Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa raisi itakuwa kituko cha mwaka na Tanzania tutaingia kwenye record ya Guinness kuwa na raisi wa ajabu. Itakuwa kama chini Jean Bokassa maana hakawii kuifanya nchi kuwa ya kifalme na kujipa mwenyewe ufalme. Tutakuwa na Empire ya Tanganyikanaunga mkono hoja
Baada ya Magufuli, 2025 ... atatufaa sana, kwasababu ana ...
P
Hapana Mimi naamini Bashite kwenye chama atafanya vizuri sana mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Mimi so shabiki wa Bashite lakini kwenye siasa nsmpa big up. Siyo yule polepole hata haeleweki anaongea nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachosema ndicho nimaanishacho. kwakua nimeifanya kua ni tetesi, let's wait time talks itself.
Kuna kila dalili ndugu yetu aliyepewa Ban na media zote hapo juzi kati hivi, sasa hivi wenye chama wanafikiria kumpa kazi ya kukisimamia chama. Msimamizi mkuu wa chama letu amepoteza imani kabisa na uongozi wa chama uliopo, kwahiyo by any time mkisikia mabadiliko makubwa mtarudi humu kushangaa nilichokua nikikisema. Mwanaume is coming soon!
Kwa sasa tumalizieni uchaguzi wa chama ngazi ya chini kwanza, lakini ukweli ndio huu. Msimami mkuu wa chama letu anaona kuna uwezekano mkubwa kabisa hizi chaguzi za chini zaweza kukipasua chama tena kwa namna yeyote ile kutokana na baadhi ya viongizi wetu ndani ya chama kuonekana kutaka kupanga safu zetu za viongizi wawatakao kitu ambacho kwa sasa hakina nafasi hiyo.Wa nataka kutupangia safari yetu ya 2020 weeeh!!
Msisimamizi mkuu wa chama letu kwa sasa anaona kua mwenye maamuzi pekee ndani ya Chama ni yule kijana aliyepata kuchukiwa kabisa na wengi pamoja na media nyingi kumpa kisogo. Huyu kwa sasa anaonekana nafasi aliyonayo hivi sasa ni ndogo kwa ujasiri wake, hivyo ni bora kumkomaza na kumpaisha zaidi kimaamuzi kwa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama letu ili hata ikifikia 2020 isiwe kazi kucheza karata za mjengoni. Ndio hivyo, na ndivyo itakavyokuwa.
Kwa nafasi yake ya sasa anaangaliwa kijana mwingine mwenye ujasiri na maamuzi yanayoshabihiana na yake either ndani ya chama letu au kwenye system.
Ni mimi Prof MAHANJU, ni mwanaccm mfu, bado sijabanduka ndani ya chama letu lakini nacheza pande zote huku na kule.
Weekend njema![/QUOTE
Sawa malehem!
Ninachosema ndicho nimaanishacho. kwakua nimeifanya kua ni tetesi, let's wait time talks itself.
Kuna kila dalili ndugu yetu aliyepewa Ban na media zote hapo juzi kati hivi, sasa hivi wenye chama wanafikiria kumpa kazi ya kukisimamia chama. Msimamizi mkuu wa chama letu amepoteza imani kabisa na uongozi wa chama uliopo, kwahiyo by any time mkisikia mabadiliko makubwa mtarudi humu kushangaa nilichokua nikikisema. Mwanaume is coming soon!
Kwa sasa tumalizieni uchaguzi wa chama ngazi ya chini kwanza, lakini ukweli ndio huu. Msimami mkuu wa chama letu anaona kuna uwezekano mkubwa kabisa hizi chaguzi za chini zaweza kukipasua chama tena kwa namna yeyote ile kutokana na baadhi ya viongizi wetu ndani ya chama kuonekana kutaka kupanga safu zetu za viongizi wawatakao kitu ambacho kwa sasa hakina nafasi hiyo.Wa nataka kutupangia safari yetu ya 2020 weeeh!!
