki, kuendesha uchaguzi wa huru na haki, ndo ujue kwamba??Huwezi kuitenganisha CCM na uhai wa Taifa hili.
Nimeona Mkuu,Niwekeje mara mbili.
Nani anayechapa kura feki na kuzipeleka vituo vya kupigia kura? Au unadhani ni wapinzani?Kazi ya tume ya uchaguzi ni kutangaza matokeo ambayo yanatokana na kura za wananchi. CCM imekuwa ikipigiwa kura nyingi za ndio na wananchi kwa sababu ya sera na ajenda zake zinazogusa maisha ya watu.sasa vyama kama CHADEMA vimekaa kibabaishaji tu ambapo havina uwezo wa kuandaa hata ilani tu ya uchaguzi zaidi ya mihemuko tu wawapo majukwaani. Kwa hiyo ni lazima ifahamike kuwa CCM itaendelea kuongoza Taifa hili na kusalia madarakani kwa kadri ya uhai wa Taifa letu