Na Yale yanayoonekana unayazungumziajeUna uhakika gani kuwa huwa anadig kweli? Una uhakika gani findings zake ni za kweli? Una uhakika gani na hiyo direct to the point?
Kama aliweza kusema alikuta sukari kilo ni tsh 5000, Saddam Hussein ni rais wa Kuwait, aliwahi kuokota vichwa vya treni bandarini, siku ina masaa 36, Atcl inajiendesha kwa faida, je mambo ya sirini si ndio tulipigwa kabisa huku wapumbavu kama nyie mkiona ni kweli? Ona haya makesi dhidi ya government watu wanavyoigaragaza serikali. Upuuzi mtupu
Wajinga wengi watachukua muda kuelewa kwamba Magu alikuwa Jembe....
JITU KATILI, JITU LIUAJI, NUNDA MLA WATU.
JITUKATILI LA ROHO ZA WATU
kama huyo ni tapeli wa maneno, hawa je? pamoja na mchungaji wenuKalale nae chato usitipigie kelele hapa na huyo tapeli wenu wa maneno
Hao mliowanunua na kuwafanya Mawaziri si Siasa hiyohiyo lengo ili kuwa ni kiua Chadema sio na sisi lengo lilikua kuichinja CCM.
Angalia IQ nyuma ya mpango huowala usizunguke mti, lowasa mlimpokea hamkumpokea? haya maneno mlisema hamkusema?
Viongozi wenye uthubutu wapo wengi tu Ila hatutaki VICHAA kama Magufuli. Uthubutu ni uwezo wa kufanya MAAMUZI CHANYA na kuyatetea.Pamoja na kutokutupatia baadhi ya haki zetu kama wafanyakazi, lakini nakiri kuwa nime mmiss JPM. Nawaza tu hivi kweli CCM itakuja tupatia kiongozi mwenye maono na uthubutu kama chuma aka Jiwe ? R.I.P mwamba...
Angalia IQ nyuma ya mpango huo
Hakuna kitu pale. Nimesoma Mkwawa na Magufuli yeye akisoma Maths na Chemistry na mimi Physics na Maths plus Teaching.Magufuli alikuwa na IQ kubwa sana... sharp in decision making ... humdanganyi kirahisi
Sasa kwanini Muibe Uchaguzi wekeni Tume HURU tumalize UBISHIView attachment 1837595
hii ndo matokeo ya IQ yenu
huyo alikuwa ni FAILURE na LAANA kubwa. Tumshukuru Mungu
Kutekeleza ndoto za Taifa letu tangu enzi za baba wa Taifa kwa:Maono gani? ......
-kukifanya Kijiji cha Chato kuwa jiji?
-kupiga watu risasi?
-kuteka watu?
-kupora fedha za watu?
-kupendelea watu wa kanda yake?
Sasa kwanini Muibe Uchaguzi wekeni Tume HURU tumalize UBISHI
Tume HURU itamaliza ubishiwekeni tume huru alafu mnachukua watu wa ccm?