Tetesi: CCM kaeni Chonjo, mwanaume anakuja. Msikimbie chama chetu!

Tetesi: CCM kaeni Chonjo, mwanaume anakuja. Msikimbie chama chetu!

Bora akapotelee huko.....mwezi tu watakua washamroga na tumemsahau
 
Wampe tu tena ile nafas ya alietumwa kutibiwa india
 
Hapana Mimi naamini Bashite kwenye chama atafanya vizuri sana mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Mimi so shabiki wa Bashite lakini kwenye siasa nsmpa big up. Siyo yule polepole hata haeleweki anaongea nini

Sent using Jamii Forums mobile app



Ataweza mipisho lakini katika kutekeleza Ikitikadi ya Chama hawezi yule! Mfano unapomtazama Mtu Philip Mangula, Kinana, Seif Khatib, Magufuli, na wengine unapata picha gani akili mwako? Chama kinahitaji watu makini. TAKE CARE
 
Ninachosema ndicho nimaanishacho. kwakua nimeifanya kua ni tetesi, let's wait time talks itself.

Kuna kila dalili ndugu yetu aliyepewa Ban na media zote hapo juzi kati hivi, sasa hivi wenye chama wanafikiria kumpa kazi ya kukisimamia chama. Msimamizi mkuu wa chama letu amepoteza imani kabisa na uongozi wa chama uliopo, kwahiyo by any time mkisikia mabadiliko makubwa mtarudi humu kushangaa nilichokua nikikisema. Mwanaume is coming soon!

Kwa sasa tumalizieni uchaguzi wa chama ngazi ya chini kwanza, lakini ukweli ndio huu. Msimami mkuu wa chama letu anaona kuna uwezekano mkubwa kabisa hizi chaguzi za chini zaweza kukipasua chama tena kwa namna yeyote ile kutokana na baadhi ya viongizi wetu ndani ya chama kuonekana kutaka kupanga safu zetu za viongizi wawatakao kitu ambacho kwa sasa hakina nafasi hiyo.Wa nataka kutupangia safari yetu ya 2020 weeeh!!

Msisimamizi mkuu wa chama letu kwa sasa anaona kua mwenye maamuzi pekee ndani ya Chama ni yule kijana aliyepata kuchukiwa kabisa na wengi pamoja na media nyingi kumpa kisogo. Huyu kwa sasa anaonekana nafasi aliyonayo hivi sasa ni ndogo kwa ujasiri wake, hivyo ni bora kumkomaza na kumpaisha zaidi kimaamuzi kwa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama letu ili hata ikifikia 2020 isiwe kazi kucheza karata za mjengoni. Ndio hivyo, na ndivyo itakavyokuwa.

Kwa nafasi yake ya sasa anaangaliwa kijana mwingine mwenye ujasiri na maamuzi yanayoshabihiana na yake either ndani ya chama letu au kwenye system.


Ni mimi Prof MAHANJU, ni mwanaccm mfu, bado sijabanduka ndani ya chama letu lakini nacheza pande zote huku na kule.


Weekend njema![/QUOTE
Sawa malehem!
 
Ninachosema ndicho nimaanishacho. kwakua nimeifanya kua ni tetesi, let's wait time talks itself.

Kuna kila dalili ndugu yetu aliyepewa Ban na media zote hapo juzi kati hivi, sasa hivi wenye chama wanafikiria kumpa kazi ya kukisimamia chama. Msimamizi mkuu wa chama letu amepoteza imani kabisa na uongozi wa chama uliopo, kwahiyo by any time mkisikia mabadiliko makubwa mtarudi humu kushangaa nilichokua nikikisema. Mwanaume is coming soon!

Kwa sasa tumalizieni uchaguzi wa chama ngazi ya chini kwanza, lakini ukweli ndio huu. Msimami mkuu wa chama letu anaona kuna uwezekano mkubwa kabisa hizi chaguzi za chini zaweza kukipasua chama tena kwa namna yeyote ile kutokana na baadhi ya viongizi wetu ndani ya chama kuonekana kutaka kupanga safu zetu za viongizi wawatakao kitu ambacho kwa sasa hakina nafasi hiyo.Wa nataka kutupangia safari yetu ya 2020 weeeh!!

