CCM inachekesha sana; wazee walioshindwa miaka yote ndio wanarudishwa tena? Wana Jipya gani?

CCM inachekesha sana; wazee walioshindwa miaka yote ndio wanarudishwa tena? Wana Jipya gani?

Kuna mambo mengine ni kama dharau.

Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?

Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?
 

Attachments

  • img_1_1737214785337.jpg
    img_1_1737214785337.jpg
    32.7 KB · Views: 2
Hawa wazee katika majukumu yao wangekuwa wanapewa vijana kufanya nao kazi ili kuwajengea uwezo, ili wanapoondoka waweze kukaimu au kushika nafasi hizo kwa ukomavu.

Huwezi kuwakwepa wazee, wanaomchango mkubwa kwetu vijana, tujifunze kutoka kwao, tusiwaondoe kabisa Kwa kigezo cha uzee,tuutumie uzee wao kujijengea uwezo wa baadaye.
 
Kuna mambo mengine ni kama dharau.

Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?

Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?

Alafu wanasema FAM ni mzee aachie uenyekiti wa CDM[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hawa wazee katika majukumu yao wangekuwa wanapewa vijana kufanya nao kazi ili kuwajengea uwezo, ili wanapoondoka waweze kukaimu au kushika nafasi hizo kwa ukomavu.

Huwezi kuwakwepa wazee, wanaomchango mkubwa kwetu vijana, tujifunze kutoka kwao, tusiwaondoe kabisa Kwa kigezo cha uzee,tuutumie uzee wao kujijengea uwezo wa baadaye.
Uko sahihi pia kiafrika wazee ndio wenye mikoba ya mambo yaleeeee

Bila kukabidhiwa mikoba ileeee kijana hatoboi akiwemo Lisu

Uenyekiti sio tu kugombea cheo ni pamoja na kukabidhiwa mikoba ilee

Lisu hajui hayo mtoto wa ubelgiji ndio maana atashindwa vibaya mno anadhani uenyekiti ni kugombea uenyekiti tu

Mwafrika mjinga huyo

Uzungu umemuharibu
 
Uko sahihi pia kiafrika wazee ndio wenye mikoba ya mambo yaleeeee

Bila kukabidhiwa mikoba ileeee kijana hatoboi akiwemo Lisu

Uenyekiti sio tu kugombea cheo ni pamoja na kukabidhiwa mikoba ilee

Lisu hajui hayo mtoto wa ubelgiji ndio maana atashindwa vibaya mno anadhani uenyekiti ni kugombea uenyekiti tu

Mwafrika mjinga huyo

Uzungu umemuharibu
LIsu kugombea uwenyekiti sio tatizo, tatizo langu kwa Lisu ni kumfanya mtangulizi wake aonekane kila alichokifanya ni kibaya, kwa maneno mengine Lisu ndiye anajua kila kitu, yeye Lisu ndiye anaakili pekee hakuna mwingine anajua chochote, isipokuwa yeye tu. Huo sio mtizamo sahihi.
Kwenye msahafu wao, mtu yeyote aliyefanikiwa ni mwizi, mla rushwa, siyo muadilifu.

Mi napenda uhuru wa kuchaguana, na kuchagiliwa, Lisu awe na staha, kama anayoyasema yana ushahidi auweke hadharani tuuone tutamuunga mkono, ila siwezi kumuamini kwa yeye kubwabwaja tu.

Sasa yeye akishinda, hatofanya kazi na balaza la wazee chadema?
Uzee siyo dhambi, hivyo tusiwaone wazee kama mashetani, tuwatumie watuongoze vizuri.

Sijui kama unawatoto, lakini tunaeafunza watoto kuheshimu wazee na kujifunza kwao, kwa maana uzoefu wao unaweza kutusaidia huko tuendako.

Model zote zinatokana na uzoefu uliopita, na hao ndio wazee.
 
Hujamsikiliza Lissu vizuri inaonekana unapenda sana maneno ya kusilia kwa watu
LIsu kugombea uwenyekiti sio tatizo, tatizo langu kwa Lisu ni kumfanya mtangulizi wake aonekane kila alichokifanya ni kibaya, kwa maneno mengine Lisu ndiye anajua kila kitu, yeye Lisu ndiye anaakili pekee hakuna mwingine anajua chochote, isipokuwa yeye tu. Huo sio mtizamo sahihi.
Kwenye msahafu wao, mtu yeyote aliyefanikiwa ni mwizi, mla rushwa, siyo muadilifu.

Mi napenda uhuru wa kuchaguana, na kuchagiliwa, Lisu awe na staha, kama anayoyasema yana ushahidi auweke hadharani tuuone tutamuunga mkono, ila siwezi kumuamini kwa yeye kubwabwaja tu.

Sasa yeye akishinda, hatofanya kazi na balaza la wazee chadema?
Uzee siyo dhambi, hivyo tusiwaone wazee kama mashetani, tuwatumie watuongoze vizuri.

Sijui kama unawatoto, lakini tunaeafunza watoto kuheshimu wazee na kujifunza kwao, kwa maana uzoefu wao unaweza kutusaidia huko tuendako.

Model zote zinatokana na uzoefu uliopita, na hao ndio wazee.
 
Mambo ya kichawi tena? Huo uchawi umeshindwa kumaliza tatizo la umaskini, Njaa na shida kibao tu.

Uchawi hauna nafasi kwenye jamii iliyostarabika
Uko sahihi pia kiafrika wazee ndio wenye mikoba ya mambo yaleeeee

Bila kukabidhiwa mikoba ileeee kijana hatoboi akiwemo Lisu

Uenyekiti sio tu kugombea cheo ni pamoja na kukabidhiwa mikoba ilee
 
Ndio maana hakuna ubunifu katika vijana wanaowaibua kwa sababu succession planning inafanywa na wazee.

Mtu ambae yupo kileo (japo fisadi) sio kwenye ubunifu tu, hata rahisi kushaurika akiona merit ya hoja ni January Makamba tu.

Waliobaki hata ukiwapa kuendesha duka la mtaa wao wenyewe, baada ya mwaka utakuta limefungwa, they don’t have what it takes to manage anything; let alone a ministry.
Kazi ipo sana kwenye mifumo ya kiafrika
 
Hujamsikiliza Lissu vizuri inaonekana unapenda sana maneno ya kusilia kwa watu
Nimemsikiliza sana yeye na hata wapambe wake, wao ni shutuma na matusi kwa kila asiyemuunga mkono Lisu.

Asiye mkubali Lisu ni mla rushwa, ni mwizi, ni mjinga. Ila Lisu ndiye anaakili kuliko kiumbe yeyote nchi hii.

Kama nasikiliza maneno, ni maneno ya Lisu na Team Lisu.
 
Kuna mambo mengine ni kama dharau.

Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?

Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?
CCM imeshajifia
 
Nimemsikiliza sana yeye na hata wapambe wake, wao ni shutuma na matusi kwa kila asiyemuunga mkono Lisu.

Asiye mkubali Lisu ni mla rushwa, ni mwizi, ni mjinga. Ila Lisu ndiye anaakili kuliko kiumbe yeyote nchi hii.

Kama nasikiliza maneno, ni maneno ya Lisu na Team Lisu.
Sasa kama unaunga mkono wala rushwa hata wewe utaonekana hivyo hata kama ujala hata mia.
 
Wamekusanyana kwenda kuteua mchapa usingizi.

Akiamka kwenye kikao ni ndio tu .
images - 2025-01-18T212152.563.jpeg
 
Back
Top Bottom