CCM inaweza kutupatia kiongozi mwingine mwenye uthubutu kama Hayati Magufuli?

CCM inaweza kutupatia kiongozi mwingine mwenye uthubutu kama Hayati Magufuli?

sem2708

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,414
Reaction score
4,534
Pamoja na kutokutupatia baadhi ya haki zetu kama wafanyakazi, lakini nakiri kuwa nime mmiss JPM. Nawaza tu hivi kweli CCM itakuja tupatia kiongozi mwenye maono na uthubutu kama chuma aka Jiwe ? R.I.P mwamba...
 
Pamoja na kutokutupatia baadhi ya haki zetu kama wafanyakazi, lakini nakiri kuwa nime mmiss JPM. Nawaza tu hivi kweli CCM itakuja tupatia kiongozi mwenye maono na uthubutu kama chuma aka Jiwe ? R.I.P mwamba...

Probably yes! lakini sio kwa level ya Magufuli, he still remains unexceptional especially kwenye issue ya DIRA, will have to wait and see! RIP JEMBE MAGUFULI
 
images (63).jpeg
images (63).jpeg
Hiyo ni Gbadolite soon MATAGA mtakuwa na cha kujifunza
 
Back
Top Bottom