Kuwapeleka Burundi sio suluhisho la kudumu suluhisho la kudumu ni kupigania elimu Bora ipatikane kwa woteNani kati yangu na wewe ana IQ ndogo? Wewe unasema Tanzania elimu haikidhi si ndio? Kwahiyo si uwapeleke watoto wako Burundi? Au unataka waendelee kupata elimu isiyokidhi?