Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Wangempa Luka Si Muosha MbwaKuna mambo mengine ni kama dharau.
Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?
Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?