Uchaguzi 2020 CCM Korogwe mlikuwa mnamdanganya nani? Kwanini mlijaza wanafunzi mkutanoni?

Uchaguzi 2020 CCM Korogwe mlikuwa mnamdanganya nani? Kwanini mlijaza wanafunzi mkutanoni?

CCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.

Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.

Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?

Hakuna cha aibu, hao walikwenda kama ulivyoeenda wewe.
 
Ajaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Nani achague majizi na mawakala wa mashoga. Imekula kwenu, na marienge wenu.Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
Kwani CAGCCM Hayupo? Ukimwacha yule Asad mwadilifu? Ambaye hakuwahi kuona ujinga huu unaokaza mkund***** kuuandika hapa?
 
CCM ya Magufuli imekataliwa Tanganyika na Zanzibar, Duniani na Mbinguni.
 
CCM ya Magufuli imekataliwa Tanganyika na Zanzibar, Duniani na Mbinguni.
John Pombe Joseph Maguli ni rais wa karne. Nchi nyingi zinamtamani na wanyonyaji kina amstadam wanahaha. Sasaivi dunia inatekeleza maono yake. Tanzania tumebarikiwa sanaaaaaa
Tarehe 28 mapema tunachukua tunaweka waaa!!!!! Baada ya hapo kazi inaendelea

😍😍😍😍😍
 
Wanafunzi wenye vitambulisho vya kupigia kura wangeruhusiwa kushiriki kampeni za vyama vyote tu- (Hii ndo inapaswa iwe ndo hoja)

Huwezi kubeza ushiriki wa wanafunzi ilhali kuna kidato cha 3,4,5&6) walijiandisha last year kwenye maboresho ya daftari kuanzia 17yrs..

Isitoshe hata hiyo Jumatano ya 28 Oktoba hawataenda shule sababu ya uchaguzi.
 
Ajaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Nani achague majizi na mawakala wa mashoga. Imekula kwenu, na marienge wenu.Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
Gharama za uendeshaji wa chama unazijua?
kujua mtu anaingiza shingapi sio tatizo inatakiwa uelewe na Matumizi yake sio kulalamika lalamika
 
wanamakada wanaitwa CHIPUKIZI na hapo ndipo Vyama vya upinzani mara nyingi wanapigwa chini, kwa sababu wanawataka wanachama wenye sifa za kupiga kura sasa na sio kesho
Cha kushangaza Vyama vya upinzani havitakiwi kufanya siasa mashuleni/ vyuoni. Wakifanya hivyo utasikia mtu anabuka na hoja wanafunzi someni msidanganywe na wanasiasa.
 
Ajaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Nani achague majizi na mawakala wa mashoga. Imekula kwenu, na marienge wenu.Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
Yaani wewe ni mjinga Sana

Kama umeweza kuanzisha vyanzo hivyo mbona umeshindwa kuanisha matumizi.

Umeshindwa kusema Wana wafanyakazi wangapi, wanamagari mangapi, kwa Mwaka Wana mikutano mingapi ya kisheria na je ikafanyika kwa gaharama gani.

Huna tofauti na wale wa kilimo Cha Facebook.

Kwa taarifa yako kila mwaka wanakaguliwa na Ofisi ya mkaguzi wa hesabu za serikali (CAG). Na wamepata hati safi, we unakuja na vihoja hivi.

Hebu tuambie Kuna shida gani chama chochote Cha siasa kupanga Ofisi zake?

Mbona hujaonesha CCM wanapata ruzuku kiasi gani na matumizi yao yakoje? Kuna viwanja vingapi na maeneo ya wazi yameporwa kwa wananchi na kufanywa Mali ya CCM?

Kwa Nini kila wakati CAG anatoaa hati yenye mashaka(hati chafu) kwa CCM. Mbona hili huzungumzii unaona kibanzi kilicho kwa mwenzako badala ya boriti iliyopo kwenye jicho lako?

Lakini pia imewachukua CCM miaka mingapi mpaka kujenga jengo la Dodoma?

Hebu tuambie tangu 1995 mpaka leo mmepata rudhuku kiasi gani na mmefanyia Nini? Mpia mtuambie pesa za EPA mlifanyia nini
 
John Pombe Joseph Maguli ni rais wa karne. Nchi nyingi zinamtamani na wanyonyaji kina amstadam wanahaha. Sasaivi dunia inatekeleza maono yake. Tanzania tumebarikiwa sanaaaaaa
Tarehe 28 mapema tunachukua tunaweka waaa!!!!! Baada ya hapo kazi inaendelea
View attachment 1606901
😍😍😍😍😍
Upumbavu, ujinga, wogan na elimu duni ndio tatizk la Tanzania
 
wewe acha kupiga kelele.wewe nenda kajaze watu wazima.unaleta utoto sana mara ngap tunaona hatabkwa mgombea wetu TL anahaza watoto?? kwan shida ipo wap.tujikite kueleza sera.bado sana sisi wa Ufipa kusema sera tunekaa uanaharakat tuuu
 
wanamakada wanaitwa CHIPUKIZI na hapo ndipo Vyama vya upinzani mara nyingi wanapigwa chini, kwa sababu wanawataka wanachama wenye sifa za kupiga kura sasa na sio kesho
Mamaaaeè hiyo ni nyoko. Magufuli hali sio nzuri kivile.
 
[emoji860]Chekechea hooyeee!!!

[emoji860]Vidudu hooyeeee!!!
 
Back
Top Bottom