Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naunga mkono hojaMsisimamizi mkuu wa chama letu kwa sasa anaona kua mwenye maamuzi pekee ndani ya Chama ni yule kijana aliyepata kuchukiwa kabisa na wengi pamoja na media nyingi kumpa kisogo. Huyu kwa sasa anaonekana nafasi aliyonayo hivi sasa ni ndogo kwa ujasiri wake, hivyo ni bora kumkomaza na kumpaisha zaidi kimaamuzi kwa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama letu ili hata ikifikia 2020 isiwe kazi kucheza karata za mjengoni. Ndio hivyo, na ndivyo itakavyokuwa.
Kule atamualisha nani bila nguvu ya dola?Bora amtoe atuachie jiji letu amuweke hukohuko chamani, infact kazi ya siasa ndio inamfaa zaidi
Kwani sasa hivi anaongoza ana vyeti?Nani kwa hiyo bashite aongoze ccm bila vyeti?
Swissme
Kama wanachama wenyewe ni type ya kina msukuma na kibajaji wa kuamrishwa kushoto geuka mbele tembea anabonyeza Play wanaimba anabonyeza Stop wananyamaza kwanini ashindwe kuwaongoza.Nani kwa hiyo bashite aongoze ccm bila vyeti?
Swissme
Semà anaota tu! Kama utakuwa makini siredi nyingi zinazoanzishwa humu kwa kichwa cha habari kinachoanza na tetesi,asilimia 70 huwa zinakuja kuwa kweli baada ya kipindi Fulani.na chache huwa hazitimii kwa tetesi kutokutumia.Kumbe hata mtu akiwa anaota akaandika tunachangia kama vile kweli. Hizi habari muwe mnasubiri siku yake 1 april.
Mkuu,mbona anaongoza Jiji kubwa la DSM bila hivyo vyeti halali? Nafikiri kuongoza CCM ni rahisi zaidi kwa sababu ya ujuha,ukilaza na unafiki wa kiwango cha juu cha wanachama,as long as dereva mkuu ameamua.Nani kwa hiyo bashite aongoze ccm bila vyeti?
Swissme
Anaongoza jiji kubwa wewe uwezi kuona watu wa dar wakilivyo wengi wao Elimu Duni.Mkuu,mbona anaongoza Jiji kubwa la DSM bila hivyo vyeti halali? Nafikiri kuongoza CCM ni rahisi zaidi kwa sababu ya ujuha,ukilaza na unafiki wa kiwango cha juu cha wanachama,as long as dereva mkuu ameamua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi nani kakuambia Magufuli atafikisha 2025? Paskali, huyo muzee hakatizi 2020 na ataingia kwenye historia ya viongozi walio ongoza kipindi kimoja na kushindwa uchaguzi. Vilio (vya moyoni) vimekuwa vingi sana na havitamuacha salama.naunga mkono hoja
Baada ya Magufuli, 2025 ... atatufaa sana, kwasababu ana ...
P
cool SundayIt is Sunday............