Msisimamizi mkuu wa chama letu kwa sasa anaona kua mwenye maamuzi pekee ndani ya Chama ni yule kijana aliyepata kuchukiwa kabisa na wengi pamoja na media nyingi kumpa kisogo. Huyu kwa sasa anaonekana nafasi aliyonayo hivi sasa ni ndogo kwa ujasiri wake, hivyo ni bora kumkomaza na kumpaisha zaidi kimaamuzi kwa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama letu ili hata ikifikia 2020 isiwe kazi kucheza karata za mjengoni. Ndio hivyo, na ndivyo itakavyokuwa.
Kwa nafasi yake ya sasa anaangaliwa kijana mwingine mwenye ujasiri na maamuzi yanayoshabihiana na yake either ndani ya chama letu au kwenye system.
Ni mimi Prof MAHANJU, ni mwanaccm mfu, bado sijabanduka ndani ya chama letu lakini nacheza pande zote huku na kule.
Weekend njema!
Ni zuzu pekee ndiye anaweza kuamini kuwa habari hii ni ya kweli! Uongozi wa chama una taratibu na nafasi ya mwenyekiti hupatikana kwa kuchaguliwa na wanachama na si kuwekwa hivyo ni lazima apitie mchakato wa kuomba na kuchaguliwa...Ninachosema ndicho nimaanishacho. kwakua nimeifanya kua ni tetesi, let's wait time talks itself.
Kuna kila dalili ndugu yetu aliyepewa Ban na media zote hapo juzi kati hivi, sasa hivi wenye chama wanafikiria kumpa kazi ya kukisimamia chama. Msimamizi mkuu wa chama letu amepoteza imani kabisa na uongozi wa chama uliopo, kwahiyo by any time mkisikia mabadiliko makubwa mtarudi humu kushangaa nilichokua nikikisema. Mwanaume is coming soon!
Kwa sasa tumalizieni uchaguzi wa chama ngazi ya chini kwanza, lakini ukweli ndio huu. Msimami mkuu wa chama letu anaona kuna uwezekano mkubwa kabisa hizi chaguzi za chini zaweza kukipasua chama tena kwa namna yeyote ile kutokana na baadhi ya viongizi wetu ndani ya chama kuonekana kutaka kupanga safu zetu za viongizi wawatakao kitu ambacho kwa sasa hakina nafasi hiyo.Wa nataka kutupangia safari yetu ya 2020 weeeh!!
Msisimamizi mkuu wa chama letu kwa sasa anaona kua mwenye maamuzi pekee ndani ya Chama ni yule kijana aliyepata kuchukiwa kabisa na wengi pamoja na media nyingi kumpa kisogo. Huyu kwa sasa anaonekana nafasi aliyonayo hivi sasa ni ndogo kwa ujasiri wake, hivyo ni bora kumkomaza na kumpaisha zaidi kimaamuzi kwa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama letu ili hata ikifikia 2020 isiwe kazi kucheza karata za mjengoni. Ndio hivyo, na ndivyo itakavyokuwa.
Kwa nafasi yake ya sasa anaangaliwa kijana mwingine mwenye ujasiri na maamuzi yanayoshabihiana na yake either ndani ya chama letu au kwenye system.
Ni mimi Prof MAHANJU, ni mwanaccm mfu, bado sijabanduka ndani ya chama letu lakini nacheza pande zote huku na kule.
Weekend njema!
Eti mwanaume ndio huyuBadili title please
Of all the people, mwanaume atakuwa huyo?
naunga mkono hoja
Baada ya Magufuli, 2025 ... atatufaa sana, kwasababu ana ...
P
brother mayala yani wakitaka CCM ipasuke wampe ukatibu wa chamauyu kijana , hapo ndio tutaona kabisa watu wakikimbia chama asubuhi tu na watu kumbadilikia mkulu bila woganaunga mkono hoja
Baada ya Magufuli, 2025 ... atatufaa sana, kwasababu ana ...
P
Duh, Kiswahili kimekushinda?...let's wait time talks itself...