CCM inaweza kutupatia kiongozi mwingine mwenye uthubutu kama Hayati Magufuli?

CCM inaweza kutupatia kiongozi mwingine mwenye uthubutu kama Hayati Magufuli?

Wacha sahizi wapewe uhuru wa kuropoka na kuandika upuuzi juu ya serikali huku serikalini watu wakijipigia mipunga na kupotezea miradi ya maendeleo 😂😂😂 watakuja kuelewa somo vizuri nk swala la muda tu!
Wale mapapaa wa kuchop money naona wameanza tena, nimeoneshwa clip ya mdada mbongo movie, sijui ni Uwoya, akimwaga money...kuna hotel nasikia imefunguliwa Tbt, ilishindikana kwa miaka 5 iliyopita.

Mungi akitujaliwa, mwakani tutafuturishana sana, ma-birthday location yakufa mtu, tutaanza kuimba majina ya wale wale tena, sijui Mwamvita, mara Riz1, mara n.k

Dizaini hiyo na chawa wao ndo wenye access na mitandao kuliko ndugu zangu kule Nanjilinji ambao ndio wanapanga foleni kupiga kura, wanapanga foleni kusubiri panadol, wanapanga foleni kuandikisha mtoto shule, wanapanga foleni kuchota maji kisimani, wanapanga foleni kupata pembejeo, walioundiwa TASAF na bado wanapewa walio masaki, pesa za visima vyao zinaishia kwa wanaotaka mzunguko wa pesa mtaani n.k

CAG alisema kati ya 27bn zilizokusanya na jiji, 3bn pekee ndo zimeenda/kuhesabiwa benki, zaidi na POS machine 80s zilizotumika kukusanya pesa hizo eti zimepotea, leo nimesikia tena kuwa POS za makusanyo za jiji lenu la Dar, zaidi ya 500 eti zimepotea, hawasemi zimepotea na pesa kiasi gani...hawa ndo wanataka mzunguko wa pesa mtaani.

Ni heri kusiwe na mzunguko wa pesa mtaani ila heshima ya shule za serikali ikarudi, kwamba ukisoma binafsi unaonekana kilaza, hizi ndo shule ndugu zangu wengi, 80% wanazimudu, pesa isiwepo mtaani ila nipate huduma bora hospitali, sio ubinafsi wa kuwa chawa kuishi kama Bashite kwa gharama za maisha ya walio wengi masikini.

Nani wakuchukua hatua? Mama anaupiga mwingi, KAZI IENDELEE
 
Nchi makini haiendeshwi kwa matukio mwendo mdundo.
Lakini bado hata nusu ya chuma hafikiii... yaani sasa hivi hata TBC1 haina cha kuonesha ... maana ilikuwa ni matukio kwa mwendo mdundo
 
Corona ni futa tu, jifukizeni - Jiwe 2020
The guys analytical capacity was exceptional! Mzee alikuwa mwamba na akifuatilia jambo analidig from the core. He always has the first hand information about the situation kabla hajasikiliza porojo za wahusika. Straight away anatoa maelekezo wala hana haja ya kupoteza muda!
 
Tofautisha IQ na Siasa hao jamaa walikuwa wanataka kumkaribisha Lowassa baada ya kupiga mahesabu kuwa atakuja na maelfu ya WanaCCM ili kukisambaratisha Chama cha Mapinduzi na kushinda Uchaguzi Mkuu hio sio IQ ndogo jata kidogo
Lowasa mwenyewe akawa mole ndani ya cdm
 
Tofautisha IQ na Siasa hao jamaa walikuwa wanataka kumkaribisha Lowassa baada ya kupiga mahesabu kuwa atakuja na maelfu ya WanaCCM ili kukisambaratisha Chama cha Mapinduzi na kushinda Uchaguzi Mkuu hio sio IQ ndogo jata kidogo

sasa mnafanya nn kwenye siasa kama mnaowapinga ndo mnawahitaji? IQ ya wapi hio?
 
Zamani niliamini ni wakomunisti wa China, N Korea, Cuba, n.k. ndio wenye vinasaba vya kutamani “personality cults”, Kumbe na sisi tumo sana.
Na ajabu zaidi, unakuta vijana waliozaliwa 2000 ndio wanakuwa mstari wa mbele kuabudu mtu!
Hakika hatma ya Tz ni giza tu.
 
Watu wenye akili ndogo ni wengi sana nchi hii
Zamani niliamini ni wakomunisti wa China, N Korea, Cuba, n.k. ndio wenye vinasaba vya kutamani “personality cults”, Kumbe na sisi tumo sana.
Na ajabu zaidi, unakuta vijana waliozaliwa 2000 ndio wanakuwa mstari wa mbele kuabudu mtu!
Hakika hatma ya Tz ni giza tu.
 
Probably yes! lakini sio kwa level ya Magufuli, he still remains unexceptional especially kwenye issue ya DIRA, will have to wait and see! RIP JEMBE MAGUFULI
Kuna Watanzania ni matahira.ndio maana CCM itatuongoza mpaka miaka 500 ijayo, Kama kwako Magufuli nae ni MTU mwenye maono dah.
 
Wale mapapaa wa kuchop money naona wameanza tena, nimeoneshwa clip ya mdada mbongo movie, sijui ni Uwoya, akimwaga money...kuna hotel nasikia imefunguliwa Tbt, ilishindikana kwa miaka 5 iliyopita.

Mungi akitujaliwa, mwakani tutafuturishana sana, ma-birthday location yakufa mtu, tutaanza kuimba majina ya wale wale tena, sijui Mwamvita, mara Riz1, mara n.k

Dizaini hiyo na chawa wao ndo wenye access na mitandao kuliko ndugu zangu kule Nanjilinji ambao ndio wanapanga foleni kupiga kura, wanapanga foleni kusubiri panadol, wanapanga foleni kuandikisha mtoto shule, wanapanga foleni kuchota maji kisimani, wanapanga foleni kupata pembejeo, walioundiwa TASAF na bado wanapewa walio masaki, pesa za visima vyao zinaishia kwa wanaotaka mzunguko wa pesa mtaani n.k

CAG alisema kati ya 27bn zilizokusanya na jiji, 3bn pekee ndo zimeenda/kuhesabiwa benki, zaidi na POS machine 80s zilizotumika kukusanya pesa hizo eti zimepotea, leo nimesikia tena kuwa POS za makusanyo za jiji lenu la Dar, zaidi ya 500 eti zimepotea, hawasemi zimepotea na pesa kiasi gani...hawa ndo wanataka mzunguko wa pesa mtaani.

Ni heri kusiwe na mzunguko wa pesa mtaani ila heshima ya shule za serikali ikarudi, kwamba ukisoma binafsi unaonekana kilaza, hizi ndo shule ndugu zangu wengi, 80% wanazimudu, pesa isiwepo mtaani ila nipate huduma bora hospitali, sio ubinafsi wa kuwa chawa kuishi kama Bashite kwa gharama za maisha ya walio wengi masikini.

Nani wakuchukua hatua? Mama anaupiga mwingi, KAZI IENDELEE
Kwahiyo ulitaka watu waimbe nyimbo za mitano ten, Asante covid

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom