Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Hebu tuondolee nuksi
😂😂😂Wa nini? Nenda Rwanda.
Lakini bado hata nusu ya chuma hafikiii... yaani sasa hivi hata TBC1 haina cha kuonesha ... maana ilikuwa ni matukio kwa mwendo mdundoYupo Kassim Majaliwa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Pamoja na kutokutupatia baadhi ya haki zetu kama wafanyakazi, lakini nakiri kuwa nime mmiss JPM. Nawaza tu hivi kweli CCM itakuja tupatia kiongozi mwenye maono na uthubutu kama chuma aka Jiwe ? R.I.P mwamba...
Kama ww ujakoma sie tushakoma... Amia Uganda au Rwanda huko kuna marais wanafanana nae..
Majaliwa Kassim ni mtu mbad sema watu awajamsoma tu alafu kitaa watu wanamuelewa sana.Lakini bado hata nusu ya chuma hafikiii... yaani sasa hivi hata TBC1 haina cha kuonesha ... maana ilikuwa ni matukio kwa mwendo mdundo
Katiba mpya ndio muhimu kwa sasa
Magufuli alikuwa na IQ kubwa sana... sharp in decision making ... humdanganyi kirahisiMajaliwa Kassim ni mtu mbad sema watu awajamsoma tu alafu kitaa watu wanamuelewa sana.
Maono gani? ......hivi kweli CCM itakuja tupatia kiongozi mwenye maono na uthubutu kama chuma aka Jiwe ?
View attachment 1837020View attachment 1837020Hiyo ni Gbadolite soon MATAGA mtakuwa na cha kujifunza