Enzi hizo kule iliyokuwa USSR ile iliyokuwa chama pekee huko The Communist Party of USSR ilikuwa na nguvu zaidi ya hii ccm mbali sana.
Hata mtoto alikuwa akizaliwa tu anapewa kadi ya chama. Kila raia alikuwa ni lazima awe mwanachama lkn hilo halikuzuia chama hicho kufa sambamba na iliyokuwa Soviet Union.
Haya yanayofanyika hapa leo ni marudio tu ya yale yaliyowahi kufanyika kwingineko na huko mbele yatabaki kwenye simulizi tu za wana historia kama ilivyo huko Russia leo. Hakuna marefu yasiyo na mwisho.
Na "Glasnost". It's time that perfects everything. You can't beat the time but you can only cope with it.
Na "Glasnost". It's time that perfects everything. You can't beat the time but you can only cope with it.
Kwan tatizo lipo wapi kujiunga kwenye kanzi data lakini umbo la ndani ni mpinzani!Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.
Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.
Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.
Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.
Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.
Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.
Akisha pigwa mkuyati anatulia na kueleweka, hivyo Ukiona ujue siku nyingi bilabilapopoma za lumumba ni shida sana yaani wewe binti mumeo atakuwa anapata taabu sana kukuelewa
Akisha pigwa mkuyati anatulia na kueleweka, hivyo Ukiona ujue siku nyingi bilabila
Atatumia nini ili aweze kuona?
Hapa Iringa kuna harakati zinaendeshwa na kundi la baadhi ya wana CCM kuwashawishi waalimu kujiorodhesha na kuingizwa kwenye Kanzi Data (Data Base) ya chama hicho kwa ahadi kwamba kipekee maslahi yao yatashughulikiwa.
Waalimu wanaoingizwa kwenye kanzi data hiyo inasemwa kwamba watakuwa wanaitwa "waalimu Wazalendo" na lengo ni kupanga uungwaji mkono toka kada hiyo ya waajiriwa wa serikali.
Inawezekana mifumo ya kupandisha madaraja na mishahara kwa waalimu iko hivi ilivyo sasa lengo likiwa ni atakayekuwa upande wa CCM atafaidika na atakayekuwa kinyume na CCM atakwamishwa.
Juzi kati, memba mmoja wa jf aitwae nzagamba aliandika katika makala yake moja na akaeleza kuwa karibia asilimia 90% ya Wa-Tanzania ni wale ambao elimu yao ni duni (ataniweka sawa) nami nikamuunga mkono kuwa, katika mambo ambayo ccm imefanikiwa tangu kuwepo madarakani ni kuwafanya asilimia kubwa ya watanzania kuwa mbumbumbu.Kama kuna kada iliyojaa watu-nyumbu nchi hii basi ni Walimu
SahihiKama kuna kada iliyojaa watu-nyumbu nchi hii basi ni Walimu
Niaibu ila tutafikaNiliwahi kumsikia kiongozi mmoja wa ccm akitamka hadharani bila aibu kuwa kijana ukitaka ajira ni lazima ujiunge na ccm
Sent using Jamii Forums mobile app