Spana inazidi kubana, mwishowe magereza yote yanaweza kufungwa na wafungwa wote kusombwa kujaza hii mikutano. Kama na wao hawatatosha wagonjwa, wauguzi na madaktari nao wote wanaweza kubebwa wakahudhurie kuongeza vichwa. Si ajabu siku hiyo hata hospitali zikafungwa.Mkuu lazima muheshimiwa aone umati kwamba ni wanafunzi au raia hatujui hilo tumewatoa wapi hiwahusu, wameacha masomo! ni sehemu ya elimu bure hawa inawahusu kwanza waalimu wanachoka sana tunataka wapumzike [emoji23][emoji23] in buku saba voice.
Hii vita ni kubwa sana walioletwa na waliokuja.
Daah! Mwaka huu tutaona mengiWanatoa support kwa aliyeleta elimu bure
Tukiwakuta kwenye foleni tutawacharaza viboko. Mtoto wa darasa la saba anawezaje kuwa na miaka 18 ?Usijali wote wanakadi ya mpiga kura na watampigia Magufuli
Ajaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?.CCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.
Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.
Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?
Hapo ndio ujue mikakati ya ccm sio ya muda mfupi haifikirii uchaguzi huu maana imeshinda tayar kwa sasa hivi ni sherehe sio kampeni maana mgombea wetu karelax na anajua watanzania sio wajinga wameona yaliyofanyika,hao unaowasema wanafunzi ndio wapiga kura wa baadae.CCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga...
Nimedondosha sana tumate twa uchu wakati naitizama hiyo pichaππππππ
Hiyo hela kule kwenu mnasema ni ya mboga.Ajaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Nani achague majizi na mawakala wa mashoga. Imekula kwenu, na marienge wenu.Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
wanafahamu hawakubaliki , hilo ni jambo zuri sanaCCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga...
Hii tunaita the last kick of a dying horseCCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga...
Ccm hawana hata aibu! Walimsomba hata mama Maria kule Musoma na kama alivyo mkweli, akawashushua.Spana inazidi kubana, mwishowe magereza yote yanaweza kufungwa na wafungwa wote kusombwa kujaza hii mikutano. Kama na wao hawatatosha wagonjwa, wauguzi na madaktari nao wote wanaweza kubebwa wakahudhurie kuongeza vichwa. Si ajabu siku hiyo hata hospitali zikafungwa.
So what!!!!Ajaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Nani achague majizi na mawakala wa mashoga. Imekula kwenu, na marienge wenu.Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
Mwaka huu mpaka maji yataitwa "mma" ππππwanafahamu hawakubaliki , hilo ni jambo zuri sana
Hebu tazameni jamani watoto wetu wanavyoteswa juani, kwa nini lakini?Aibu gani hii jamani
Sasa hivi hela za kuhonga watu au kumobilize zimeisha hiyo ndio options pekee waliyonayo, hapo wanatafuta kuhalalisha wizi wao wa kura kwa msaada wa tiss na police na NEC bila kusahau jwtz.CCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.
Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.
Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?