Tetesi: CCM inaorodhesha walimu wazalendo

Ukweli ni kwamba adui namba moja wa maendeleo Tanzania ni CCM
 
 

Attachments

  • 1546611866347.png
    71.8 KB · Views: 18
Kama Wewe Ni Mwalimu Mzalendo jiunge Kwenye hiyo data base Tatizo liko wapi?
Timieni akili kufikiri, viungo vingine vina kazi zake… Kuna tofauti kati ya uzalendo na uanachama wa CCM...

Hivi mnadhani nje ya CCM hakuna wazalendo?
 
Timieni akili kufikiri, viungo vingine vina kazi zake… Kuna tofauti kati ya uzalendo na uanachama wa CCM...

Hivi mnadhani nje ya CCM hakuna wazalendo?

'Rais anaweza kutoka Chama chote lakin Rais Bora lazima atoke ccm'-Mwl Nyerere

Hayo sio Maneno ya Pohamba ya Baba Na Muasisi wa Taifa hili kishakwambia hivyo Mie Nani niongeze walau nukta
 
Soon Serikali/ccm inaorodhesha Wafanyakazi wote Serikalini ambao ni Wanachama wa chama hicho kisha watafuatiwa na Wakulima, Wafanyabiashara, Wavuvi na Wanafunzi wote wa elimu ya juu.

 
'Rais anaweza kutoka Chama chote lakin Rais Bora lazima atoke ccm'-Mwl Nyerere

Hayo sio Maneno ya Pohamba ya Baba Na Muasisi wa Taifa hili kishakwambia hivyo Mie Nani niongeze walau nukta

Hizo ni fkra zako za kipopoma.
 
'Rais anaweza kutoka Chama chote lakin Rais Bora lazima atoke ccm'-Mwl Nyerere

Hayo sio Maneno ya Pohamba ya Baba Na Muasisi wa Taifa hili kishakwambia hivyo Mie Nani niongeze walau nukta
Inahusiana nini na nilichokiandika?
 
Hapo unajiunga tu. Moyo wako ndiyo utakuwa unajua upo wapi,kwenye kura unapiga upinzani,ukiwa pembeni kampeni kwa wapinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Rais anaweza kutoka Chama chote lakin Rais Bora lazima atoke ccm'-Mwl Nyerere
CCM imekuwa kama Kokoro, inabeba kila uchafu. Haya pia ni maneno ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…