CCM inachekesha sana; wazee walioshindwa miaka yote ndio wanarudishwa tena? Wana Jipya gani?

CCM inachekesha sana; wazee walioshindwa miaka yote ndio wanarudishwa tena? Wana Jipya gani?

Kuongoza kundi la watu kwenye mambo ya itikadi sio kitu rahisi.Vijana wana mihemko na wanapenda show off za midia na mitandao kitu ambacho sio lengo lakuwepo kwa hiyo nafasi.
 
Kuongoza kundi la watu kwenye mambo ya itikadi sio kitu rahisi.Vijana wana mihemko na wanapenda show off za midia na mitandao kitu ambacho sio lengo lakuwepo kwa hiyo nafasi.
Miaka 10 iliyopita bungeni alikuwa ni Mtu wa kusinzia tu.

Leo itakuwaje?
 
Kuna mambo mengine ni kama dharau.

Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?

Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?
Wajumbe hoyeeeh
1736700772892_1.jpg
 
Ana shida gani jamaa
Ni kama unavyomuona!

Ni kama Diwani wa Arusha huko alivyosema "Mbunge wao ni matatizo yanayotembea".

Abraham Lincoln alisema "If you want to test a man's character, give him power".

Gambo alivyopata madaraka alibadilika mwenendo wake.

Ni mtu ambaye madaraka hayamfai! Ni mtu ambaye inabidi awe chini ya mtu aongozwe.
 
Ni kama unavyomuona!

Ni kama Diwani wa Arusha huko alivyosema "Mbunge wao ni matatizo yanayotembea".

Abraham Lincoln alisema "If you want to test a man's character, give him power".

Gambo alivyopata madaraka alibadilika mwenendo wake.

Ni mtu ambaye madaraka hayamfai! Ni mtu ambaye inabidi awe chini ya mtu aongozwe.
Nasikia huko aliko anakula totozi tu mwanzo mwisho.
 
Kuongoza chama kikubwa kama CCM inahitaji busara na sio mihemko kama ya CHADEMA
 
Ndio maana hakuna ubunifu katika vijana wanaowaibua kwa sababu succession planning inafanywa na wazee.

Mtu ambae yupo kileo (japo fisadi) sio kwenye ubunifu tu, hata rahisi kushaurika akiona merit ya hoja ni January Makamba tu.

Waliobaki hata ukiwapa kuendesha duka la mtaa wao wenyewe, baada ya mwaka utakuta limefungwa, they don’t have what it takes to manage anything; let alone a ministry.
 
Yet hao wachekeshaji ndio wanaendelea kufuja na kulamba Asali..., Makes me wonder mchekeshaji ni nani hapo.
 
Kuna mambo mengine ni kama dharau.

Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?

Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?
Kaka ukiwa ndani aya CCM iwe kijana ama Mzee ni kuishi kwa adabu.. ni kweli hizi ni dharau ila huna la kufanya..ni LAZIMA sasa ufanye kazi na babu yako.
 
Back
Top Bottom