Kuna haja ya CCM kuadhibiwa na Watanzania.
Sio tu kuadhibiwa bali hata viongozi wake baada ya kutolewa wakamatwe, kufungwa na kufilisiwa na familia.
Kwa kiasi kikubwa matatizo mengi ya nchi hii shida kuu ni CCM na watu wanaoizunguka CCM, watu wanaoizunguka ni hawa wote wanufaika wa ujinga wa CCM.