Tetesi: CCM kaeni Chonjo, mwanaume anakuja. Msikimbie chama chetu!

Tetesi: CCM kaeni Chonjo, mwanaume anakuja. Msikimbie chama chetu!

ukawa wanatapatapa sana. nawashauri chadema mmalizane na mbatia kwanza anayedai haki yake. ndio muanze kujadili yanayoihusu ccm chama kubwa.
 
kwa sasa wanaccm wameufyata.alitakalo magu ndilo lifanyikalo. poleni wanaccm makondekta anakuja...
 
Ninachosema ndicho nimaanishacho. kwakua nimeifanya kua ni tetesi, let's wait time talks itself.

Kuna kila dalili ndugu yetu aliyepewa Ban na media zote hapo juzi kati hivi, sasa hivi wenye chama wanafikiria kumpa kazi ya kukisimamia chama. Msimamizi mkuu wa chama letu amepoteza imani kabisa na uongozi wa chama uliopo, kwahiyo by any time mkisikia mabadiliko makubwa mtarudi humu kushangaa nilichokua nikikisema. Mwanaume is coming soon!

Kwa sasa tumalizieni uchaguzi wa chama ngazi ya chini kwanza, lakini ukweli ndio huu. Msimami mkuu wa chama letu anaona kuna uwezekano mkubwa kabisa hizi chaguzi za chini zaweza kukipasua chama tena kwa namna yeyote ile kutokana na baadhi ya viongizi wetu ndani ya chama kuonekana kutaka kupanga safu zetu za viongizi wawatakao kitu ambacho kwa sasa hakina nafasi hiyo.Wa nataka kutupangia safari yetu ya 2020 weeeh!!

Msisimamizi mkuu wa chama letu kwa sasa anaona kua mwenye maamuzi pekee ndani ya Chama ni yule kijana aliyepata kuchukiwa kabisa na wengi pamoja na media nyingi kumpa kisogo. Huyu kwa sasa anaonekana nafasi aliyonayo hivi sasa ni ndogo kwa ujasiri wake, hivyo ni bora kumkomaza na kumpaisha zaidi kimaamuzi kwa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama letu ili hata ikifikia 2020 isiwe kazi kucheza karata za mjengoni. Ndio hivyo, na ndivyo itakavyokuwa.

Kwa nafasi yake ya sasa anaangaliwa kijana mwingine mwenye ujasiri na maamuzi yanayoshabihiana na yake either ndani ya chama letu au kwenye system.


Ni mimi Prof MAHANJU, ni mwanaccm mfu, bado sijabanduka ndani ya chama letu lakini nacheza pande zote huku na kule.


Weekend njema!
Kwani Daudi Albert Bashite keshapata vyeti mpaka afikiriwe kupewa nafasi nyingine?
 
Wala haitashangaza .machizi huwa wanaelewana.
 
hahahahahahahaaaa [HASHTAG]#Bashite[/HASHTAG]
 
Ninachosema ndicho nimaanishacho. kwakua nimeifanya kua ni tetesi, let's wait time talks itself.

Kuna kila dalili ndugu yetu aliyepewa Ban na media zote hapo juzi kati hivi, sasa hivi wenye chama wanafikiria kumpa kazi ya kukisimamia chama. Msimamizi mkuu wa chama letu amepoteza imani kabisa na uongozi wa chama uliopo, kwahiyo by any time mkisikia mabadiliko makubwa mtarudi humu kushangaa nilichokua nikikisema. Mwanaume is coming soon!

Kwa sasa tumalizieni uchaguzi wa chama ngazi ya chini kwanza, lakini ukweli ndio huu. Msimami mkuu wa chama letu anaona kuna uwezekano mkubwa kabisa hizi chaguzi za chini zaweza kukipasua chama tena kwa namna yeyote ile kutokana na baadhi ya viongizi wetu ndani ya chama kuonekana kutaka kupanga safu zetu za viongizi wawatakao kitu ambacho kwa sasa hakina nafasi hiyo.Wa nataka kutupangia safari yetu ya 2020 weeeh!!

Msisimamizi mkuu wa chama letu kwa sasa anaona kua mwenye maamuzi pekee ndani ya Chama ni yule kijana aliyepata kuchukiwa kabisa na wengi pamoja na media nyingi kumpa kisogo. Huyu kwa sasa anaonekana nafasi aliyonayo hivi sasa ni ndogo kwa ujasiri wake, hivyo ni bora kumkomaza na kumpaisha zaidi kimaamuzi kwa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama letu ili hata ikifikia 2020 isiwe kazi kucheza karata za mjengoni. Ndio hivyo, na ndivyo itakavyokuwa.

Kwa nafasi yake ya sasa anaangaliwa kijana mwingine mwenye ujasiri na maamuzi yanayoshabihiana na yake either ndani ya chama letu au kwenye system.


Ni mimi Prof MAHANJU, ni mwanaccm mfu, bado sijabanduka ndani ya chama letu lakini nacheza pande zote huku na kule.


Weekend njema!
Chadema mnamuogopa sana huyu jamaa, huko darisalama ameshawapoteza hatumsikii Mnyika wala Kubenea dadeki!
 
Hivi nani kakuambia Magufuli atafikisha 2025? Paskali, huyo muzee hakatizi 2020 na ataingia kwenye historia ya viongozi walio ongoza kipindi kimoja na kushindwa uchaguzi. Vilio (vya moyoni) vimekuwa vingi sana na havitamuacha salama.

Hiv huyu paschal nan kamloga????????

Hiv kwa akili ya kawaida tu Makonda awe Rais wa Tanzania......

Hii ni post ya pili naiona Leo kwa paschal kuhusu huyu bwana.....

Paschal unatukera sanaaaaaaaaaaaaa
 
ukawa wanatapatapa sana. nawashauri chadema mmalizane na mbatia kwanza anayedai haki yake. ndio muanze kujadili yanayoihusu ccm chama kubwa.
Subirini bashite aje awagegede kwa toilet paper mtanyooka tu chamani!
 
Akiletwa kwenye Chama hatoweza kufanya Vizuri kwa sababu kule sio sehemu ya lelemama na kutafuta kiki! Chama kinahitaji watu makini sio wenye akili za Makinikia!
Hapana Mimi naamini Bashite kwenye chama atafanya vizuri sana mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Mimi so shabiki wa Bashite lakini kwenye siasa nsmpa big up. Siyo yule polepole hata haeleweki anaongea nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom