CCM inaweza kutupatia kiongozi mwingine mwenye uthubutu kama Hayati Magufuli?

CCM inaweza kutupatia kiongozi mwingine mwenye uthubutu kama Hayati Magufuli?

Pamoja na kutokutupatia baadhi ya haki zetu kama wafanyakazi, lakini nakiri kuwa nime mmiss JPM. Nawaza tu hivi kweli CCM itakuja tupatia kiongozi mwenye maono na uthubutu kama chuma aka Jiwe ? R.I.P mwamba...
Bashite anaitamani hiyo nafasi. Naona siku hizi kakaa kimya. Hivi yuko wapi jamani? Media zimemkimbia au yy kakimbia media? CCM kwa mbwembwe!!!!
 
The guys analytical capacity was exceptional! Mzee alikuwa mwamba na akifuatilia jambo analidig from the core. He always has the first hand information about the situation kabla hajasikiliza porojo za wahusika. Straight away anatoa maelekezo wala hana haja ya kupoteza muda!
Huyo ndo alikua rais anaeiweza nchi hii.
Sa hivi wanapiga kelele tu mamaaa mama mama yenu huyo?
Mtapigwa za uso mpaka mkome nyau nyie
 
Tangia Uhuru tz haijawahi kupata rais wa hovyo kama marehemu dikiteta magufuli, ni mburundi pekee tu aweza tamani tz ije ipate rais wa sampuli ya dikiteta mwendakuzimu.
 
Tangia Uhuru tz haijawahi kupata rais wa hovyo kama marehemu dikiteta magufuli, ni mburundi pekee tu aweza tamani tz ije ipate rais wa sampuli ya dikiteta mwendakuzimu.
Hii nchi inakwenda shimoni live
Inakwenda au kitambo ilidumbukia shimoni.
 
Ni fahari kubwa sana akili yangu kuirank na great thinker kama mbowe, sijui nikupe zawadi gani?
Aisee mi sihitaji hata zawadi kama umewaza kuwa Mbowe ni great thinker mzani wako tu wa IQ ni zawadi tosha kwangu! 😂😂😂
 
Pamoja na kutokutupatia baadhi ya haki zetu kama wafanyakazi, lakini nakiri kuwa nime mmiss JPM. Nawaza tu hivi kweli CCM itakuja tupatia kiongozi mwenye maono na uthubutu kama chuma aka Jiwe ? R.I.P mwamba...
Ficha upumbavu wako. Umemisi mautekaji?
 
kila mtu anajua katiba mpya ina umuhimu, sasa katiba sio kwa ajili ya nyie kuingia madarakani ila ya WANANCHI , sio kwa maneno yenu!
Si mpekeke maoni yenu na nyie mataga? Kwani mmekatazwa?
 
The guys analytical capacity was exceptional! Mzee alikuwa mwamba na akifuatilia jambo analidig from the core. He always has the first hand information about the situation kabla hajasikiliza porojo za wahusika. Straight away anatoa maelekezo wala hana haja ya kupoteza muda!
Una uhakika gani kuwa huwa anadig kweli? Una uhakika gani findings zake ni za kweli? Una uhakika gani na hiyo direct to the point?

Kama aliweza kusema alikuta sukari kilo ni tsh 5000, Saddam Hussein ni rais wa Kuwait, aliwahi kuokota vichwa vya treni bandarini, siku ina masaa 36, Atcl inajiendesha kwa faida, je mambo ya sirini si ndio tulipigwa kabisa huku wapumbavu kama nyie mkiona ni kweli? Ona haya makesi dhidi ya government watu wanavyoigaragaza serikali. Upuuzi mtupu
 
sasa mnafanya nn kwenye siasa kama mnaowapinga ndo mnawahitaji? IQ ya wapi hio?
Hao mliowanunua na kuwafanya Mawaziri si Siasa hiyohiyo lengo ili kuwa ni kiua Chadema sio na sisi lengo lilikua kuichinja CCM.
 
Push gengi bana mmemiss kuteka na kuingiza watu kwenye sandarusi ?🤣🤸🐒
 
Chadema genge la Wahuni
JamiiForums1992688910.jpg
JamiiForums485238726.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Una uhakika gani kuwa huwa anadig kweli? Una uhakika gani findings zake ni za kweli? Una uhakika gani na hiyo direct to the point?

Kama aliweza kusema alikuta sukari kilo ni tsh 5000, Saddam Hussein ni rais wa Kuwait, aliwahi kuokota vichwa vya treni bandarini, siku ina masaa 36, Atcl inajiendesha kwa faida, je mambo ya sirini si ndio tulipigwa kabisa huku wapumbavu kama nyie mkiona ni kweli? Ona haya makesi dhidi ya government watu wanavyoigaragaza serikali. Upuuzi mtupu
Serikali haijawahi kugaragazwa enzi za Magu wewe kuwa makini!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom