Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Mkuu Utandu, hata wakikimbia chama wote, watu wa Kanda ya Ziwa pekee wanatosha kumrejesha Magogoni.brother mayala yani wakitaka CCM ipasuke wampe ukatibu wa chamauyu kijana , hapo ndio tutaona kabisa watu wakikimbia chama asubuhi tu na watu kumbadilikia mkulu bila woga
Ninachosema ndicho nimaanishacho. kwakua nimeifanya kua ni tetesi, let's wait time talks itself.
Kuna kila dalili ndugu yetu aliyepewa Ban na media zote hapo juzi kati hivi, sasa hivi wenye chama wanafikiria kumpa kazi ya kukisimamia chama. Msimamizi mkuu wa chama letu amepoteza imani kabisa na uongozi wa chama uliopo, kwahiyo by any time mkisikia mabadiliko makubwa mtarudi humu kushangaa nilichokua nikikisema. Mwanaume is coming soon!
Kwa sasa tumalizieni uchaguzi wa chama ngazi ya chini kwanza, lakini ukweli ndio huu. Msimami mkuu wa chama letu anaona kuna uwezekano mkubwa kabisa hizi chaguzi za chini zaweza kukipasua chama tena kwa namna yeyote ile kutokana na baadhi ya viongizi wetu ndani ya chama kuonekana kutaka kupanga safu zetu za viongizi wawatakao kitu ambacho kwa sasa hakina nafasi hiyo.Wa nataka kutupangia safari yetu ya 2020 weeeh!!
Msisimamizi mkuu wa chama letu kwa sasa anaona kua mwenye maamuzi pekee ndani ya Chama ni yule kijana aliyepata kuchukiwa kabisa na wengi pamoja na media nyingi kumpa kisogo. Huyu kwa sasa anaonekana nafasi aliyonayo hivi sasa ni ndogo kwa ujasiri wake, hivyo ni bora kumkomaza na kumpaisha zaidi kimaamuzi kwa nafasi ya juu kabisa ndani ya chama letu ili hata ikifikia 2020 isiwe kazi kucheza karata za mjengoni. Ndio hivyo, na ndivyo itakavyokuwa.
Kwa nafasi yake ya sasa anaangaliwa kijana mwingine mwenye ujasiri na maamuzi yanayoshabihiana na yake either ndani ya chama letu au kwenye system.
Ni mimi Prof MAHANJU, ni mwanaccm mfu, bado sijabanduka ndani ya chama letu lakini nacheza pande zote huku na kule.
Weekend njema!
Mkuu Chakaza, unadhani 2020 kutakuwa na uchaguzi wa rais?. Kwa taarifa yako, 2020 hakuna uchaguzi wa rais, ni Magufuli tuu, ila kwa vile uchaguzi ni takwa la kikatiba, then tutafanya igizo tuu la uchaguzi, rais 2015-2025 ni JPM, unless otherwise " ndoto ya Lema!".Hivi nani kakuambia Magufuli atafikisha 2025? Paskali, huyo muzee hakatizi 2020 na ataingia kwenye historia ya viongozi walio ongoza kipindi kimoja na kushindwa uchaguzi. Vilio (vya moyoni) vimekuwa vingi sana na havitamuacha salama.
........Over my dead body that shit never gonna happen. Trust me.
Hivi bashite alishakata mkono wa sweta mbona hizi akili na maamuzi yake ni kama vile hajawahi pata maumivu ya kupunguzwa sehem ya mwili wake?
Atakua napeNani kwa hiyo bashite aongoze ccm bila vyeti?
Swissme
sifa ni kujua kusoma na kuandikaNani kwa hiyo bashite aongoze ccm bila vyeti?
Swissme
kwani ndo alichukiwa na midia?Atakua nape
ChonganishiRAMLI
Mkuu Paskal huwa naheshimu sana michango yako hapa JF na nje ya JF, lakini kwa hili unalosema kwa uhakika namna hii sina budi kukupinga. Mambo sio rahisi kiasi hicho. Utakuwa uchaguzi mgumu sana kwa mara ya kwanza kwa kiongozi aliyeko madarakani.Mkuu Chakaza, unadhani 2020 kutakuwa na uchaguzi wa rais?. Kwa taarifa yako, 2020 hakuna uchaguzi wa rais, ni Magufuli tuu, ila kwa vile uchaguzi ni takwa la kikatiba, then tutafanya igizo tuu la uchaguzi, rais 2015-2025 ni JPM, unless otherwise " ndoto ya Lema!".
P.
Uhaini huu....Mkuu Paskal huwa naheshimu sana michango yako hapa JF na nje ya JF, lakini kwa hili unalosema kwa uhakika namna hii sina budi kukupinga. Mambo sio rahisi kiasi hicho. Utakuwa uchaguzi mgumu sana kwa mara ya kwanza kwa kiongozi aliyeko madarakani.
Sababu kuu ni kama mbili tatu hivi. Kwanza upinzani mkubwa wa chini kwa chini ulioko ndani ya chama chake. Kwa mara ya kwanza tunaona mwenyekiti wa chama anayepingwa na vigogo wa ndani ya chama kwa uwazi na kwa siri pia.
Sababu nyingine ni hali ya maisha na mateso wapatayo wananchi, na kama hali hii itaendelea hivi hakika labda atumie jeshi kujibakisha madarakani. Lakini lakujiuliza ni jee ushawishi huo ndani ya vyombo hivyo anao?
Tuachie hapo tusije pimwa mkojo bure, tukakutwa na UTI