Msisimamizi mkuu wa chama letu kwa sasa anaona kua mwenye maamuzi pekee ndani ya Chama ni yule kijana aliyepata kuchukiwa kabisa na wengi pamoja na media nyingi kumpa kisogo. Huyu kwa sasa anaonekana nafasi aliyonayo hivi sasa ni ndogo kwa ujasiri wake, hivyo ni bora kumkomaza na kumpaisha zaidi kimaamuzi kwa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama letu ili hata ikifikia 2020 isiwe kazi kucheza karata za mjengoni. Ndio hivyo, na ndivyo itakavyokuwa.

Kwa nafasi yake ya sasa anaangaliwa kijana mwingine mwenye ujasiri na maamuzi yanayoshabihiana na yake either ndani ya chama letu au kwenye system.


Ni mimi Prof MAHANJU, ni mwanaccm mfu, bado sijabanduka ndani ya chama letu lakini nacheza pande zote huku na kule.


Weekend njema!

Ungekuwa Verified User ningeamini kuwa wewe ndiwe, vinginevyo nasita kuyaamini hata uyasemayo.
 
Ninachosema ndicho nimaanishacho. kwakua nimeifanya kua ni tetesi, let's wait time talks itself.

Kuna kila dalili ndugu yetu aliyepewa Ban na media zote hapo juzi kati hivi, sasa hivi wenye chama wanafikiria kumpa kazi ya kukisimamia chama. Msimamizi mkuu wa chama letu amepoteza imani kabisa na uongozi wa chama uliopo, kwahiyo by any time mkisikia mabadiliko makubwa mtarudi humu kushangaa nilichokua nikikisema. Mwanaume is coming soon!

Kwa sasa tumalizieni uchaguzi wa chama ngazi ya chini kwanza, lakini ukweli ndio huu. Msimami mkuu wa chama letu anaona kuna uwezekano mkubwa kabisa hizi chaguzi za chini zaweza kukipasua chama tena kwa namna yeyote ile kutokana na baadhi ya viongizi wetu ndani ya chama kuonekana kutaka kupanga safu zetu za viongizi wawatakao kitu ambacho kwa sasa hakina nafasi hiyo.Wa nataka kutupangia safari yetu ya 2020 weeeh!!

Msisimamizi mkuu wa chama letu kwa sasa anaona kua mwenye maamuzi pekee ndani ya Chama ni yule kijana aliyepata kuchukiwa kabisa na wengi pamoja na media nyingi kumpa kisogo. Huyu kwa sasa anaonekana nafasi aliyonayo hivi sasa ni ndogo kwa ujasiri wake, hivyo ni bora kumkomaza na kumpaisha zaidi kimaamuzi kwa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama letu ili hata ikifikia 2020 isiwe kazi kucheza karata za mjengoni. Ndio hivyo, na ndivyo itakavyokuwa.

Kwa nafasi yake ya sasa anaangaliwa kijana mwingine mwenye ujasiri na maamuzi yanayoshabihiana na yake either ndani ya chama letu au kwenye system.


Ni mimi Prof MAHANJU, ni mwanaccm mfu, bado sijabanduka ndani ya chama letu lakini nacheza pande zote huku na kule.


Weekend njema!
Ni zuzu pekee ndiye anaweza kuamini kuwa habari hii ni ya kweli! Uongozi wa chama una taratibu na nafasi ya mwenyekiti hupatikana kwa kuchaguliwa na wanachama na si kuwekwa hivyo ni lazima apitie mchakato wa kuomba na kuchaguliwa...
Hivyo hii habari ni ya uongo na kamwe haiwezi kuwa ya kweli....
 
Huyo ndo atavuruga kabisa siasa za nchi hii!
 
Asije akateka pale Uhuru na Mzalendo, kuweni makini

Sent From Kisana Kiki Iphone
 
Mchezo usuohitaji hata chembe ya Asira..
Time will speak out it self
 
Badili title please
Of all the people, mwanaume atakuwa huyo?
Eti mwanaume ndio huyu
makonda.jpg
 
kama naona vile kina nape ,makamba, msukuma nk wanapigiana sm mda huu bwana eeh ingia whatsapp kuna link nimeshare kutoka Jf tusiyempenda anakuja


mwafwaa
 
Back
Top Bottom